Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Sawa mkuuHalafu we jamaa haya mambo ya database yasikuchanganye hakuna anayejua, hao wenyewe PSRS ndo wanafahamu.. nachokushauri we piga interview zako hata 10... Siku zali likikudondokea utaona tu jina lako kwenye mkeka....
Sawa mkuu nimekupataWanaangalia degree yako kama ndio inayotakiwa wanakuchukua kiongozi
Does this not helpful?Umeelewa mada kweli mkuu?
Ofcoz, inategemeana na idadi ya maswali...Wengine wanapewa mpk lisaa lizima
Sina uhakika na hiki unachokizungumza.niliwahi kufika oral moja ya utumishi na hakuna sehemu walisema twende na cv zetu.tulichoambiwa kwenda nacho ni vyeti pamoja na vitambulisho tu.hilo la cv labda kama limeanza awamu hii ya Samia.Interview zote nilizofanya niliwapa cv yangu wakaipitia mwanzo mwisho kama unabisha muulize wa aliyewai kufanya utumishi unawpa wanakagua na unaenda na copy kwa kila interviewer pale kweny panel list unampa wanakuja kila kitu chako kwa juu juu mpaka miaka
Marks za written haziusiani kabisa na oral, kwenye oral unaenda kutafuta marks nyingine ambazo zitakufanya upate kazi endapo utajibu vizur na kupata marks nyingi kuliko wengineokay sawa nimekupata na marks za written hazihusiki kwenye oral??
😂😂😂😂 Kiingereza mwanzo mwisho inatakiwa uende umeshiba mzeeWakuu hivi kwenye Oral wanaruhusu kuchanganya kiswahili kidogo au ndio kimalkia mwanzo mwisho?
sawa sawa ngoja tusubili matokeoMarks za written haziusiani kabisa na oral, kwenye oral unaenda kutafuta marks nyingine ambazo zitakufanya upate kazi endapo utajibu vizur na kupata marks nyingi kuliko wengine
Hapana nimekosea nikitambo ila Kuna copy tuliambiwa tuwape nahisi ni ya vyeti izo kama maana ni mda nishasau sio cv ila vyeti vilikuwepo Kuna taasisi ya binafsi ndo niliwapa cv nakumbukaSina uhakika na hiki unachokizungumza.niliwahi kufika oral moja ya utumishi na hakuna sehemu walisema twende na cv zetu.tulichoambiwa kwenda nacho ni vyeti pamoja na vitambulisho tu.hilo la cv labda kama limeanza awamu hii ya Samia.
Ilikuwa kada gani?Interview yangu ya kwanza maswali yalikua matano
1.Briefly explain the geophysical methods that used in oil and gas exploration
2. Mention geomorphic land forms that arise from geological process
3.Explain briefly the types of observation
4.Mention the branches of geography
Ukiongea kiswazi tu unajipunguzia marks.Wakuu hivi kwenye Oral wanaruhusu kuchanganya kiswahili kidogo au ndio kimalkia mwanzo mwisho?
Hapo nimekuelewaHapana nimekosea nikitambo ila Kuna copy tuliambiwa tuwape nahisi ni ya vyeti izo kama maana ni mda nishasau sio cv ila vyeti vilikuwepo Kuna taasisi ya binafsi ndo niliwapa cv nakumbuka
GeophysicistIlikuwa kada gani?
Kwamba ukisema hapa utajulikana.. Au ndo unatudhuhirishia kuwa JF haina usalama for now..Kampuni x ni Siri ni mda kidogo 😂😂😂nahide ni hatar
Hii swali anasema explain objective of keywords filing system as used in an organization five explainHuu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written....
Acha swali ulilokutana nalo ujibiwe hapa
Hebu liweke swali lako vizuri mkuuHii swali anasema explain objective of keywords filing system as used in an organization five explain
Kada records management
Kuna kada wanaruhusu pale ukishindwa kutema yai unaweza jibu kwa kiswhiliWakuu hivi kwenye Oral wanaruhusu kuchanganya kiswahili kidogo au ndio kimalkia mwanzo mwisho?