Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

binafsi nimeokoka na nina nguvu za Roho Mtakatifu!
lakn nimepata wazo ambalo sijawahi ktmwambia mtu, ni kuwa kuna matukio hutokea na akili hukumbuka kuwa nilishayaona japo sitatjumbuka wapi na lini! ths is super natural power na zina oka kwa Mungu wala msimhusudu shetani

Huhitaji kumwambia yeyote kwa sababu ni kawaida. Labda mpendwa fafanua maana ya super natural power.
 
We huna uwezo wa kuuwacha mwili wako uende sehemu ingine na UKAFANYE ACTION FLANI!
HUO NI UONGO KAKA!
Hapa unaongea na watu wazima! Sio wtt wa chekechea!
Kama vipi wee njoo mimi nilipo km sio uongo huo.
Teh teh teh

Nimefuatilia comments/posts zako nyingi kwa wenzio nikagundua kuwa zimekaa ki-arrogant! That shows how you are! Pia nikiangalia msg iliyo kwenye footer yako imekaa kishari! Another trait of yours! Mind you, kama wewe ni msomaji wa vitabu "vitakatifu" utakuwa umeona andiko linalozungumzia juu ya watu fulani kutaka kumuona Mungu kwani walichoka kuletewa taarifa, in fact, alipojidhihirisha kwao waliapa kuwa wasingependa tena kumuona!
 
We huna uwezo wa kuuwacha mwili wako uende sehemu ingine na UKAFANYE ACTION FLANI!
HUO NI UONGO KAKA!
Hapa unaongea na watu wazima! Sio wtt wa chekechea!
Kama vipi wee njoo mimi nilipo km sio uongo huo.
Teh teh teh

Ukweli unakawaida ya kuuma sana!

Na ni hulka ya binadamu kufura/kukasirika pindi unapotofautiana nae mawazo hasa anapoamini yeye yuko sahihi kwa kila jambo!

Dr kahtaan endelea kuwaambia UKWELI tena kwa hoja na vithibitisho kama unavyofanya!

UKWELI lazima usemwe hata kama ni shubiri!
 
Last edited by a moderator:
Ukweli unakawaida ya kuuma sana!

Na ni hulka ya binadamu kufura/kukasirika pindi unapotofautiana nae mawazo hasa anapoamini yeye yuko sahihi kwa kila jambo!

Dr kahtaan endelea kuwaambia UKWELI tena kwa hoja na vithibitisho kama unavyofanya!

UKWELI lazima usemwe hata kama ni shubiri!

Maalim Tayeb nakusoma kaka kwa miwani ya 3d hapa!

Huyu jamaa yetu anafikra za kuwa na uwezo wa ajabu!
Na binaadamu anaruhusiwa kufikiri chochote lkn kwa sharti kuwa KAMA HIZO NI FIKRA AMBAZO HAZIWEZEKANI BASI ZIBAKI KUWA FIKRA TU!

Sio atuletee hapa jukwaani na kusema YEYE ANAUWEZO WA KUUWACHA MWILI WAKE KARIAKOO HALAFU AKAENDA UBUNGO KUMCHAPA MTU KOFI HALAFU AKARUDI KARIAKOO!
teh teh teh teh!

HILO HALIWEKANI!!

Wenzake wenye fikra kama hizo wanazitengenezea MOVIES!
Lkn kwa sababu yeye hana uwezo huo, basi kaamua kugeuza ndoto zake za mchana kuwa KWELI na kuja KUDANGANYA UMMA HAPA!

Tunamuombea fahamu zake zirudi salama inshallah.
 
Last edited by a moderator:
teh teh teh ! sasa haya si maajabu haya!

We unashangaa signature yangu! Halafu wewe unajiita MpiganiaUhuru wakati Avatar YAKO UMEWEKA SURA YA MKOLONI!!

TEH TEH TEH TEH!

Mimi kukupa majibu ya kweli lzm uonene kuwa mimi ni arrogant, and guess what! Arrogant is my Middle name! live with it,
Usipende maneno ya rusha roho! badala ya kunichambua mimi nilivyo LETA HOJA!

kAMA huna hoja! kakojoe ulale

Unapotoa mfano wa mungu kuonekana!! How is that got to do with your MADE UP STORY!!??

R u trying to threat me?? teh teh teh teh teh!

Not in a million years that you will EVER BE ABLE TO SCARED ME!
And if you think you can, THEN BRING IT ON, I AM READY!!

Pole sana kahtaan kwa kudhani kuwa mkoloni ni lazima awe rangi nyeupe! Unataka kutuaminisha kuwa hata Mwarabu aliyekuletea hiyo dini iliyotawala uwezo wako wa kufikiri pia naye ni mkoloni? La hasha! In fact, avatar yangu inazungumzia uhuru kutoka kwa mkoloni mweusi (hawa wanaotutawala sasa), nchi nyingi zinadai kuwa zina uhuru lakini ni wa bendera tu!

