PSRS interview questions (written, pract & oral)

Ndo huwa ipo hivyo hasa kwa mitihani ambayo sio technical wewe tunga kiingereza kiendane na zile point for sure unatoboa hii nna experience nayo kabisa kabisa
Huwezi tunga hizo point ziendane kama hujapata kupitia/kusoma reliable source, iwe kitabu, au material zozote reliable.

Kwa uzoefu wangu wa hizi sahili chache, zinataka maandalizi ya kina, sio maandalizi haya zima moto, siku kumi kabla ya usahili. Kichwa kiwe kimetulia hasa.
 
Nikweli maandalizi ni muhimu sana mzee sikupingi
 
Aliacha karatasi yake kwa meza nikapita nayo[emoji23][emoji23]. Nataka nifanye research nione kama kuandika sana ndo kufaulu
😂😂😂😂😂Hii huwa tunawacheki wale wanavolunteer kwenye taasisi hiyo nikiona tu volunteer hata mmoja kaingia oral najua hii siwezi kutoboa hii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika wenye speed niweke na Mimi mzee ukinipa Yale maswali halafu niwe nayajua yote namaliza within muda husika sema shda inakujaga maswali yakiwa magumu mzee
Points zikiwepo kwenye finger tips mbona unaumwaga wino fasta tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…