Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Nimefuatilia mjadala huu kwa kina sana kwa kuyazingatia maelezo yako mengi na majibu yako bw. Pasco inabidi uwe katika kundi la watu ambao hawamuamini mungu,ila unanistaajabisha unaposema mkatoliki kwa jinsi ulivyo deep kwenye elimu hii,kujua historia ya hizi power,how it works na effect zake pamoja na mambo mengine mengi how to preserve them n.k.
 
Last edited by a moderator:
Nimefuatilia mjadala huu kwa kina sana kwa kuyazingatia maelezo yako mengi na majibu yako bw. Pasco inabidi uwe katika kundi la watu ambao hawamuamini mungu,ila unanistaajabisha unaposema mkatoliki kwa jinsi ulivyo deep kwenye elimu hii,kujua historia ya hizi power,how it works na effect zake pamoja na mambo mengine mengi how to preserve them n.k.
Mkuu Mndenge, mimi ni Mkatoliki Die Hard, ambaye nimefika mpaka Vatican!, naamini maPadri, maAskofu, maKardinali na Papa, wote wanaujua huu ukweli ninaoujua mimi kuhusu hizi powers na watu hawafundishwi ili kuendelea kuwa loyals na kupelekwa pelekwa kanisa linavyotaka!.

Kwa taarifa tuu, yako mamia kwa maelfu ya vitabu kuhusu haya mambo, vimehifadhiwa kwenye under ground library ya Vatican kama vitabu restricted!. Nikauliza kama hawataki visomwe, wanavihifadhi vya nini?!, si wavichome au kuviteketeza?!, nikaambia vinahifadhiwa ajili ya research!.

God is Power!, kuna watt wanadhani Mungu yuko au anapatikana kanisani, hadi tunaita kanisa ni nyumba ya Mungu!, no way!, kanisa ni mahali pa kuabudia tuu, Mungu ni omnipresent, yumo ndani yako!, wengi wameaminishwa kuomba kwa kutazama juu as if kule ndiko kwa Mungu, no way, spiritual world iko hapa hapa alongside physical world na Mungu yuu miungoni mwetu, pamoja nasi na ndani yetu!. Ukimuomba chochote, popote, kwa kuamini, anafungua nguvu zake zilizoko ndani yako, zinatimiza maombi yako!.

Pasco
 
Utabiri wa nyota unaitwa astrology na kusoma viganya kunaitwa palmistry, hizi ndizo silaha mbili kuu zinazotumiwa na wanajimu na wapiga ramli!. Kwa mujibu wa imani ya Kikristu, kufanya hayo ni dhambi!. Kama nilivyoeleza tangu mwanzo wa uzi huu, matumizi ya hizi powers ni over and above Christianity. Bible imepiga marufuku mambo haya!. Mimi nimeishi kidogo India nimesoma kidogo maandiko ya dini ya Hindu na Budhiism, kiukweli ukizama humo ndani, unakuta Christianity ni almost nothing!, na Bible ni cha mtoto, ulifanya comparison, unajikuta ukistick na knowlege kutoka Bible pekee, then utajiona you know so much, ila in reality kwa kuitegemea bible pekee, kiukweli kabisa unakuwa you know so little!.
Biblia na ukristo haufundishi Uchawi kama unavyo fanywa na hao ulio soma kwao. Ndio maana umekiri kuwa katika Ukristo hatuna mafundisho ya kupiga ramli, kusoma viganja na mengine ya namna hiyo. Lakini haimaanishi kwamba Biblia haisemi nini hasa ipo ndani ya utamaduni wa kusoma viganja et al. Yapo mengi ndani ya Biblia ambayo ukiwa deep utayaona na kamwe huwezi kupata kwenye Hindu et al. In other words, Biblia inafundisha hekima ya Mungu in the positive way, in contrast, dini zingine kupitia vitabi vya zinafundisha ramli. Ndio maana nilisema hapo mwanzano kuwa, kuna two sources of Power. God na Shetani. Sidhani ni sahihi kwa Mungu kuanza kufundisha uchawi ilmradi afanye mashindano na Shetani, lakini Mungu anafundisha jinsi ya kudeal na kuwabomoa hao wachawi.