Nguvu nilizo nazo si za kuharibu bali kujenga! Therefore, I won't be taken by your arrogance and do something stupidy, sorry!

kahtaan, tayed, al-mudir, etc Oh! My God, looks like JF imekuwa hacked na Mujahideen! Angalieni msijejilipulia humu ndani ya jukwaa! Mods take care!
 
Km huna majibu ya swali unakausha tu sio kueka swali juu ya swali,,kwn we unajua nn?

Kuuliza swali ni rahisi sana lakini kujua swali lako linalenga kujua nini ni ngumu sana kwa asiefikiri

Nimekuonesha namna swali lako lilivyo na makengeza lakini inaonekana hukuwa unajua ulichokuwa unamaanisha
Kitendo cha wewe kulazimisha ujibiwe ni ishara tosha ya kutokujua swali lako linalenga nini

Sio kila swali linatakiwa lijibiwe!
 
Unaweza ukawa mkristo usiwe mkatoliki lkn huwezi kuwa mkatoliki usiwe mkristo,
Bcoz all Christians worship Christ, ndio maana tukaitwa wakristo sio dhehebu ulilo bali ni nani unamwabudu, hiyo kuombea wafu hata kwa walutheran imewekwa this year kama unafaham kama hujui fatilia and still they're christians.
 
Hujaelewa swali

"Nilikuuliza unajua maana ya kuhusisha?
Yaani nataka nijue kama unajua maana ya neno "kuhusisha" "

Umejibu kitu ambacho sijakuuliza


Halafu jaribu kujibu kwa quote kama hujui sema tukuelekeze!

Nimeshajua jinsi ya ku quote labda unifundishe ku highlight,
Hapo nilipoweka funga semi na fungua semi ndipo ulipotapatapa, angalia na soma swali lako vizuri na nilivokujibu nilivokuelekeza nn neno kuhusisha lamaanisha. wewe unakuja singizia sijui nn hapo ww ndio umetapatapa sio mimi.
 
Unaweza ukawa mkristo usiwe mkatoliki lkn huwezi kuwa mkatoliki usiwe mkristo,
Bcoz all Christians worship Christ, ndio maana tukaitwa wakristo sio dhehebu ulilo bali ni nani unamwabudu, hiyo kuombea wafu hata kwa walutheran imewekwa this year kama unafaham kama hujui fatilia and still they're christians.

Una matatizo ya kuelewa wewe

Ni kweli unaweza kuwa mkristo lakini usiwe maktoliki
Lakini unaweza kuwa mkatoliki na usiwe mkristo pia
Kujisema mkristo hakukufanyi wewe kuwa mkristo

Kinachokufanya kuwa mkristo ni kile unachofanya na sio kusema
Nimekuonesha hapo juu vile ambavyo unavyoweza kuyafanya mambo ambayo yakakufanya mkatoliki lakini mambo hayohayo yasikufanye mkristo lakini umeshindwa kunielewa
Nikufanyeje?

Habari ya kuombea wafu sikutoa limitationa kwamba inafanywa na wakatoliki tu ila nilitoa mfano huo ili kukuonesha mambo ambayo yanaweza kuwa ni sheria za madhehebu lakini zisiwe sheria za Kikristo!
 
Pasco naendelea kusoma huu Uzi nashangaa Kila ninaposoma napata ujasiri wa hali ya juu 😕
 
Mada inazungumzia mambo tofauti kabisa na uloyaleta, alafu mada haijalazimisha mtu wala kumtisha mtu u can decide to practice u can decide not to practice, nyinyi mada mloleta ni za kutishana

Ni mambo gani niliyoleta yasiyohusiana na mada?
 
Nimeshajua jinsi ya ku quote labda unifundishe ku highlight,
Hapo nilipoweka funga semi na fungua semi ndipo ulipotapatapa, angalia na soma swali lako vizuri na nilivokujibu nilivokuelekeza nn neno kuhusisha lamaanisha. wewe unakuja singizia sijui nn hapo ww ndio umetapatapa sio mimi.

Ziko wapi hizo funga semi?
 
Ameuhusishaje ukristo?
Wewe utasingizia simu lkn hata kama tungekuwa face to face usingeweza nihakikishia alipouhusisha,
Bcoz in reality hajahusisha dini yoyote
.

........Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Nahisi una matatizo fulani wewe! Yaani huoni ni kwa jinsi gani andiko hili limeuhusisha Ukristo moja kwa moja na ushirikina? Hebu ona hiyo nukuu ya Pasco hapo juu halafu ulete ubishi wako tena. Jifunze kusoma between lines.

Bwana eiyer wacha uongo Kristo anakuona bana.

