Still hizo ni "guessing answers". Majibu sahihi yanapatikana katika "Higher Education Policy" ipo katika website ya HESLB.Mkuu,ulikua na paper nini?
Haya majibu yako sahihi 100%.
Hili swali watu wengi watakua walijichanganya,limekaa kimtego sana.
Halafu ujinga wa Psrs watu wanajiandaa na vitu vigumu,wao wanawaletea tuvitu ambavyo hawakuvitegemea kuvikuta.
Wanasema paper ikishapigwa na upepo na kutoka nje ya chumba cha mtahiniwa huwa rahisi mnoo.Unajua hayo maswali tu kama ulipitia ile heslb act unapata yote au kama zile process zakuomba mkopo ulifanya mwenyewe ukasoma Yale maelezo ya kwenye form ya loan board unayajibu yote shida inakuja wengi wetu kwenye application za mikopo huwa tunafanyiwa na watu
Mimi nawaangalia tuu msema kweli ni matokeo, mimi nikipata nikikosa kwangu sawa tuu wala sijalitia maanani sanaWanasema paper ikishapigwa na upepo na kutoka nje ya chumba cha mtahiniwa huwa rahisi mnoo.
Ndicho mnachokifanya hapa. Kwa mtihani ule Act pekee haikuvushi pale, japo haitokufanya ukose cha kuandika kama majibu katika maswali yote.
Huo ndio ukweli,. Ule mtihani kwenda O.P ni rahisi, na kwa namna ulivo marking scheme ina majibu clear, though, majority itakuwa imejazwa na "guessing answers". Matokeo ndo yatatoa tathmini ya kuwa mtihani ulikia rahisi au mgum.Mimi nawaangalia tuu msema kweli ni matokeo, mimi nikipata nikikosa kwangu sawa tuu wala sijalitia maanani sana
LIWALO NA LIWE TUU FRESH KWANGU
😂😂😂😂😂Mimi nawaangalia tuu msema kweli ni matokeo, mimi nikipata nikikosa kwangu sawa tuu wala sijalitia maanani sana
LIWALO NA LIWE TUU FRESH KWANGU
Hahahahaa, hivi unakumbuka ile post ya Mjengoni(sijui ilikuwa Katibu au Mwandishi wa taarifa rasmi za Bunge), mojawapo ya sifa ilikuwa ni speed ya kuandika, yaani iwe direct proportion na mtu anayeongea.Hivi kwanza hao watu wanaoandika makaratasi mawili ,huwa wanatoa wapi huo muda?
Iwe hivyo ili wengine akili zitoke PSRS hadi till next timeKesho ndo kesho au sio[emoji1787]
Hapana ule sio technical exam kwahiyo majibu hayawezi kuwa jibu moja direct kinachoangaliwa kwenye mitihani ambayo sio technical wanaangalia idea inaendana na jibu husika??Huo ndio ukweli,. Ule mtihani kwenda O.P ni rahisi, na kwa namna ulivo marking scheme ina majibu clear, though, majority itakuwa imejazwa na "guessing answers". Matokeo ndo yatatoa tathmini ya kuwa mtihani ulikia rahisi au mgum.
😂😂😂😂Katika wenye speed niweke na Mimi mzee ukinipa Yale maswali halafu niwe nayajua yote namaliza within muda husika sema shda inakujaga maswali yakiwa magumu mzeeHahahahaa, hivi unakumbuka ile post ya Mjengoni(sijui ilikuwa Katibu au Mwandishi wa taarifa rasmi za Bunge), mojawapo ya sifa ilikuwa ni speed ya kuandika, yaani iwe direct proportion na mtu anayeongea.
Watu wenye speed ya kuandika wapo mkuu
😂😂😂😂Yani hapo ndo huwa wanazinguaUtumishi nawajua sana kama mtu utashangaa cutting point ikawa 95 ndo macho yatawatoka🤣🤣🤣
Hukuwepo katika chumba cha mtihani, na hata maswali hao baadhi walivyo leta hapa sivyo yalivyokua, ndo maana nikakwambia hivyo.Hapana ule sio technical exam kwahiyo majibu hayawezi kuwa jibu moja direct kinachoangaliwa kwenye mitihani ambayo sio technical wanaangalia idea inaendana na jibu husika??
Lakini sasa majibu yasiwe kama habari wanachotaka kwamfano labda jibu ilitakiwa ujaze beneficiary wewe ukaandika the one who got the loan ,utakuwa umejibu na umepata maana hiyo sio technical exam kinaangaliwa idea ni ile inayotakiwa?
Hata mm kama maswali nayajua dk ya 20 nagonga peni kuomba karatasi nyingine🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Katika wenye speed niweke na Mimi mzee ukinipa Yale maswali halafu niwe nayajua yote namaliza within muda husika sema shda inakujaga maswali yakiwa magumu mzee
Mimi nawaambia kila siku subiria matokeoHukuwepo katika chumba cha mtihani, na hata maswali hao baadhi walivyo leta hapa sivyo yalivyokua, ndo maana nikakwambia hivyo.
Swali la nne, halikua "heslb finance" bali lilikua "loan finance". Hii ipo clear katika Higher Education Policy, ingia website ya heslb, downloan n read.
😂😂😂😂😂😂Kiingereza hicho tunasemaga siwametaka wenyewe tuandike kwa speed watajua wao sasa Ile kwa speed tu kama nayajua mbona watafurahi na roho zaoHata mm kama maswali nayajua dk ya 20 nagonga peni kuomba karatasi nyingine🤣🤣🤣🤣🤣
Sema sasa hicho kingereza ndo kinakuwa hakitamaniki😅
Hivi kwanza hao watu wanaoandika makaratasi mawili ,huwa wanatoa wapi huo muda?
Ndo huwa ipo hivyo hasa kwa mitihani ambayo sio technical wewe tunga kiingereza kiendane na zile point for sure unatoboa hii nna experience nayo kabisa kabisaOfcourse alivyosema wizy ni sahihi kama hutotaja point husika ila ukaandika kivingine lakini maana ni ileile bhas umepata maana mm nakumbuka niliwahi kufanya swali la elements za research proposal kutokana na kupanick kwa mtihani points zilinipotea lakini nilikuwa naandika jambo namaanisha point flan na mfano sjui "title" mm niliandika maelezo kwa ufupi nikimaanisha point ni title
Na ile paper nilitususua hats sikutegemea zile marks
😂😂😂😂😂Aliandika habari au??Kuna mtu nilikaa naye pembeni aliomba plain 2 na akamaliza asee hapo mimi hata sijajaza karatasi yangu, huyu mwamba na namba yake ya mtihan akitoboa aniite mbwa nimekaa pale [emoji23][emoji23]
Una dhambi kwahiyo uka save kabisa namba yake ya mtihani unamsubiria matokeo yatoke🤣🤣🤣Kuna mtu nilikaa naye pembeni aliomba plain 2 na akamaliza asee hapo mimi hata sijajaza karatasi yangu, huyu mwamba na namba yake ya mtihan akitoboa aniite mbwa nimekaa pale [emoji23][emoji23]