Mfano kupitia Biblia: Daniel 5:12 kwa kuwa roho njema kupita kiasi, na maarifa, na ufahamu, na uwezo wa kufasiri ndoto, na kufunua maneno ya fumbo, na kufungua mafundo, zilionekana katika Danielii huyo, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Basi na aitwe Danielii, naye ataionyesha tafsiri.

Unaona jinsi wafuasi wa Mungu wanavyo itwa, wana Roho Njema? Wapiga Ramli/Wachawi/ na wengine wa aina hiyo, hawana Roho Njema na hawakuwai kuitwa wenye Roho Njema. Hiyo Ndio tofauti ilipo baina ya Wafuasi wa Mungu na wale wa kiHindu, Buda, et al. Soma habari kamili ya Danile hapa: Daniel-5: Swahili Holy Bible - Agano la kale

Kwenye uzi huu, kuna ile list ndefu ya vitabu vya elimu adimu, vingi sio vya dini, kuna mpaka vitabu vya elimu ya shetani, satanic, kuna mpaka vitabu vya kufundisha uchawi, kufundisha kupaa hewani etc.
Ni hatari kama nini kusoma vitabu vya kimashetani. Ngoja nikueleze jambo. Jamaa yangu mmoja wa Pale Kenya ali pewa kitabu fulani cha kimashetani. Huyu jamaa alipo anza kukisoma hicho kitabu, akajikuta teyari ameingia kwenye umashetani bila ya yeye mwenye kufahamu. Shetani will initiate you either kupitia vitabu, mitandao na hata Ndoto. Unaweza kufanywa na kusimikwa kuwa Mchawi kupitia Ndoto. Ni hatari sana kama hufahamu haya mambo ya dunia isiyo onekana. Thank God, Jesus is able to reveal these things kwa wanao mfuta.

Ndugu yangu, it took Jesus kumtoa huyu mtu ambaye alisha aanza kupaa na kuingia majini na kuuwa ndugu zake. These things are not a joke but very serious.

Bwana Pasco, mimi hapa nilisha wai Paishwa Hewani nikiwa macho na wachawi, walijari kuniteka lakini Yesu aliye ndani yangu, aliwapa cha mtema kuni. Hayo yalitokea na yalifanywa na watu fulani ambao nawafahamu sana. Hivi leo, hao jamaa wanadhani mimi ni zaidi yao kiuchawi, kumbe mimi nimejaa DAMU YA YESU. The power is in the blood of Jesus. The power is in the Name of Jesus.
Soma:Waefeso 6:10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

Kwa opinion yangu, mimi nimeisoma astrology as a hobby na siifuati ila siipuuzi! kwa sababu unajibu ni pure mathematical!. Hata Yesu kabla hajazaliwa watabiri waliishatabiri kabla!. Alopozaliwa wale mamajuzi walimfuata hadi alipo kwa kuongozwa na nyota!. Sehemu kubwa isemayo "yanenavyo maandiko", ni kazi za unajimu!. Yusuph tangu akiwa mdogo alikuwa ni bwana wa ndoto!.
Kila Mtu anayo Nyota. Na Ndio maana watu wabaya huwa watafuta Nyota za Mtu mwenye bahati ili waiibe na kuitumia. Lakini wale Mamajusi waliona Nyota Njema ikiwaka yenye kung'aa asubuhi. Soma
Ufunuo 22: 16 Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.

Kwahiyo, si jambo la ajabu kutumia Nyota, swali, Je, unaitumiaje Nyota?

The dividing line between utabiri na unabii is very thin!. Mpaka kati ya kufunuliwa maono, na kuonyeshwa future kupitia psychic pia ni very thin!.

Utabiri unatoka kwa Shetani.

Unabii unatoka kwa Mungu.

Tofauti yao ni kubwa sana, ingawa unaweza fikiria kuwa wote wanafanya kazi moja. The issue here is the sorce of power is from who and why?

