Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Umenifanya nikumbuke mambo mengi juu yangu. Nilipokuwa mtoto nilikuwa nikimwambia mama leo kuwa makini la sivyo utaibiwa na hasa kama anasafari ya kwenda mjini kuchukua mshahara. Na kweli mara nyingi alikuwa anaibiwa. au naota kupaa au kutumbukia kwenye korongo au shimo kubwa na kabla ya kufika huko ndani nashtuka na kuamka. pia naota ndoto ambazo mara nyingi zinatokea mpaka huwa naogopa kusimulia kwani marafiki zangu wengi wameshuhudia nikiwasimulia ndoto lazima itatokea as if nimeangalia sinema. ila hili la kutumbukia shimoni huwa siipendi kabisa sijui ina maana gani Pasco!
 
Sasa jamani nyie mnaojua THE BAD SIDE ya haya mambo tujuzeni basi..maana inakua ka mnatutisha pasipo kutupa picha iliyowazi..mi naamini mnania nzuri ya kutukinga na matatizo ila fungukeni basi.. Pasco ye kafunguka kwa kirefu mpaka katujaza wengi wetu hamu ya kutaka kuyajua haya mambo kwa ukaribu ka mnavyoona watu wanavyotoa shuhuda zao afu ni kawaida ya wanadamu kutaka kujifunza mambo mapya.
All in all tusaidieni nyie mnaoyajua haya mambo tusije kujiletea mabalaa maishani.

Mkuu Mbeky kama nilivyosema hapo awali kiukweli mimi sijafanikiwa kufungua hili jicho la tatu kwa kuwa sijafanya mazoezi stahili.Lakini kilichonipa tatizo la kuendelea na zoezi hili ni kutambua kuwa kuna Dimension mbili pale jicho hili la tatu linapofunguka.Sasa mtu akifanikiwa kupata Higher Dimension ni heri, lakini wale walioangukia kwenye Lower Dimension wamejutia huu uamuzi wao.

Lower dimension imewapelekea watu kuona where restless souls stays. Restless souls ni kama wale watu waliocomit sucide na roho zao zinatanga tanga kila mahali.Dimension hii si nzuri kabisa maana inakuwezesha kuona maovu katika ulimwengu wa roho.

Ni vyema kuchagua vema kabla ya kuingia huku na kamwe usipractise kama nia yako ni kudhuru watu kwa sababu The Law of Karma inakataza vibaya sana.
 
Mi kuna wakati nilianza kidogo kufuatilia haya mambo nikaona nakua kama taahira nikaacha. Ila kuna baadhi ya mambo mazuri ambayo niligundua. Mfano njia zao za relaxation mi nilizipenda sana na mpaka sasa huwa nazitumia. Yaani kuna wakati labda unaweza kupata mshtuko moyo ukawa unaenda mbio.. lakini ukitumia hizi mbinu za kurelax kama alivyoeleza mdau unajikuta unarudi kwenye hali ya kawaida very soon. Pia usiku kama umekosa usingizi au unataka kulala mchana ukifanya relaxation na ku clear mind hata kama una mawazo kiasi gani yani ni dakika unaishia usingizini..! Otherwise mambo ya sijui kukodolea macho mshumaa hapana..!!

Mkuu,nimechoka na piriton na valium,kwa kutafuta usingizi na mawazo mengi. Naomba hizo njia za relaxation.
 
Mkuu Mbeky kama nilivyosema hapo awali kiukweli mimi sijafanikiwa kufungua hili jicho la tatu kwa kuwa sijafanya mazoezi stahili.Lakini kilichonipa tatizo la kuendelea na zoezi hili ni kutambua kuwa kuna Dimension mbili pale jicho hili la tatu linapofunguka.Sasa mtu akifanikiwa kupata Higher Dimension ni heri, lakini wale walioangukia kwenye Lower Dimension wamejutia huu uamuzi wao.

Lower dimension imewapelekea watu kuona where restless souls stays. Restless souls ni kama wale watu waliocomit sucide na roho zao zinatanga tanga kila mahali.Dimension hii si nzuri kabisa maana inakuwezesha kuona maovu katika ulimwengu wa roho.

Ni vyema kuchagua vema kabla ya kuingia huku na kamwe usipractise kama nia yako ni kudhuru watu kwa sababu The Law of Karma inakataza vibaya sana.

Nashuru kwa maelezo yako nzuri..ila nilikua nadukuduku kidogo katika haya...
So ni factors zipi zinampeleka mtu to high dimension na zipi zinampeleka lower demension...?

Afu unaposema "third eye" ni sawa na hichi kinachoongelewa humu kama "Inner/psyric powers " ambazo watu wanasema wanazo...?
 
Nashuru kwa maelezo yako nzuri..ila nilikua nadukuduku kidogo katika haya...
So ni factors zipi zinampeleka mtu to high dimension na zipi zinampeleka lower demension...?

Afu unaposema "third eye" ni sawa na hichi kinachoongelewa humu kama "Inner/psyric powers " ambazo watu wanasema wanazo...?


