Psychedelic Drugs & Consciousness

Psychedelic Drugs & Consciousness

Wakuu mada safi ila kwangu imenizidi ukubwa natamani wajuzi wajazie nyama
Mkuu MK54 kajazia nyama nyingi sana, pongezi kwake. Sema tuombe wadau waendelee kushare experience zao. Itasaidia sana.

Hata mimi nahitaji kuelewa vizuri maana nina imani fulani kwamba Pyschedelic Drugs zinaenda-play a huge role in advancement of our civilization.
 
Mkuu hii DMT plant containing unaitumiaje? Huku kwetu ipo mingi tu inajiotea mashambani na huo mmea wenye maua yanayotanda jirani yangu amepanda kama maua.

Jinsi ya kutumia huo mmea wenye DMT inautaalam wake kaka. Inapendeza haya mambo yafanyike chini ya Guidance.
-
Maandalizi yake ni lazima DMT ichanganywe na majani yaliyo na Monoamine Oxidase Inhibitor.
-
Kimsingi ndani ya stomach zetu kuna enzymes inaitwa Monoamine Oxidase ambapo ukitumia huo mmea wa DMT unaenda kuwa deactivated na hiyo enzymes so haupati effect yoyote.
-
Ili kuistopisha hiyo enzymes ya tumboni ni lazima utumie Inhibitor ya hiyo enzymes ambayo ni Monoamine Oxidase Inhibitor kwa Hapo Tanzania inapatikana Kwenye majani ya Tumbaku yale majani mabichi utachanganya na majani ya mmea DMT, then yanachemshwa. Maeneo ya Asia na America walikuwa wanatumia kwa ku Smoke. Uki smoke inapitia Kwenye respiratory system to blood vessels then to brain inaenda ku create hiyo hallucinogenic effect. The best way to get DMT ni kuianda kama Mbege.
-
I don’t recommend yeyote kujaribu hili kwasababu kila kitu kina hitaji guidance: na hapa hatufundishi watu kutumia Psychedic drugs, tuna share taaluma na experience. Kwanza hata kama ukitaka kutumia, where are you going to source those plants, lol.? Ninachojua mimi ni wahindi na wasomali hapo Dar ndio mara nyingi wanakuwa na hii mimea nadhani wanatoa kwao. Wanatumia sana hizi mambo kwa imani zao.
-
Uvutaji wa Bangi ungekuwa unafanywa chini ya guidance , tungekuwa na vijana wenye kujitambua wengi sana na sio wahuni.
-
Nilianza kuvuta Bangi nikiwa Ufaransa chini ya uangalizi wa Professor wangu ambapo tulikuwa zaid ya watu 6, mataifa mbalimbali.
-
Kwenye Backyard yake kuna mimea michache ya bangi, tulichuma nae pamoja ile raw kabisa, yeye ndio aka determine dose yetu ku smoke, na kuna masharti mengi mengi tulipitia kiafya, kichakula na kimwili na kisaikoloji. It was a part of our field studying.
-
It helped us a lot, thanks to him. It uncovered a lot of irregularities in this life.
-
Je Vijana wanaovuta hii mimea kwa TZ, wanazingatia misingi na kanuni? Matokeo yake wanapotea.
-
Mtu anavuta Bangi kuondoka STRESS, that is BS, stress haziwezi kwisha for as long as you are alive.

Njia pekee ya kuondoa Stress ni KUFA.
-
Chochote lazima kifanywe chini ya Utaalam wa technical personnel.nina almost 5 years kama sikosei sijavuta Bangi, but I know I Smoke. Na ukiniona hivi live, unaweza kusema nina Danganya watu kuwa navuta bangi.
-
Huwezi kunijua Sababu nina ethics zote za utumiaji wa mimea na sijawahi kupata any side effects badala yake sijawahi kuumwa ugonjwa wowote.

I just enjoyed for the first time nilipoungana na jamii ya shaman huko Amazon, chini ya Uangalizi wa mzee Bob, nilitumia Ayahuasca, nikaomba peni na papers, nilitumia like 24 papers ndani ya masaa 2, niliyoaandika waliyatoa photocopy na wakaenda kuyatumia maandishi yangu Kwenye Research zao za medical field .
-
It is one of the best experience I had in my life and I feel very much blessed to be an Instrument of the nature in this mundane world.
 