Wakati wote nawashauri wasomaji wangu, kujisikilizia "listening from your self", "the voices from within" ndio itakayokuambia what is real right and what is really wrong. Mfano mimi ni Mkristu, nimeoa Kanisani, nina mke mmoja, ila pia nina watoto kadhaa kwa wamama wengine kadhaa, mpaka kesho nikisafiri safari ya muda mrefu, huwa napata "usaidizi" huko niliko, nikihesabu I'm doing nothing wrong!, pombe nakunywa, sigara navuta hadi ile kubwa, starehe nafanya, Bibilia nasoma, kusali nasali na kanisani nakwenda!. Nimeicondition conscious yangu kukubali baadhi ya vitu ambavyo vinakatazwa na dini, mimi nimejiruhusu kuvifanya na kujiaminisha ita right kwa sababu mitume na manabii wengi ndani ya Bibilia walivifanya kama hiyo ya kuwa na mke zaidi ya mmoja na kujisaidia niwapo safari ya mbali kwa muda mrefu!. Vivyo hivyo japo ni Mkatoliki, kuna vitu tunavifanya, kupitia kuisoma sana Biblia na kuupata uelewa fulani kivyangu, kuna vitu sivifanyi!.
Sauiti inayo sikika kutoka ndani ni sauti inayo toka katika Roho ambayo ndio wewe mwenyewe. You are the Spirit. Sasa either God is the owner of your spirit or Satan.

Wote hao, Mungu au Shetanu huwa wanazungumza nasi kupitia Roho yako. Ndio maana Roho huwa hailali au kufa.

Dhamira ndio inayoniambia kweli kuwa hiki nitafanya, na hiki sifanyi!.
Pasco.

Mkuu Pasco,

Nashuku kwa somo hili ambalo nategemea litafumbua wengi macho.
 
Mkuu Schiendler, haya yote usemayo, ni ukweli mtupu!, japo pia nimekushtukia kiana, una "il motive" ndani yako, kutaka kuonyesha hata haya mafundisho mimi ninayoyaweka humu, ndio mafundisho haya ya kupoteza!.
Ukweli ni kuwa, mimi nafundisha watu wajititambue, wajijue, wana Mungu ndani yao!, hivyo hawawezi kupotea!.



Wako baadhi ya wahubiri wenye nguvu, wanaotumia nguvu za giza kufanya ishara, uponyaji na upungaji mapepo! lakini sio wa Bwana!.

Yesu aliishawataja watu hawa kuwa "Watakuja watu, watatoa mapepo kwa jina langu "Kwa Jina la Yesu!" lakini sio wangu!".
Pia Bwana wetu Yesu Kristo, alitufundisha namna ya kuwatambua kuwa "utawatambua kwa matendo yao!"
Pasco

In red:

I do not have any il motive while responding herein, in contrast, I am teaching the infallible word. Is it not what God is commanding us to do? Biblia inasema ye shall know the truth and the truth shall set ye free na ukimsoma Mfame Sulemani yeye anasema kuwa "Open rebuke is better than a secret love"

At all all time nimetumia infallible word kama reference zangu. That shows I have no any il motive in my replies, to wit.

Dini nyingine zinawazuia waumini wake wasiijue kweli hii, ili waendelee kuwapoteza na kuwapotezea!.

It is sad to know this, ingawa hujasema "kweli hii" nini? Neno kweli kutokana na Biblia ni Yesu Mwenyewe. Yohana 14: 6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Hakuna kweli zaidi ya Yesu, otherwise Yesu atakuwa Muongo na hafai kusilizwa wala fuatwa. Haiwezekani kuwe na kweli "mbili" au "tatu" etc. Kweli huwa ni Moja, nayo ni YESU KRISTO. Kufuatana na vitabu vyote vya dini hapa duniani. Vyote vinakiri jambo moja nalo ni hili: Kuwa, Hakuna Mtu aliye wai ishi duniani kama Yesu. Zaidi ya hapo, vyote vinakiri kuwa, Yesu hakuwai tenda dhambi.

 
Biblia na ukristo haufundishi Uchawi kama unavyo fanywa na hao ulio soma kwao. Ndio maana umekiri kuwa katika Ukristo hatuna mafundisho ya kupiga ramli, kusoma viganja na mengine ya namna hiyo. Lakini haimaanishi kwamba Biblia haisemi nini hasa ipo ndani ya utamaduni wa kusoma viganja et al. Yapo mengi ndani ya Biblia ambayo ukiwa deep utayaona na kamwe huwezi kupata kwenye Hindu et al. In other words, Biblia inafundisha hekima ya Mungu in the positive way, in contrast, dini zingine kupitia vitabi vya zinafundisha ramli. Ndio maana nilisema hapo mwanzano kuwa, kuna two sources of Power. God na Shetani. Sidhani ni sahihi kwa Mungu kuanza kufundisha uchawi ilmradi afanye mashindano na Shetani, lakini Mungu anafundisha jinsi ya kudeal na kuwabomoa hao wachawi.

