Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?


MShana hiki kitabu wirelessly ni expensive sana ,, nimecheck Kindle kinaenda kwa USD 178. Duuuh nikastaajabu..
 
More disjointed bullshit!
Hiyo itakuwa ni maji maji, tunaitumia sana kwenye utumbo!. Utumbo wa mbuzi hatuuoshi kabisa!, tunaukamua tuu na kuusokota ile ile harufu isipotee!. Hata utumbo wa ngombe ile sehemu ya kitabu, tunakunguta tuu! na moja kwa moja kwenye sufuria, ile harufu ya utumbo ndio mpango mzima!, jee unajua ni harufu ya nini?!, disjoited bullshit!.

Kwa vile nyani haoni ...sishangai, nikiendwa mtwara ambako wewe ni chakula yao, nitafutilia kama kwenye utumbo pia wanaacha ili ni taste ...shit nilinganishe na ile ya bull!.
Pasco.
 

Jibber jabber.
 
Mkuu Mpigania Uhuru, fanya with moderations kwa sababu powers zako ni higher powers, ukizifanya unguided, tunaweza kujistukia tumekupoteza into the unknown.

Huyo aliyekuja chumbani kwako usiku ni mchawi, sio mwanga!. Kuna tofauti kati ya wanga na wachawi!. Wote wanaruka usiku na wote wanatembea uchi, ila wanga wanatumia astra bodies, wachawi wanatumia real bodies!.
Wanga wanawachezea tuu watu na kuwachosha bila kuwadhuru, wachawi wanawadhuru!. Wanga wanachukua astra body kuiwangia, by that time real body inakuwepo kitandani, wachawi wanahukua real bodies hivyo unaweza kurudishwa na matope!. Wanga hawawezi kushika kupiga kwa sababu wao ni astra, wachawi ndio wanaweza kupiga!, huyo aliyekupiga ni mchawi, na baaa ya kujua umemuona, alikwenda kuwaita wenzange ili wakushughulikie ikibidi wakupotezee!, walishindwa baada ya kukuta powers zako ni over and above!. Kwa lugha ya kawaida wanaita malaika wako ni imara!. Ukiongea na wazazi prefarbly mababu, watakuambia kwenye ukoo wenu you hadi a great man, hivyo vile vipawa vimekuibukia wewe!.

Just take time slowly slowly kuzicontrol at will, ukiamua kuzama kwenye dini, utafanya miujiza sana!.
Pasco.
 
Jibber jabber.
Duu, hii ni mpaka kesho nikatafute dikshenari!, hii ni shit ya nani?!, naikumbuka ile bullshit, na disjointed bullshit!,
sasa hii "Jibber jabber disjointed bullshit!" itakuwa kiboko!, kama ile bullshit ya mwanzo tunailia kwenye mchicha, ile disjointed bullshit tunailia kwenye utumbo, nadhani hii "Jibber jabber disjointed bullshit!" itakuwa ni ya kupakuliwa kabisa kwenye sahani!, tena nahisi zize yake itakuwa kama yale masoseji ma biggy! au misoseji mikubwa!.
Pasco.
 
Pasco i salute u, unaelewa haya mambo sana, binafsi i've read and tried some stuffs and i see some unusual changes, so much to explain.
Nina swali huwa lantatiza, nataka unsaidie, nmewasoma alchemists, and they relate the plant cannabis(weed) na masuala fulani kama ulioelezea ya subconscious mind meditation and stuffs like those, and i personally smoke sumtyms.
Whenever i meditate while am high inakuwa extraordinary meditation, yan nafika places ambazo sifiki nkiwa normal, pia ile kuwaza jambo kwa umakini zaidi while high. I need to know the relationship, kama upo aware na haya mambo na huu mmea, plz enlighten me.
 
