Huwezi tunga hizo point ziendane kama hujapata kupitia/kusoma reliable source, iwe kitabu, au material zozote reliable.Ndo huwa ipo hivyo hasa kwa mitihani ambayo sio technical wewe tunga kiingereza kiendane na zile point for sure unatoboa hii nna experience nayo kabisa kabisa
Nikweli maandalizi ni muhimu sana mzee sikupingiHuwezi tunga hizo point ziendane kama hujapata kupitia/kusoma reliable source, iwe kitabu, au material zozote reliable.
Kwa uzoefu wangu wa hizi sahili chache, zinataka maandalizi ya kina, sio maandalizi haya zima moto, siku kumi kabla ya usahili. Kichwa kiwe kimetulia hasa.
Una dhambi kwahiyo uka save kabisa namba yake ya mtihani unamsubiria matokeo yatoke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂Aliacha karatasi yake kwa meza nikapita nayo[emoji23][emoji23]. Nataka nifanye research nione kama kuandika sana ndo kufaulu
😂😂😂😂😂Hii huwa tunawacheki wale wanavolunteer kwenye taasisi hiyo nikiona tu volunteer hata mmoja kaingia oral najua hii siwezi kutoboa hiiAliacha karatasi yake kwa meza nikapita nayo[emoji23][emoji23]. Nataka nifanye research nione kama kuandika sana ndo kufaulu
🤣🤣🤣🤣🤣 utanipa mrejesho na mimi kama mwamba alifaulu written majibu yakitokaAliacha karatasi yake kwa meza nikapita nayo[emoji23][emoji23]. Nataka nifanye research nione kama kuandika sana ndo kufaulu
Points zikiwepo kwenye finger tips mbona unaumwaga wino fasta tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika wenye speed niweke na Mimi mzee ukinipa Yale maswali halafu niwe nayajua yote namaliza within muda husika sema shda inakujaga maswali yakiwa magumu mzee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna mtu nilikaa naye pembeni aliomba plain 2 na akamaliza asee hapo mimi hata sijajaza karatasi yangu, huyu mwamba na namba yake ya mtihan akitoboa aniite mbwa nimekaa pale [emoji23][emoji23]
Ngoja waje mkuuTupen nondoza accountancy wakuu waliowahi hudhuria interview
MmeitwA?Tupen nondoza accountancy wakuu waliowahi hudhuria interview
[emoji419][emoji375]Nafikiri wadau tuwe na moyo wakusaidiana kama unajua kitu msaidie mtu hasa kumpa mtu muongozo wa Pepa zinavyokuwa haikupunguzii chochote na wala usiogope kuwa mtu atakupita
Mliofanya loan officer matokeo ameanza kuweka kwenye accounts zenu mkaangalie status inasomaje😃
Ndo ukubwa mzeeKukandwa huku [emoji3][emoji3][emoji3]
Aiseh Kweli hapa ndio ukomavu ulipoNdo ukubwa mzee
Mwamba una nafasi yako ya kipekee pale mbinguni.ulinipa hints za written alafu nikapita nazo juu juu sikuwa siriasi alafu nikayakuta japo nikumbuka mojaoja lkn it was greatNdo ukubwa mzee