Mfano kupitia Biblia: Daniel 5:12 kwa kuwa roho njema kupita kiasi, na maarifa, na ufahamu, na uwezo wa kufasiri ndoto, na kufunua maneno ya fumbo, na kufungua mafundo, zilionekana katika Danielii huyo, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Basi na aitwe Danielii, naye ataionyesha tafsiri.

Unaona jinsi wafuasi wa Mungu wanavyo itwa, wana Roho Njema? Wapiga Ramli/Wachawi/ na wengine wa aina hiyo, hawana Roho Njema na hawakuwai kuitwa wenye Roho Njema. Hiyo Ndio tofauti ilipo baina ya Wafuasi wa Mungu na wale wa kiHindu, Buda, et al. Soma habari kamili ya Danile hapa: Daniel-5: Swahili Holy Bible - Agano la kale

Ni hatari kama nini kusoma vitabu vya kimashetani. Ngoja nikueleze jambo. Jamaa yangu mmoja wa Pale Kenya ali pewa kitabu fulani cha kimashetani. Huyu jamaa alipo anza kukisoma hicho kitabu, akajikuta teyari ameingia kwenye umashetani bila ya yeye mwenye kufahamu. Shetani will initiate you either kupitia vitabu, mitandao na hata Ndoto. Unaweza kufanywa na kusimikwa kuwa Mchawi kupitia Ndoto. Ni hatari sana kama hufahamu haya mambo ya dunia isiyo onekana. Thank God, Jesus is able to reveal these things kwa wanao mfuta.

Ndugu yangu, it took Jesus kumtoa huyu mtu ambaye alisha aanza kupaa na kuingia majini na kuuwa ndugu zake. These things are not a joke but very serious.

Bwana Pasco, mimi hapa nilisha wai Paishwa Hewani nikiwa macho na wachawi, walijari kuniteka lakini Yesu aliye ndani yangu, aliwapa cha mtema kuni. Hayo yalitokea na yalifanywa na watu fulani ambao nawafahamu sana. Hivi leo, hao jamaa wanadhani mimi ni zaidi yao kiuchawi, kumbe mimi nimejaa DAMU YA YESU. The power is in the blood of Jesus. The power is in the Name of Jesus.
Soma:Waefeso 6:10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

Kila Mtu anayo Nyota. Na Ndio maana watu wabaya huwa watafuta Nyota za Mtu mwenye bahati ili waiibe na kuitumia. Lakini wale Mamajusi waliona Nyota Njema ikiwaka yenye kung'aa asubuhi. Soma
Ufunuo 22: 16 Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.

Kwahiyo, si jambo la ajabu kutumia Nyota, swali, Je, unaitumiaje Nyota?

Utabiri unatoka kwa Shetani.

Unabii unatoka kwa Mungu.

Tofauti yao ni kubwa sana, ingawa unaweza fikiria kuwa wote wanafanya kazi moja. The issue here is the sorce of power is from who and why?


Sauiti inayo sikika kutoka ndani ni sauti inayo toka katika Roho ambayo ndio wewe mwenyewe. You are the Spirit. Sasa either God is the owner of your spirit or Satan.

Wote hao, Mungu au Shetanu huwa wanazungumza nasi kupitia Roho yako. Ndio maana Roho huwa hailali au kufa.

Mkuu Pasco,

Nashuku kwa somo hili ambalo nategemea litafumbua wengi macho.
Mkuu Schiendler, kiukweli naomba kumkiri, uko very deep!, hata mimi nimejikuta kuna mambo najifunza kupitia maandiko yako. Baadhi ya hija zako, kusema ukweli, zinaniweka katika wakati mgumu!, mfano mimi najihesabu ni mtu mema, nafanya yaliyo mema, najiaminia "i have a good heart" nasaidia sana wahitaji, sometimes hata "pendo" la mshumaa nikiangazia wengine huku kwangu kukitekeketea, najihesabu namwamini Mungu na kufuata mafundisho ya Yesu, lakini pamoja na yote haya, nakunywa Pombe, na niwapo mbali na wife haswa safari, najikuta nimehalalisha kupata "usaidizi!" ambao najua fika mafunzo ya dini za kisasa yanakataza!.

