Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Hatua hii nimeiweza mkuu,,, hebu tuendelee mbele kidogo hatua ya pili?!
 
Asante Mkuu, umenifungua kamba
 
Kitabu kinaitwaje kama hutojali...,
 
Tayat nimefabya hii what next
 
Hivi na hii ya Kuangalia saa kila siku unakumbana na mda huo huo imekaaje?
Kwa mfano: kila ikifika saa6 usiku akili inanishtua niangalie saa nakuta 00:00 inamaana gani
 
Soo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…