Sasa jamani nyie mnaojua THE BAD SIDE ya haya mambo tujuzeni basi..maana inakua ka mnatutisha pasipo kutupa picha iliyowazi..mi naamini mnania nzuri ya kutukinga na matatizo ila fungukeni basi.. Pasco ye kafunguka kwa kirefu mpaka katujaza wengi wetu hamu ya kutaka kuyajua haya mambo kwa ukaribu ka mnavyoona watu wanavyotoa shuhuda zao afu ni kawaida ya wanadamu kutaka kujifunza mambo mapya.
All in all tusaidieni nyie mnaoyajua haya mambo tusije kujiletea mabalaa maishani.
Mi kuna wakati nilianza kidogo kufuatilia haya mambo nikaona nakua kama taahira nikaacha. Ila kuna baadhi ya mambo mazuri ambayo niligundua. Mfano njia zao za relaxation mi nilizipenda sana na mpaka sasa huwa nazitumia. Yaani kuna wakati labda unaweza kupata mshtuko moyo ukawa unaenda mbio.. lakini ukitumia hizi mbinu za kurelax kama alivyoeleza mdau unajikuta unarudi kwenye hali ya kawaida very soon. Pia usiku kama umekosa usingizi au unataka kulala mchana ukifanya relaxation na ku clear mind hata kama una mawazo kiasi gani yani ni dakika unaishia usingizini..! Otherwise mambo ya sijui kukodolea macho mshumaa hapana..!!
Mkuu Mbeky kama nilivyosema hapo awali kiukweli mimi sijafanikiwa kufungua hili jicho la tatu kwa kuwa sijafanya mazoezi stahili.Lakini kilichonipa tatizo la kuendelea na zoezi hili ni kutambua kuwa kuna Dimension mbili pale jicho hili la tatu linapofunguka.Sasa mtu akifanikiwa kupata Higher Dimension ni heri, lakini wale walioangukia kwenye Lower Dimension wamejutia huu uamuzi wao.
Lower dimension imewapelekea watu kuona where restless souls stays. Restless souls ni kama wale watu waliocomit sucide na roho zao zinatanga tanga kila mahali.Dimension hii si nzuri kabisa maana inakuwezesha kuona maovu katika ulimwengu wa roho.
Ni vyema kuchagua vema kabla ya kuingia huku na kamwe usipractise kama nia yako ni kudhuru watu kwa sababu The Law of Karma inakataza vibaya sana.
Nashuru kwa maelezo yako nzuri..ila nilikua nadukuduku kidogo katika haya...
So ni factors zipi zinampeleka mtu to high dimension na zipi zinampeleka lower demension...?
Afu unaposema "third eye" ni sawa na hichi kinachoongelewa humu kama "Inner/psyric powers " ambazo watu wanasema wanazo...?
Mkuu jibu la swali lako la pili ni hili hapa chini.
3.1 What is the third eye?
The third eye is the gate that opens to the space of consciousness
and to the inner worlds. It is also the main organ through which
the body of energy can be awakened and governed. So, practically,
the third eye acts as a switch, which can activate higher
frequencies of the body of energy and thereby lead to higher
states of consciousness.
From a therapeutic point of view, it has been my experience over
the years that many clients get better when they connect with
their third eye, whatever the nature of their problem. Due to its
function as a switch, as soon as it is activated the third eye tends
to set into motion several circulations of energy. This
automatically results in correcting a number of physical and
emotional disorders, a process that could be described as a kind of
self-acupuncture. Moreover, even the beginning of third eye
awakening tends to put people in touch with more profound
aspects of themselves, which in itself has a major healing action.
Of course, I am not suggesting that it is enough to connect with
the third eye to heal everything, but still the potential of this
centre is so enormous that I would not be surprised if in the
coming decades, more and more third eye therapies were
developed.
From a spiritual point of view, in both the Christian and Hindu
traditions one finds texts that compare the body to a temple. If
we were to develop the analogy, we could compare the third eye to
the temple's portal. By crossing the portal one goes from the
profane to the sacred, from the stage where one reads and thinks
about spiritual life to the stage where one starts experiencing it.
The third eye has always been regarded by those who seek to know
themselves as a most precious jewel, hence the precious stone
placed on the forehead of statues of buddhas.
In this chapter we will describe how to begin to establish a
connection with the third eye (practice 3.2). Then we will cover a
technique of meditation (3.7) through which the third eye can be
further explored and developed.