Mkuu jibu la swali lako la pili ni hili hapa chini.

3.1 What is the third eye?

The third eye is the gate that opens to the space of consciousness

and to the inner worlds. It is also the main organ through which

the body of energy can be awakened and governed. So, practically,

the third eye acts as a ‘switch', which can activate higher

frequencies of the body of energy and thereby lead to higher

states of consciousness.

From a therapeutic point of view, it has been my experience over

the years that many clients get better when they connect with

their third eye, whatever the nature of their problem. Due to its

function as a switch, as soon as it is activated the third eye tends

to set into motion several circulations of energy. This

automatically results in correcting a number of physical and

emotional disorders, a process that could be described as a kind of

self-acupuncture. Moreover, even the beginning of third eye

awakening tends to put people in touch with more profound

aspects of themselves, which in itself has a major healing action.

Of course, I am not suggesting that it is enough to connect with

the third eye to heal everything, but still the potential of this

centre is so enormous that I would not be surprised if in the

coming decades, more and more ‘third eye therapies' were

developed.

From a spiritual point of view, in both the Christian and Hindu

traditions one finds texts that compare the body to a temple. If

we were to develop the analogy, we could compare the third eye to

the temple's portal. By crossing the portal one goes from the

profane to the sacred, from the stage where one reads and thinks

about spiritual life to the stage where one starts experiencing it.

The third eye has always been regarded by those who seek to know

themselves as a most precious jewel, hence the precious stone

placed on the forehead of statues of buddhas.

In this chapter we will describe how to begin to establish a

connection with the third eye (practice 3.2). Then we will cover a

technique of meditation (3.7) through which the third eye can be

further explored and developed.
 
Sasa mkubwa pasco... mbona tunaambiwa nguvu za hawa waponyaji makanisani zinatokana na kutumia mti wa VDOO, au MKANDA WA SUMAKU na mafuta ya MiZAITUNI au !!!!
 
Mkuu jibu la swali lako la pili ni hili hapa chini.

3.1 What is the third eye?

The third eye is the gate that opens to the space of consciousness

and to the inner worlds. It is also the main organ through which

the body of energy can be awakened and governed. So, practically,

the third eye acts as a ‘switch’, which can activate higher

frequencies of the body of energy and thereby lead to higher

states of consciousness.

From a therapeutic point of view, it has been my experience over

the years that many clients get better when they connect with

their third eye, whatever the nature of their problem. Due to its

function as a switch, as soon as it is activated the third eye tends

to set into motion several circulations of energy. This

automatically results in correcting a number of physical and

emotional disorders, a process that could be described as a kind of

self-acupuncture. Moreover, even the beginning of third eye

awakening tends to put people in touch with more profound

aspects of themselves, which in itself has a major healing action.

Of course, I am not suggesting that it is enough to connect with

the third eye to heal everything, but still the potential of this

centre is so enormous that I would not be surprised if in the

coming decades, more and more ‘third eye therapies’ were

developed.

From a spiritual point of view, in both the Christian and Hindu

traditions one finds texts that compare the body to a temple. If

we were to develop the analogy, we could compare the third eye to

the temple's portal. By crossing the portal one goes from the

profane to the sacred, from the stage where one reads and thinks

about spiritual life to the stage where one starts experiencing it.

The third eye has always been regarded by those who seek to know

themselves as a most precious jewel, hence the precious stone

placed on the forehead of statues of buddhas.

In this chapter we will describe how to begin to establish a

connection with the third eye (practice 3.2). Then we will cover a

technique of meditation (3.7) through which the third eye can be

further explored and developed.

Mdau #AmaniGK safi sana...sasa najiona naanza pata mwangaza kwa mbaliii..
Kwa nilivyoelewe mimi (correct me if I am wrong) hiyo so called "six sense au inner power " inafunguliwa baada ya mtu kufungua "third eye " so the trick point ni kufungua third eye either through meditation au hizo njia zingine..
Sijui ntakua sawa kusema hivyo
 
Ki ukweli Pasco yote unayosema ni halisia kabisa. Mfano, mimi huwa kuna mambo ambayo nayatamani sana na nikiyawaza kwamba ni lazima ntayapata kwa kweli huwa nayapata. Huwa nashindwa kujua ntayapata vipi, wakati gani au kwa namna gani lakini huwa mwishowe nayapata. Hata hilo la wasichana kwa mfano, naweza muona msichana say tuko bar au mahali popote nikamfeel basi nikisema niconcentrate kumwangalia yanilazima atageuka tu na tukigongana nae macho basi kama yuko na jamaa yake utamwona hata utulivu unabadilika na kujifanya anaangalia huku na huko ili mradi tu apitishe macho na kuniangalia. Basi inafika wakati najisemea hebu niache kuendelea kumwangalia sana as naona kabisa hali imechange kwake.
Kiukweli hizi nguvu watu wengi tunazo tatizo ni how to realize if we have those powers.
Mimi huogopa kwa kweli kuingia deep katika haya mambo kwa sababu huwa yanaogopesha sana. Wakati mwingine yanakuwa kama yanakinzana na Imani tulizolelewa nazo.
Big up kwako Pasco na wadau wengine wenye nia na hii elimu ya ufahamu. Mimi naitumia selectively kwa mambo machache.
Huwa nasoma vitabu vya mind & psychology na kugundua mambo mengi sana.

