Field research ni zile ambazo zinafanyika nje ya maabaraWadau msaada
Mention characteristics of Field Research?
Guda mkuuSiku ya oral mkuu ndo aral yenyewe hiyo utaandaa watazikusanya ikifika mda wako utapewa uelezee
ORAL INTERVIEW QUESTIONSHuu ni uzi maalumu kwa ajiri ya kushare Maswali ambayo ulishawahi kukutana nayo katika Interview za UTUMISHI (PSRS) kwenye kada tofauti tofauti iwe ni Oral,pract au written....
Acha swali ulilokutana nalo ujibiwe hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku ya kwanza napiga oral kiingereza chote kilipotea daaah
amna Yale maswali sio yakiswahili sasa utajibuje kwakiswahili?
Hawaruhusu hata siku hizi
Hawaruhusu kabsa
Duuuh ngoma ngumu hii[emoji23][emoji23][emoji23]TUTORIAL ASSISTANT HUMAN RESOURCE MANAGENENT-----INSTITUTE OF SOCIAL WORK WRITEN INTERVIEW
08/09/22 SAA MOJA ASUBUHI
1. Important of CB to employees
2. Three levels involved in decision making with labour relations
3.What are the Labour Right supervised by ILO
4. How could you advise your organisation to prevent/avoid labour dispute
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hairuhusiwi kabisa tena siku hizi hata saa haziruhusiwi
Usichoke, nendaNna interview kesho nawaza niende sijui nsiende unajua ile unaenda interviews mpaka unakinai
Umepenyezewa na nani hili swali?Wadau msaada
Mention characteristics of Field Research?
ππππYani siku hiyo sijui ilikuaje aseeh huwa nakaa najicheka tuHahaha, huwa na tabia ya kurudi usaili ukiisha. Hata hivyo kingereza kinatabia ya kuwa chepesi ukijiongelesha mwenyewe, akija tu mtu kukuongelesha kinakugeuka na kuwa adui wake.
πππππHahhhhh walichoka kutumia nguvuHahaha, sawa Mkuu. Miaka ya nyuma kidogo kuna benki moja ya kigeni niliwauliza kama naruhusiwa kuongea kiswahili mara chache?
Hahaha, wale jamaa nikagundua na wao walikuwa wameshachoka kujibana bana, rasmi tukajikuta katikati ya usaili tunaongea Kiswahili kitupu mpaka mwisho.
Ipo YouTube? maana wengine hawana tiktokOral mnaweza ingia tiktok kuna account ya careervidz, ni msaada mkubwa namna ya kujibu maswali ya oral
Ipo lakini kule tik tok ndio imepangiliwa vizuri zaidiIpo YouTube? maana wengine hawana tiktok
Nmekupata mkuuHapo unataja zile advantage za kuclasify file
1. To make easy in finding information
2. To keep the same records together
Nazingine kama hizo
Uliomba nafasi ipi?Ok! Mada nzuri jaman wale electrical engineer b& technicians
Tupeane hints za maswali ya utumishi Kuna interview tpdc hyo