Mambo yenyewe yalianza hivi, mara baada ya kuoa, within 3 years tuu ya ndoa, wife alipata scholarship ya masters for 4 -Years! ni US. Right ya paid up visitation ilikuwa once a year kwa 30!. Sisi watt wa kanda ya Ziwa, ukase mwaka mzima ni issue!. Nikajiuliza sana "jee huu ndio mpango wa Mungu?!. Mtu akae mwaka mzima akisubiria?, kupitia bibilia nikamsoma tangu Ibrahim, Isaka na Yakobo na mahusiano ya somo husika!, nikarudi kusoma kilichomkuta Lutu na binti zake baada ya mkewe kugeuka jiwe la chumvi, nikasoma jinsi Peresi na Zera, walivyozaliwa kwa Tamari!, nikajiridhisha "kupata usaidizi ni halali!".

Jee inawezekana mtu akaniaminisha una God's spirit, unatenda wema, kisha mtu huyo huyo ukatenda na yaliyo ya devil?!.
Hizi spirit mvili zinaweza kukaa maahali pamoja?!.

My own thinking, Powers ni mona tuu, zinatoka kwa Mungu!, matumizi ya powes hizi kufanya yaliyo mema, ndiko kumtumikia Mungu, na shetani, amepewa ruhusa kutudanganya kama alianza na Eva, hivyo matumizi mabaya ya nguvu hizi hizi kutendo maovu na machukizo, ndiko kumtumia shetani, nikimaanisha shetani yeye hana real powers, bali derivatives powers toka kwenye zile zile nguvu za Mungu, ila kutenda yaliyo ya shetani!.
Could I be right?!.
Pasco
 
Biblia na ukristo haufundishi Uchawi kama unavyo fanywa na hao ulio soma kwao. Ndio maana umekiri kuwa katika Ukristo hatuna mafundisho ya kupiga ramli, kusoma viganja na mengine ya namna hiyo. Lakini haimaanishi kwamba Biblia haisemi nini hasa ipo ndani ya utamaduni wa kusoma viganja et al. Yapo mengi ndani ya Biblia ambayo ukiwa deep utayaona na kamwe huwezi kupata kwenye Hindu et al. In other words, Biblia inafundisha hekima ya Mungu in the positive way, in contrast, dini zingine kupitia vitabi vya zinafundisha ramli. Ndio maana nilisema hapo mwanzano kuwa, kuna two sources of Power. God na Shetani. Sidhani ni sahihi kwa Mungu kuanza kufundisha uchawi ilmradi afanye mashindano na Shetani, lakini Mungu anafundisha jinsi ya kudeal na kuwabomoa hao wachawi.

Mfano kupitia Biblia: Daniel 5:12 kwa kuwa roho njema kupita kiasi, na maarifa, na ufahamu, na uwezo wa kufasiri ndoto, na kufunua maneno ya fumbo, na kufungua mafundo, zilionekana katika Danielii huyo, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Basi na aitwe Danielii, naye ataionyesha tafsiri.

Unaona jinsi wafuasi wa Mungu wanavyo itwa, wana Roho Njema? Wapiga Ramli/Wachawi/ na wengine wa aina hiyo, hawana Roho Njema na hawakuwai kuitwa wenye Roho Njema. Hiyo Ndio tofauti ilipo baina ya Wafuasi wa Mungu na wale wa kiHindu, Buda, et al. Soma habari kamili ya Danile hapa: Daniel-5: Swahili Holy Bible - Agano la kale

Ni hatari kama nini kusoma vitabu vya kimashetani. Ngoja nikueleze jambo. Jamaa yangu mmoja wa Pale Kenya ali pewa kitabu fulani cha kimashetani. Huyu jamaa alipo anza kukisoma hicho kitabu, akajikuta teyari ameingia kwenye umashetani bila ya yeye mwenye kufahamu. Shetani will initiate you either kupitia vitabu, mitandao na hata Ndoto. Unaweza kufanywa na kusimikwa kuwa Mchawi kupitia Ndoto. Ni hatari sana kama hufahamu haya mambo ya dunia isiyo onekana. Thank God, Jesus is able to reveal these things kwa wanao mfuta.