Mimi sijawahi kusoma kitabu chochote cha meditation,ila kila mwanamke ninayeonana naye,haijalishi ni mke wa mtu,rafiki au single,nikimtaka asilimia kubwa nitampata na hakuna nguvu yoyote ya maneno au hela ninayotumia. Imenifanya hata sijui kumpatia mwanamke zawadi maishani mwangu zaidi ya wao kunipatia. Ila inanikera kwasababu nashindwa kudumu nao,kutokana na mimi kuwaudhi.
 
Pasco nijibu hili tafadhali
watu wenye uwezo wa kuwa wanakutana na watu au wanaenda mahali na inakuwa kama marudio
wafanyaje kurudisha uwezo huo?
 
Last edited by a moderator:
Pasco nijibu hili tafadhali
watu wenye uwezo wa kuwa wanakutana na watu au wanaenda mahali na inakuwa kama marudio
wafanyaje kurudisha uwezo huo?
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Pasco.

Made from hell!
 
Sasa mkubwa pasco... mbona tunaambiwa nguvu za hawa waponyaji makanisani zinatokana na kutumia mti wa VDOO, au MKANDA WA SUMAKU na mafuta ya MiZAITUNI au !!!!
Mkuu Nyerere, Vodoo ni uchawi wa Visiwa America ya Kati, Haiti, Trinidad and Tobago ambako ni wachawi kweli huko uchawi ni dini inaitwa Vodooism hao jamaa wanafufua hadi maiti inatembea yenyewe "Make the copse walk!".

Waponyaji wa makanisani wanatumia Jina la Bwana, Jina la Yesu au Jina la Mungu kuzifungua powers za uponyaji zilizoko
Ndani yako. Hayo maji ya baraka, mafuta ya MiZAITUNI. Ubani, kukuwekea mikono na kukemea, vyote hivi ni vichocheo tuu vya nguvu hizi kupunguza!. Kinachoponya sio jina, sio mchungaji,sio mafuta wala sio nini bali ni nguvu zako mwenyewe zilizoko Ndani yako.
 
Kaka PASCO yaani tangu nianze kuupitia huu uzi jpili, nikaamua kupitia vitabu viwili nili download "Bring out the magics in you mind, by Al koran" na "The Power of your Subconscious Mind by Dr Joseph Murphy" yaani nimepata mwanga ambao naanza kuona wenzangu wana mzaha sana na maisha ya leo na baadaye (life after death). Kila jambo nimeona likitokea nimelihusisha na hizi nguvu, hakuna nguvu kubwa na hatari kama "kuamini". Hata mlango ukijifunga nahisi ni yale yale. Inatia hofu mkuu maana kwenda deep sana naweza kuwa na hizi nguvu na nikaanza kuzi-misuse na kumkosa YESU KRISTO litakuwa kosa kubwa na sidhani kama kutakuwa na point of return. Ila very interesting. Thanks PASCO
 
Pasco, please tell people that the power is also transferable. Aliye na 1. Nyingi 2. Mwenye kutambua nguvu na uwezo wake anaweza kumupa au kumogeza yule amtakakiyaye.

2. Can you also make it more clearer that in the spirit realm there are Good power and Bad power
3. All power has its sources - there are power givers whichever side of the power is your source

4. Out there in the spirit realm its an unknown territory whereby you really dont know the next step unless your power source is so definite. It is easier kuingia na kubaki mtumwa ambaye kazi yako ni kushangilia operators activities but really you have no function.

Yaani kama curiosity ya kuamini kuwa ukiingia kwenye website ya picha za ngono utafurahia sana. Unaweza kuamini kuwa ukiingia utaona kila style na kila mtindo wa ngono - lakini ukiingia utakutana na kila aina ya uchafu. mwisho wake it leaves you emptier than before you knew the site. Dont make hii subject yako look like it is an easy ride, harmless experience brother! you are dealing with peoples lives/destinies! Fundisha, Be more responsible!

Mkuu Nyerere, Vodoo ni uchawi wa Visiwa America ya Kati, Haiti, Trinidad and Tobago ambako ni wachawi kweli huko uchawi ni dini inaitwa Vodooism hao jamaa wanafufua hadi maiti inatembea yenyewe "Make the copse walk!".

Waponyaji wa makanisani wanatumia Jina la Bwana, Jina la Yesu au Jina la Mungu kuzifungua powers za uponyaji zilizoko
Ndani yako. Hayo maji ya baraka, mafuta ya MiZAITUNI. Ubani, kukuwekea mikono na kukemea, vyote hivi ni vichocheo tuu vya nguvu hizi kupunguza!. Kinachoponya sio jina, sio mchungaji,sio mafuta wala sio nini bali ni nguvu zako mwenyewe zilizoko Ndani yako.
 
Back
Top Bottom