Mbona una hasira sana we mzee ni Mungu yupo unamtetea kwa kauli chafu hizi?
mkuu nimepata story na aliyekuwa memba wa kanisa la mormon(christ of the latter day) akielezea nguvu ya kuondoka na kuacha mwili na kusema ni evil spirit. mkaombewe.
for god sake,Harafu huyu anafundisha namna ya kuzitumia.
Mkuu Mtuzu, you can never tell things you've never known!. Maadam mwisho wa uelewa wako wa Mungu ni kwa mujibu wa Biblia, then usibishie kuhusu uwepo wa Mungu miaka milioni 100 kabla ya Ukristo!. Kule juu nimekuwekea vitabu mamia kwa maelfu ujisomee mwenyewe!, why limit your self only kwenye Bible?!.
Nimekuamba na nitakuambia tena na tena, maadam wewe unamjua tuu Mungu kama Mwanzo na Mwisho, bila kujua his source of power, na unajua tuu kuwa shetani alikuwa malaika mkuu mwenye nguvu next to God, na aliitwa shetani baada ya kuasi, kama unazijua sababu kwa nini Mungu hakum destroy there and then kama iliandikwa mahali Mungu alimuumba tuu shetani enzi zile akiwa malaika lakini sasa akiwa shetani, amemuacha uavuruge ulimwengu!, na kwa jinsi hii Mungu, ameupenda ulimwengu hadi kumtoa Mwanaye wa pekee, aje kuukomboa dhidi ya shetani!, bado tuu hutaki kuelewa!.
Nimewaeleza humu shetani ni very tricky, kuna watu bila kujua, wanajidhania wanamuabudu Mungu!, kumbe masikini wa Mungu, hawajijui!, wanamuabidu shetani ambaye anaji pretend ni Mungu, na watu hao wanatoa mapepo na miujiza wanafanya ila sii wa Yesu!.
Haya mambo ya Mungu na shetani naomba tuyaache, lets concentrate on powers za Mungu za kutenda mema!.
Pasco.
Ngoja naingia Church nikitoka takupa full version lakini pia angalia post nyingine hapo chini kwa kuanzia
Kwa Mimi nilivyo muelewa Huyu ndugu ni kwamba anapingana na makanisa ya kiroho na hao wachungaji wanaodai kua wako na nguvu za Miujiza na atimae wanajipigia pesa/sadaka kwa ujanja kwa kuzitambua Hizo nguvu ambazo Yeye anadai kila mtu anazo isipokua ni kujitambua tu Ndio kunakoitajika.
Kosa Analofanya ni kuweka neno la Mungu kwa mafundisho yake machafu na ata uelewa wake Wa maandiko Uko chini.
Makanisa ya kiroho yamekua mwiba sana kwa makanisa makongwe na ya siku nyingi Kama RC. Yanapata waumini kibao na kuyaacha makanisa kongwe na waumini wachache!
Kwa hiyo Huyu ndugu yetu dhumuni lake Ndio Hilo ni kuuaminisha umma kua Hizo nguvu za kufanya makubwa kila mtu anamiliki. Ila kosa lake ni kuchanganya mafungu Au kutumia maandiko kwa maana anazojua Yeye!
mkuu nimepata story na aliyekuwa memba wa kanisa la mormon(christ of the latter day) akielezea nguvu ya kuondoka na kuacha mwili na kusema ni evil spirit. mkaombewe.
Huu sio uzi wa dini , ni uzi wa powers regardless uko dini gani, you have the powers , use them!.
Pasco
Una uwezo wa kusoma ukaelewa?Kwa nini usiachane na hawa walokole waliokunywa maji ya msalaba, kisha tukaendelea na mada yetu ? Wameshaambiwa waende kwenye thread nyingine inayohusiana na dini, but wao wamekazana kubishana tu hapa ...!!! Achana nao, tuendelee na masomo yetu, maalim Pasco
Yesu SI MUNGU!