Ndugu yangu, it took Jesus kumtoa huyu mtu ambaye alisha aanza kupaa na kuingia majini na kuuwa ndugu zake. These things are not a joke but very serious.

Bwana Pasco, mimi hapa nilisha wai Paishwa Hewani nikiwa macho na wachawi, walijari kuniteka lakini Yesu aliye ndani yangu, aliwapa cha mtema kuni. Hayo yalitokea na yalifanywa na watu fulani ambao nawafahamu sana. Hivi leo, hao jamaa wanadhani mimi ni zaidi yao kiuchawi, kumbe mimi nimejaa DAMU YA YESU. The power is in the blood of Jesus. The power is in the Name of Jesus.
Soma:Waefeso 6:10 Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.

Kila Mtu anayo Nyota. Na Ndio maana watu wabaya huwa watafuta Nyota za Mtu mwenye bahati ili waiibe na kuitumia. Lakini wale Mamajusi waliona Nyota Njema ikiwaka yenye kung'aa asubuhi. Soma
Ufunuo 22: 16 Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.

Kwahiyo, si jambo la ajabu kutumia Nyota, swali, Je, unaitumiaje Nyota?

Utabiri unatoka kwa Shetani.

Unabii unatoka kwa Mungu.

Tofauti yao ni kubwa sana, ingawa unaweza fikiria kuwa wote wanafanya kazi moja. The issue here is the sorce of power is from who and why?


Sauiti inayo sikika kutoka ndani ni sauti inayo toka katika Roho ambayo ndio wewe mwenyewe. You are the Spirit. Sasa either God is the owner of your spirit or Satan.

Wote hao, Mungu au Shetanu huwa wanazungumza nasi kupitia Roho yako. Ndio maana Roho huwa hailali au kufa.

Mkuu Pasco,

Nashuku kwa somo hili ambalo nategemea litafumbua wengi macho.
Mkuu Schiendler, kiukweli naomba kumkiri, uko very deep!, hata mimi nimejikuta kuna mambo najifunza kupitia maandiko yako. Baadhi ya hija zako, kusema ukweli, zinaniweka katika wakati mgumu!, mfano mimi najihesabu ni mtu mema, nafanya yaliyo mema, najiaminia "i have a good heart" nasaidia sana wahitaji, sometimes hata "pendo" la mshumaa nikiangazia wengine huku kwangu kukitekeketea, najihesabu namwamini Mungu na kufuata mafundisho ya Yesu, lakini pamoja na yote haya, nakunywa Pombe, na niwapo mbali na wife haswa safari, najikuta nimehalalisha kupata "usaidizi!" ambao najua fika mafunzo ya dini za kisasa yanakataza!.

Mambo yenyewe yalianza hivi, mara baada ya kuoa, within 3 years tuu ya ndoa, wife alipata scholarship ya masters for 4 -Years! ni US. Right ya paid up visitation ilikuwa once a year kwa 30!. Sisi watt wa kanda ya Ziwa, ukase mwaka mzima ni issue!. Nikajiuliza sana "jee huu ndio mpango wa Mungu?!. Mtu akae mwaka mzima akisubiria?, kupitia bibilia nikamsoma tangu Ibrahim, Isaka na Yakobo na mahusiano ya somo husika!, nikarudi kusoma kilichomkuta Lutu na binti zake baada ya mkewe kugeuka jiwe la chumvi, nikasoma jinsi Peresi na Zera, walivyozaliwa kwa Tamari!, nikajiridhisha "kupata usaidizi ni halali!".

Jee inawezekana mtu akaniaminisha una God's spirit, unatenda wema, kisha mtu huyo huyo ukatenda na yaliyo ya devil?!.
Hizi spirit mvili zinaweza kukaa maahali pamoja?!.

