Ditex
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 284
- 887
HiiWakuu nje ya mada kidogo.
Naomba mwenye kuweza kugeuza majukumu hayo ya kazi pichani kwenda kiingereza cha taaluma yake.View attachment 2396621
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HiiWakuu nje ya mada kidogo.
Naomba mwenye kuweza kugeuza majukumu hayo ya kazi pichani kwenda kiingereza cha taaluma yake.View attachment 2396621
Zote mkuuKygata unaenda hii ya loan officer au naot
Ya loan officer si inapigwa ijumaa wakuu ?Zote mkuu
Ngoja waje mkuuWaliofanya Interview ya NAOT leo tarehe 27/10/2022 watujuze maswali waliyoulizwa
The paper was very tough,... Yaan hadi maswali nimesahauWaliofanya Interview ya NAOT leo tarehe 27/10/2022 watujuze maswali waliyoulizwa
Hebu kumbuka kidogo mzeeThe paper was very tough,... Yaan hadi maswali nimesahau
Maswali ya Research yalitoka? Kwa faida ya wengi tuambie maswali hayo hata hints tuThe paper was very tough,... Yaan hadi maswali nimesahau
Nimeshatia timu hapa ddm sas aise tukapambane mkuuZote mkuu
Kyagata embu tupe noat ilikuwajeZote mkuu
Tupeane hints mkuuNimeshatia timu hapa ddm sas aise tukapambane mkuu
Kama hakumbuki hata swali hyo nalo ni tatizo kwa kweli ajitafakari mara mbili mbili juu ya swala kuja ddm kwa interviewNgoja waje mkuu
😂😂😂😂unasahauje maswali manne?sema pepa ikiwa nzito sana ni shidaKama hakumbuki hata swali hyo nalo ni tatizo kwa kweli ajitafakari mara mbili mbili juu ya swala kuja ddm kwa interview
session ya mchana bado tunapigwa upepo nje, hatujui tutaingia saa ngapiWaliofanya Interview ya NAOT leo tarehe 27/10/2022 watujuze maswali waliyoulizwa
Duuhh, kwamba ni kukandwa bila huruma.The paper was very tough,... Yaan hadi maswali nimesahau
Unatafanya ya HESLB kesho?Nimeshatia timu hapa ddm sas aise tukapambane mkuu
Naamini mzee umejipanga kote kote God akutangulie tu lazima utoboeDuuhh, kwamba ni kukandwa bila huruma.
Yalibase kwenye kada au Auditing?
Kila la kheri mkuu,..session ya mchana bado tunapigwa upepo nje, hatujui tutaingia saa ngapi
Mkuu ukitoka utupe updatessession ya mchana bado tunapigwa upepo nje, hatujui tutaingia saa ngapi
Endeleeni kupigwa upepo tu mkuu.hatari sanasession ya mchana bado tunapigwa upepo nje, hatujui tutaingia saa ngapi