Ki ukweli Pasco yote unayosema ni halisia kabisa. Mfano, mimi huwa kuna mambo ambayo nayatamani sana na nikiyawaza kwamba ni lazima ntayapata kwa kweli huwa nayapata. Huwa nashindwa kujua ntayapata vipi, wakati gani au kwa namna gani lakini huwa mwishowe nayapata. Hata hilo la wasichana kwa mfano, naweza muona msichana say tuko bar au mahali popote nikamfeel basi nikisema niconcentrate kumwangalia yanilazima atageuka tu na tukigongana nae macho basi kama yuko na jamaa yake utamwona hata utulivu unabadilika na kujifanya anaangalia huku na huko ili mradi tu apitishe macho na kuniangalia. Basi inafika wakati najisemea hebu niache kuendelea kumwangalia sana as naona kabisa hali imechange kwake.
Kiukweli hizi nguvu watu wengi tunazo tatizo ni how to realize if we have those powers.
Mimi huogopa kwa kweli kuingia deep katika haya mambo kwa sababu huwa yanaogopesha sana. Wakati mwingine yanakuwa kama yanakinzana na Imani tulizolelewa nazo.
Big up kwako Pasco na wadau wengine wenye nia na hii elimu ya ufahamu. Mimi naitumia selectively kwa mambo machache.
Huwa nasoma vitabu vya mind & psychology na kugundua mambo mengi sana.
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".
Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.
Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.
Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.
Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".
Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".
Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.
"I know I can, be what I wanna be!"
Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.
Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".
This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.
- Apportation - Materialization, disappearance, or teleportation of an object.[SUP][1][/SUP]
- Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things.[SUP][2][/SUP]
- Automatic writing - Writing produced without conscious thought.[SUP][3][/SUP]
- Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.[SUP][4][/SUP]
- Bilocation or multilocation - Being in multiple places at the same time.[SUP][5][/SUP]
- Clairaudience - receiving messages in thought form from another frequency or realm. It is considered a form of channeling.
- Clairvoyance, second sight - Perception outside the known human senses.[SUP][2][/SUP]
- Death-warning - A vision of a living person prior to his or her death.[SUP][6][/SUP]
- Divination - Gaining insight into a situation via a ritual.[SUP][7][/SUP]
- Dowsing - Ability to locate objects.[SUP][8][/SUP]
- Energy medicine - Healing by channeling a form of energy.[SUP][9][/SUP]
- Faith healing - Diagnosing and curing disease using religious devotion.[SUP][10][/SUP]
- Mediumship or channeling – Communicating with spirits.[SUP][11][/SUP]
- Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
- Psychic surgery - Removal of diseased body tissue via an incision that heals immediately afterwards.[SUP][12][/SUP]
- Psychokinesis or telekinesis - The ability to manipulate matter by the power of thought.
- Psychometry or psychoscopy - Obtaining information about a person or object.
- Pyrokinesis - Manipulation of fire.
- Remote viewing - Gathering of information at a distance.
- Retrocognition - Perception of past events.
- Scrying - Use of an item to view events at a distance or in the future.
- Telepathy - Transfer of thoughts or emotions.
- Transvection - Bodily levitation or flying.
Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.
Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.
Karibu tujadiliane!.
Pasco.
Mkuu Nyerere, Vodoo ni uchawi wa Visiwa America ya Kati, Haiti, Trinidad and Tobago ambako ni wachawi kweli huko uchawi ni dini inaitwa Vodooism hao jamaa wanafufua hadi maiti inatembea yenyewe "Make the copse walk!".Sasa mkubwa pasco... mbona tunaambiwa nguvu za hawa waponyaji makanisani zinatokana na kutumia mti wa VDOO, au MKANDA WA SUMAKU na mafuta ya MiZAITUNI au !!!!
Mkuu Nyerere, Vodoo ni uchawi wa Visiwa America ya Kati, Haiti, Trinidad and Tobago ambako ni wachawi kweli huko uchawi ni dini inaitwa Vodooism hao jamaa wanafufua hadi maiti inatembea yenyewe "Make the copse walk!".
Waponyaji wa makanisani wanatumia Jina la Bwana, Jina la Yesu au Jina la Mungu kuzifungua powers za uponyaji zilizoko
Ndani yako. Hayo maji ya baraka, mafuta ya MiZAITUNI. Ubani, kukuwekea mikono na kukemea, vyote hivi ni vichocheo tuu vya nguvu hizi kupunguza!. Kinachoponya sio jina, sio mchungaji,sio mafuta wala sio nini bali ni nguvu zako mwenyewe zilizoko Ndani yako.