My own thinking, Powers ni mona tuu, zinatoka kwa Mungu!, matumizi ya powes hizi kufanya yaliyo mema, ndiko kumtumikia Mungu, na shetani, amepewa ruhusa kutudanganya kama alianza na Eva, hivyo matumizi mabaya ya nguvu hizi hizi kutendo maovu na machukizo, ndiko kumtumia shetani, nikimaanisha shetani yeye hana real powers, bali derivatives powers toka kwenye zile zile nguvu za Mungu, ila kutenda yaliyo ya shetani!.
Could I be right?!.
Pasco
 
Ndugu umepotea tena vibaya kunatofauti kubwa tena kubwa sana Kati ya muujiza Wa Mungu na washetani hakuna mwanadamu aliye na nguvu zake binafsi mwanadamu Ni kama chombo kinacho pokea vitu kutoka sehemu sasa jukumu Ni lako kupokea vitu kutoka kwa Mungu Wa kweli au shetani Kama unapenda kusoma Vitabu Vya dini utagundua Kua kuna Mungu duniani lakini Kama Ni wale wapagani Kama wakina kingunge ngumbale mwilu hauta amini juu ya Mungu tokea zamani shetani ameku akifanya miujiza Kama Mungu lakini bado hajafanikiwa kufanya miujiza ya Mungu kumbuka habari za wachawi Wa farao na musa walipo shindana ki miujiza musa alifanya miujiza kwa nguvu alizo pewa na Mungu na wachawi walifanya kazi ya kinyume na Mungu ndiyo maana uchawi wao ulishibdwa na zipo history nyingi sana kwenye Vitabu Vya dini vinavyo elezea
Miujiza ya Mungu na ya shetani kumbuka Mungu ndiye chanzo CHA miujiza hata shetani kufanya miujiza Ni Mungu amemruhusu ili kuwaweka Sawa wanadamu wawe tayari kuufuata muujiza Wa Mungu au Wa shetani na utagundua vipi Kama huu muujiza Ni Wa Mungu au siyo Ni hivi muujiza Wa Mungu hua unampelekea Mungu heshima na utukufu na ndani yake hakuna juhudi za mwanadamu kumsaidia Mungu na muujiza Wa shetani Ni ule ulio kinyume na Mungu unao leta matokeo ya dhambi mfano mtu anapo kwenda kutoa kafara ya mama yake apate utajiri huo muujiza utatokea na atakua tajiri lakini unadhambi ndani yake maana amesha uwa mama yake na Mungu kwenye Amri zake anasema usiuwe mtu anapo tumia jina la YESU Ni wazi Kua lazima kuwe na haki ya kulitumia hilo jina na pia kuna vigezo Vya kulitumia na pia mtu anaweza asiwe na haki lakini kama atalitumia kwa vigezo sahihi bado Mungu atafanya mfano mtu haja mpokea YESU kwenye maisha yake lakini analitumia jina la YESU tambua yeye mwenyewe alisha sema kua watakuja kwa jina langu pili Mungu anasema ana angalia neno lake apate kulitimiza Kama alisema kuponya ataponya kwa Kua Ni ahadi yake Kua atawaponya watu sasa lazima utofautishe hizi nguvu Kati ya nguvu za Mungu na za shetani jambo lingine Ni kutambua tu Kua kufanya miujiza hakumaanishi hiyo yoote Ni ya mungu kuna miujiza ya Mungu na ya shetani sifa ya Mungu haipo kwenye miujiza sifa kubwa ya. Mungu Ni muumbaji kila kitu kinacho onekana na kisicho onekana kiliumbwa na Mungu hata shetani munao muamini watu wengi Ni kazi ya mikono ya Mungu lakini yeye Mungu aliumba haku umbwa
Ndugu zangu kwa ushauri achaneni ya akiri nyingi mambo ya ki Mungu au ya kishetani Ni mambo ya ya ulimwengu Wa roho siyo kila kitu unaweza kusomea na kuwafundisha watu na kudanganya watu mambo hayo waliianzaga wana sayansi kupinga uwepo na miujiza ya Mungu Leo wanasayansi wengi wana amini uwepo Wa Mungu kwa mafundisho ya huyu Jamaa anataka kusema Kua Mungu hafanyi miujiza Bali Ni watu hii Ni Imani potofu na chafu kuliko uchafu
 
Mkuu Schiendler, kiukweli naomba kumkiri, uko very deep!, hata mimi nimejikuta kuna mambo najifunza kupitia maandiko yako. Baadhi ya hija zako, kusema ukweli, zinaniweka katika wakati mgumu!, mfano mimi najihesabu ni mtu mema, nafanya yaliyo mema, najiaminia "i have a good heart" nasaidia sana wahitaji, sometimes hata "pendo" la mshumaa nikiangazia wengine huku kwangu kukitekeketea, najihesabu namwamini Mungu na kufuata mafundisho ya Yesu, lakini pamoja na yote haya, nakunywa Pombe, na niwapo mbali na wife haswa safari, najikuta nimehalalisha kupata "usaidizi!" ambao najua fika mafunzo ya dini za kisasa yanakataza!.

