binafsi nimeokoka na nina nguvu za Roho Mtakatifu!
lakn nimepata wazo ambalo sijawahi ktmwambia mtu, ni kuwa kuna matukio hutokea na akili hukumbuka kuwa nilishayaona japo sitatjumbuka wapi na lini! ths is super natural power na zina oka kwa Mungu wala msimhusudu shetani
Unasema ni movie kwa sababu nimetaja neno "action". Action = tendo
We huna uwezo wa kuuwacha mwili wako uende sehemu ingine na UKAFANYE ACTION FLANI!
HUO NI UONGO KAKA!
Hapa unaongea na watu wazima! Sio wtt wa chekechea!
Kama vipi wee njoo mimi nilipo km sio uongo huo.
Teh teh teh
We huna uwezo wa kuuwacha mwili wako uende sehemu ingine na UKAFANYE ACTION FLANI!
HUO NI UONGO KAKA!
Hapa unaongea na watu wazima! Sio wtt wa chekechea!
Kama vipi wee njoo mimi nilipo km sio uongo huo.
Teh teh teh
Ukweli unakawaida ya kuuma sana!
Na ni hulka ya binadamu kufura/kukasirika pindi unapotofautiana nae mawazo hasa anapoamini yeye yuko sahihi kwa kila jambo!
Dr kahtaan endelea kuwaambia UKWELI tena kwa hoja na vithibitisho kama unavyofanya!
UKWELI lazima usemwe hata kama ni shubiri!
teh teh teh ! sasa haya si maajabu haya!
We unashangaa signature yangu! Halafu wewe unajiita MpiganiaUhuru wakati Avatar YAKO UMEWEKA SURA YA MKOLONI!!
TEH TEH TEH TEH!
Mimi kukupa majibu ya kweli lzm uonene kuwa mimi ni arrogant, and guess what! Arrogant is my Middle name! live with it,
Usipende maneno ya rusha roho! badala ya kunichambua mimi nilivyo LETA HOJA!
kAMA huna hoja! kakojoe ulale
Unapotoa mfano wa mungu kuonekana!! How is that got to do with your MADE UP STORY!!??
R u trying to threat me?? teh teh teh teh teh!
Not in a million years that you will EVER BE ABLE TO SCARED ME!
And if you think you can, THEN BRING IT ON, I AM READY!!
Km huna majibu ya swali unakausha tu sio kueka swali juu ya swali,,kwn we unajua nn?
Hujaelewa swali
"Nilikuuliza unajua maana ya kuhusisha?
Yaani nataka nijue kama unajua maana ya neno "kuhusisha" "
Umejibu kitu ambacho sijakuuliza
Halafu jaribu kujibu kwa quote kama hujui sema tukuelekeze!
Unaweza ukawa mkristo usiwe mkatoliki lkn huwezi kuwa mkatoliki usiwe mkristo,
Bcoz all Christians worship Christ, ndio maana tukaitwa wakristo sio dhehebu ulilo bali ni nani unamwabudu, hiyo kuombea wafu hata kwa walutheran imewekwa this year kama unafaham kama hujui fatilia and still they're christians.
Ungeanza kujichukia wewe ambae hujui hata mada inazungumzia nini!
Mada inazungumzia mambo tofauti kabisa na uloyaleta, alafu mada haijalazimisha mtu wala kumtisha mtu u can decide to practice u can decide not to practice, nyinyi mada mloleta ni za kutishana
Nimeshajua jinsi ya ku quote labda unifundishe ku highlight,
Hapo nilipoweka funga semi na fungua semi ndipo ulipotapatapa, angalia na soma swali lako vizuri na nilivokujibu nilivokuelekeza nn neno kuhusisha lamaanisha. wewe unakuja singizia sijui nn hapo ww ndio umetapatapa sio mimi.
Ameuhusishaje ukristo?
Wewe utasingizia simu lkn hata kama tungekuwa face to face usingeweza nihakikishia alipouhusisha,
Bcoz in reality hajahusisha dini yoyote.
........Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.
Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.
Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".
Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".
Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.
"I know I can, be what I wanna be!"
Bwana eiyer wacha uongo Kristo anakuona bana.
Wewe hujamsuport nyenyere pale aliposema "wewe(pasco) si mkristu na ame(pasco)mkana kristu, ukam support hivi "sio kila anaesema ni mkristo ni mkristo na huyu jamaa (pasco) ni mmoja wa hao!" is that not judging brother? Hujaonyesha vile alivoandika kinyume na Kristo na hutoweza onyesha, kaka pale ulihukumuuu.
Una swali?
Eiyer bana
Unawezaje kuwa mkatoliki usiwe mkristo bandugu, what are u writting bro.
Na ni mtu yupi mwenye sifa ya kuwa na nguvu za Mungu? Yeye si ametuumba kwa mfano wake, ama.