IMG_4128.jpg

IMG_4127.jpg
 
Why do you need a drug to find your true self?! This is the world we live in today if you want to find the happiness you bought to find drugs
 
Taking Psychedelic :
It was one of the best experience I had in my life. I feel very much blessed to be an Instrument of the nature. It made me realize that there is something bigger than myself, bigger than the word I AM. Looking at the Psychedelic, realized that I have all the means to be ——- kuwa Ninachotaka.

Psychedelic Plants inakufungulia milango kuwa unachotaka.—MK54.
 
Most of the drugs coming from what you called divine plants Even a lot of poison coming from plants too.
 
Why do you need a drug to find your true self?! This is the world we live in today if you want to find the happiness you bought to find drugs
We have been wired or programmed by our society/family to be in our low versions (Egoist) of ourselves. To find your true self, it’s not an easy task. This is why we’re having this conversation. Msikilize Mkuu Mk54.

Ameandika vitu vingi sana na hizi sio hadithi, ni ana share experience zake.
 
Why do you need a drug to find your true self?! This is the world we live in today if you want to find the happiness you bought to find drugs

In addition to that; Psychedelic Divine Plant does not make you Happy, it makes you reveal your inner secrets.

Literally, Psychedelic means. Psyche -Minds
delic -Reveal

There is a huge difference between Psychedelic and other mind altering drugs such as Ketamine, MDMA, Cocaine, Heroin , Amphetamines, Morphine , methadone etc etc.
-
Ketamine, Morphine, Amphetamines, Halothane( the gas), methadone have been used for medical purposes, some as general anesthesia and others as painkiller for terminal -Ill Stage such as cancer stage 4.

In view of medical uses of the said drugs, consumers wengi wa hizi dawa za Hospitali , have ended up kwenye addiction na dependency.

Further to that, Psychedelic ukitumia for good course, haina dependence, addiction, only you need a guidance and the reason why.
 
In addition to that; Psychedelic Divine Plant does not make you Happy, it makes you reveal your inner secrets.

Literally, Psychedelic means. Psyche -Minds
delic -Reveal

There is a huge difference between Psychedelic and other mind altering drugs such as Ketamine, MDMA, Cocaine, Heroin , Amphetamines, Morphine , methadone etc etc.
-
Ketamine, Morphine, Amphetamines, Halothane( the gas), methadone have been used for medical purposes, some as general anesthesia and others as painkiller for terminal -Ill Stage such as cancer stage 4.

In view of medical uses of the said drugs, consumers wengi wa hizi dawa za Hospitali , have ended up kwenye addiction na dependency.

Further to that, Psychedelic ukitumia for good course, haina dependence, addiction, only you need a guidance and the reason why.
I know that the spiritual door has been completely closed for many of us, but why drugs, the names don't change the certainty.
 
We have been wired or programmed by our society/family to be in our low versions (Egoist) of ourselves. To find your true self, it’s not an easy task. This is why we’re having this conversation. Msikilize Mkuu Mk54.
Ameandika vitu vingi sana na hizi sio hadithi, ni ana share experience zake.
I know that we have been programmed, but taking individual information without questioning is a part of programming too. Why would he believes them that the proposed drugs, would open the psyche to the parallel world?
 
Most of the drugs coming from what you called divine plants Even a lot of poison coming from plants too.

Roger that, I agree with you. Ukisoma vyema post zangu utaona nimesisitiza sana under guidance.

Hata Mimi I spent 4 weeks and half in Amazon kuwa trained to understand the ultimate divine nature of these psychedelic plants.

Leo hii, mmea common Tu kama Bangi, ni dawa ya magonjwa mengi sana na hutumika sana katika spiritual transcendence beyond all odds, lakini je wangapi wanajua namna ya kutumia bangi, na je unajua unapaswa kutumia kitu gani baada ya ku Smoke Bangi ili kusafisha moshi and after effect.

Hii ndio shida ya vijana wetu wanafanya vitu bila maarifa. Nikikwambia 90% ya politicians Hapo TZ na nchi nyingine wanatumia mmea na mimea Hii , can you believe that.
Bahati mbaya hapa ni social media.

Mmasai anakula nyama everyday, but husikii ana kidney failure, blood pressure etc etc? Lakini ukirudi kwa wachaga wenzangu wengi ni ma pressure, kidney, matatizo ya miguu, hii ni kwa sababu wanapenda kula
Nyama but hawajui kuipika nyama kutoa toxic zote kwanza.

Wamasai wanapenda nyama na wanajua kuitengeneza ili kutoa sumu zote na odds.

Kila kitu ni guidance kaka. Haya mambo hayajawekwa kwa bahati mbaya .
 
Back
Top Bottom