Mungu hazaliwi na mwanamke! Wala HALI NA KULALA fofofo!
Joseph Smith na mafunuo yake ya ajabu. Haya mafundisho anayoleta Pasco yanalenga kumwondoa Mungu kama central object of worship. Ukiangalia vema, lengo ni kukufanya ujione kumbe wewe ni mungu. Nakushauri utazame video hii hapa ili upate picha halisi ya hii movement:
Mkuu Tedo, you have the powers to make things happen ila ulikosa realization kwamba hizo ni powers, kwa kutojua you have the powers , hukujua jinsi rasmi ya kuzifungua zaidi ya kujisalia zikafunguka zenyewe, kuanzia sasa jitambue kuwa unazo hizo powers ndani yako, na sio tuu za kufanyia timing maswali tuu ya mitihani ili upasi kwenye mitihani , sasa zielekeze kwenye kupasi kwenye life, to get the best job, the top salary, a beautiful wife, nyumba nzuri, gari mzuri, na kuishi top life!.Mkuu katika uzi wako sijafuatilia sana ila nimesoma first page...
Mimi katika maisha yangu ya kimasomo sijawahi feli hata siku moja....Ninaposema hili somo limenifungua ni kweli limenifungua...
Mf. Kipindi nikiwa nasoma naweza nikasali kuomuomba Mungu anioneshe sehemu ya kusoma ambapo maswali yatatoke kwenye mtihani... Amini usiamini kuna kitu kinaniambia fungua page hii au soma handout hizi.......Kesho kwenye mtihani nakuta kama ilivyo....Hata kama sitakumbuka vizuri basi huenda hiyo sehemu ya kusoma niliyooneshwa niliiona na mimi labda nikaipuuza.....
Kuna wakati watu walikuwa wakinifuata niwaoneshe sehemu za kusoma maana nilikuwa nikuambia soma hapa usiposoma basi swali lazima litoke hapo....
Nilikuwa naogopa sana maana watu walishaanza niamini na utabiri wangu..
Mkuu Ntuzu, nimeweka vitabu vyote vya dini zote hadi dini za shetani!, nimeweka vitabu vya secret societies zote kuanzia freemasons hadi illuminate, nimeweka vitabu vya kipagani hadi vya uchawi wa aina zote na yote ni powers to make things happen ila nimeweka angalizo na na na nitalirudia mara kwa mara ili kuwazuia the weak ones wasipotee kwa kubainisha wazi zipi ni nguvu za Mungu na zipi ni za shetani, au nguvu za giza!. Kipimo cha kwanza na cha haraka kuhusu nguvu za Mungu, they are unconditional, nguvu za giza au za shetani they are conditional!.Kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa mafundisho na kuadabisha. Sasa hivyo Vitabu vyako Kama vinapumzi ya Mungu sawa! Lakini Mungu anaepatikana kwenye Biblia Ndio ninae mwamini!
Mkuu Ntuzu, nimeweka vitabu vyote vya dini zote hadi dini za shetani!, nimeweka vitabu vya secret societies zote kuanzia freemasons hadi illuminate, nimeweka vitabu vya kipagani hadi vya uchawi wa aina zote na yote ni powers to make things happen ila nimeweka angalizo na na na nitalirudia mara kwa mara ili kuwazuia the weak ones wasipotee kwa kubainisha wazi zipi ni nguvu za Mungu na zipi ni za shetani, au nguvu za giza!. Kipimo cha kwanza na cha haraka kuhusu nguvu za Mungu, they are unconditional, nguvu za giza au za shetani they are conditional!.
Pasco
Joseph Smith na mafunuo yake ya ajabu. Haya mafundisho anayoleta Pasco yanalenga kumwondoa Mungu kama central object of worship. Ukiangalia vema, lengo ni kukufanya ujione kumbe wewe ni mungu. Nakushauri utazame video hii hapa ili upate picha halisi ya hii movement:
Una uwezo wa kusoma ukaelewa?