Wewe hujamsuport nyenyere pale aliposema "wewe(pasco) si mkristu na ame(pasco)mkana kristu, ukam support hivi "sio kila anaesema ni mkristo ni mkristo na huyu jamaa (pasco) ni mmoja wa hao!" is that not judging brother? Hujaonyesha vile alivoandika kinyume na Kristo na hutoweza onyesha, kaka pale ulihukumuuu.
Una swali?

Narudia tena, kufuatia ushuhuda alioutoa Pasco katika maandiko yake humu jamvini, hastahili kujiita mkristu. Kabla sijaja kwenye swala lako la kuhukumu (kichaka cha waovu), nitakueleza mkristu ni nani;

Wakati unadhani kwamba kuwa mshirika wa kanisa fulani (mf. Katoliki) ni kuwa mkristo, ukweli ni tofauti kabisa. Wakristo wote wamo katika kanisa ya Yesu Kristo, lakini si kila mshirika wa kanisa ni mkristo. Hawa ndio wakristo wanaokusudiwa na biblia takatifu:

Mathayo 28:19 ..... Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu; 20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi.......

Yeyote anayefanyika mwanafunzi wa Yesu Kristu kwa kushika yale yote aliyoagiza huyo ndiye mkristo. Hebu soma tena:

Matendo 11 : 26 .....Hapo Antiokia ndipo waamini waliitwa 'wakristo' kwa mara ya kwanza.

Kumbe kuhudhuria kanisani, au kujitangaza wewe ni mkristo haitoshi hata kidogo, bali msingi wa ukristo ni kuyaishi mafundisho ya Bwana wetu Yesu Kristo.

Kuhusu kuhukumu:
Andiko hili linatoka katika injili ya Mtakatifu Mathayo 7 : 1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
Andiko hili limekuwa likitumika kama kichaka cha watenda maovu kukwepa kurudiwa. Na hii inafuatia tafsiri potofu kabisa, nje ya kile Kristo alichokikusudia. Kwa nini?

Kusudio la Kristo hapa ni kwamba usihukumu kama wewe mwenyewe hauko safi. Kwa lugha nyingine ni sawa na kusema, usihukumu wengine, vininevyo na wewe uwe tayari kuhukumiwa nao. Ndio maana mstari unaofuatia unasema:

2 Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa

kwamba ukimwambia mwenzio aache wizi hali wewe pia ni mwizi, atakuhukkumu kwa hukumu hiyo hiyo, au ukimshambulia mwenzio kwa kosa la uzinzi wakati wewe pia ni mzinzi, atakugeukia wewe pia. Hivyo unapomhukumu mwenzako wewe pia uwe tayari kuhukumiwa.

3 Basi, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako mwenyewe huiangalii?
4 Au utamwambiaje nduguyo, Niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; na kumbe! Mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe?


Hapo maana yake safisha kwanza mwenendo wako ndipo uwe na moral authority ya kunyooshea kidole wengine. Ni sawa na Papaa Msofe aanzishe kampeni ya kupinga utapeli, wakati watu wengi wanamchukulia yeye ni tapeli aliyekubuhu.

5 Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako.

Na hiyo red ndio msingi mkuu wa fundisho hili, kuacha unafiki. Ndio maana anamalizia kwa kusema itoe kwanza boriti... ndipo umtoe na mwenzako kibanzi. Hivyo haijakatazwa kwa namna yoyote ile. Tunapaswa kuikemea dhambi ili shetani akimbie. Kufundisha vinginevyo ni kuwapoteza wana wa Mungu.

Kwenye hoja:

Alichokifanya Pasco ni kumkana Kristo wazi wazi. Kusema Jina la Yesu halina nguvu yoyote kuponya bali ni nguvu iliyo ndani yako ni kumtupa nje Kristo. Sasa kama bado unabisha itakuwa ni tatizo lako binafsi.


Eiyer bana
Unawezaje kuwa mkatoliki usiwe mkristo bandugu, what are u writting bro.

Nadhani kilichoandikwa kimejibu swali hili

Na ni mtu yupi mwenye sifa ya kuwa na nguvu za Mungu? Yeye si ametuumba kwa mfano wake, ama.

Hapa nakuchalenji soma biblia, ni swali basic sana hili.
 
Last edited by a moderator:
Kama nilivyosema mwanzo dunia hii ina nguvu nyingi tu inategemea unatumiaje ktk uzur au ubaya na sehemu kubwa ya nguvu ni michezo inayotawaliwa na akili na bado katika mazoezi au niseme mafundisho niliyopitia lengo kuu lilikua utambuzi ( self realization) japokuwa nguvu mnafundishwa kwa kuelewa tu na si lengo, kwa wajuzi wanajua nn chakra,mantra
 
Watch this and enjoy:

[video=youtube_share;PZGKmnv46ho]http://youtu.be/PZGKmnv46ho[/video]

[video=youtube_share;MTxheZlvZNU]http://youtu.be/MTxheZlvZNU[/video]

Nawatakia mafunzo mema katika ulimwngu wa shetani
 
Back
Top Bottom