Pasco kaka mzuri mie nimeusoma ahuu uzi toka jana mpaka leo nimejikuta nina maswali mengi sana kwako, hivi kwann mtu huwa anakuwa na uwezo wa ku foreseen mambo?? like mimi huwa naona kabaisaa jambo la mbele yangu lkn kama ni baya once i open my mouth and curse it halitatokea tena but if i keep silence basi latokea kwa kiwango kile kile nilichoonea.

pia ndoto zote ambazo kwangu ni successful ni zile ambazo nimeziota on negative bases, like nikiota nimefeli sana hadi nalia basi utakuta matokeo siku hivyo yatatoka na ninakuwa nimefaulu sana kupita maelezo. nikiota binti fulan ni mjamzito basi utakuta mimi ndiye mjamzito.

halafu kuna baadhi ya ndoto ambazo ni repetitive kwangu baada ya muda fulan let saya a day or two or even a week hujirudia tena lkn hizi sijaweza kuzifumbua zina maana gani.

ontop of that huwaga kama ninajifikiria kwamba nina pepo la utambuzi kwa hali hii na huwa namwomba Mungu sana aniondolee manake sidhan kama ni hali ya binadamu ya kawaida.
 
Last edited by a moderator:
Hii imenisisimua kidogo..ila kaka hujawai fanyiwa matambiko utotoni labda na bibi hivi kama vile kuwekewa chale za kukulinda..!!
All in all we jasiri sana unawezaje kustahimili maono haya

mkuu hii haina cha matambiko wala nini..mimi nilikua nina uwezo wa kuona watu kama hao ila niliteseka sana na sijui hiyo ability ilipotelea wapi..
 

hakika.
 
Pasco mimi kuna hii kitu huwa inanitokea ninapokuwa nimekaa na mtu let say kiti kimoja, tumegusana either miguu au mikono,nilichogundua ni kwamba ninapokuwa aware kuwa huyu mtu tumegusana naye tena mahali fulani let say kwenye mguu,nikifanya concentration ya pale tunapogusana unakuta yule mtu kama vile nimepeleka taarifa kuwa tumegusana pale mahali,naye utakuta kama ilikuwa kwenye mkono au mguu au paja utaona anasogeza mguu kuashiria kuwa naye ame notice pale tulipogusana.Sasa hii nayo tunaiwekaje kwenye hizo powers,jingine ni kuwa jambo fulani linatokea najikuta kuwa hili jambo au tukio nilishawahi kuliota before halijatokea yaani unakuta mpaka najua litaishaje na linakuja kuishia vilevile,hii imeshanitokea mara nyingi sana.Pls nipe ufafanuzi hii nayo ni nini?
 
Last edited by a moderator:
i' had already open third eye and close that ernegy with rituals bath successifull but i dont suggest any to do that

Chief, nilimsoma Samuel Sagan MD na kitabu chake cha Awakening the Third Eye... I agree with you activation ya Pineal gland/third eye/Ajna Chakra can be dangerous. Nawaona wale curious chaps wanataka kuifungua hii kitu.I opted not to practise.
 
kaka Pasco nimekufuatilia huu uzi mwanzo mwisho, nimejifunza mambo mengi sana na mimi nimekua interested kujua what is within me, ngoja nianze kuyatafuta haya maarifa ktk baadhi ya vitabu vilivyoainishwa na baadhi ya wadau ktk comments zilizopita
 
Last edited by a moderator:
Chief, nilimsoma Samuel Sagan MD na kitabu chake cha Awakening the Third Eye... I agree with you activation ya Pineal gland/third eye/Ajna Chakra can be dangerous. Nawaona wale curious chaps wanataka kuifungua hii kitu.I opted not to practise.

i' had already open third eye and close that ernegy with rituals bath successifull but i dont suggest any to do that

Sasa jamani nyie mnaojua THE BAD SIDE ya haya mambo tujuzeni basi..maana inakua ka mnatutisha pasipo kutupa picha iliyowazi..mi naamini mnania nzuri ya kutukinga na matatizo ila fungukeni basi.. Pasco ye kafunguka kwa kirefu mpaka katujaza wengi wetu hamu ya kutaka kuyajua haya mambo kwa ukaribu ka mnavyoona watu wanavyotoa shuhuda zao afu ni kawaida ya wanadamu kutaka kujifunza mambo mapya.
All in all tusaidieni nyie mnaoyajua haya mambo tusije kujiletea mabalaa maishani.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu MpiganiaUhuru naomba unijibu haya maswali yangu mawili la kwanza hili
(1)Unapouacha mwili wako huwa unaenda wapi na unatumia mwili upi tofauti na huo uliouacha hapo ulipokuwepo kabla ya kujinyofoa ndani ya huo mwili.
(2)unapouacha barabarani watu wanauona au hauonekani na magari yakipita hayaugongi huo mwili?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…