Nashukuru kwa kuwa muwazi, hakika Mungu yu pamoja nawe. Basi turejee kwenye neo la uhai na tuone linasema nini. King David anasema yafuatayo:

Zaburi 1: 1 Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. 2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. 3 Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa. 4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo. 5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki. 6 Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.

Matendo yetu lazima yawe na mwongozo. Na Mwongozo halali ni ule ulio wekwa na aliye tuumba, ingawa Muumbaji hatulazimishi kumfuata. Ukiona unasikia "guiltiness" ndani yako, basi elewa, Roho yako ambayo Ndio wewe Pasco inakuhukumu kwa uliyo fanya. Sasa anza kujifunza kuisikiliza Roho yako ambayo kamwe hato kuingiza na au kufanya utende mambo mabaya. Your Spirit is for you at all times.

Mambo yenyewe yalianza hivi, mara baada ya kuoa, within 3 years tuu ya ndoa, wife alipata scholarship ya masters for 4 -Years! ni US. Right ya paid up visitation ilikuwa once a year kwa 30!. Sisi watt wa kanda ya Ziwa, ukase mwaka mzima ni issue!. Nikajiuliza sana "jee huu ndio mpango wa Mungu?!. Mtu akae mwaka mzima akisubiria?, kupitia bibilia nikamsoma tangu Ibrahim, Isaka na Yakobo na mahusiano ya somo husika!, nikarudi kusoma kilichomkuta Lutu na binti zake baada ya mkewe kugeuka jiwe la chumvi, nikasoma jinsi Peresi na Zera, walivyozaliwa kwa Tamari!, nikajiridhisha "kupata usaidizi ni halali!".

God's plan huwa ni vigumu kwa normal intellect to comprehend. Biblia inasema, msiiache elimu iwapite!! Ikimaanisha kuwa elimu ambayo mwanzo wake ni Mungu ni jambo la maana na la muhimu kwa maisha yetu. Hivyo basi, I do believe from my heart, it was God's plan kwa Mkeo kwenda kusoma Nchi za mbali.

Sasa ngoja niseme yafuatayo. There is something called God's will kwa binadamu. God's will is in harmony with His own infallible word "Biblia" and is the perfect life-plan that brings happiness and spiritual success to the individual.

Now, let us take marriage as an example: You can change cars, houses, schools, or churches if you discover you have missed God's will, BUT BUT.... the CHOICE you make concerning your SPOUSE is IRREVERSIBLE. Now we all know that Mungu ni Mungu mwenye ORDER na PLANS. 1 Corinthians 14:40. NOW: For each of our decisions God has a perfect plan or will for you. The goal here is for you to discover God's individual will and make a decision in accordance with it.
Jee inawezekana mtu akaniaminisha una God's spirit, unatenda wema, kisha mtu huyo huyo ukatenda na yaliyo ya devil?!.
Hizi spirit mvili zinaweza kukaa maahali pamoja?!.

Ngoja nikujibu kwa kifupi: Mtu fulani aliwai niuliza, inakuwaje, Mkristo akawa ana pepo chafu? Huyu Ndugu alishindwa kuelewa kivipi Mkristo akapagawa na Mashetani/Majini. Here is how it works Brother Pasco. Mkristo ikimaanisha kuwa Umejazwa na Roho wa Mungu ambaye anaishi ndani yako (Roho yako) can not be possessed by Demons BUT Oppressed by Demons. Roho yako inakuwa na Mungu/Roho Mtakatifu::::::Soul yako ndio inashikwa na kuongozwa na Roho Wabaya. So One person now has two Kingdom in his life.

Roman 7 15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda. 16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema. 17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu 18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati. 19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo. 20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu. 21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya. 22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani, 23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu. 24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa auti? 25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.


Somo hiyo Warumi halafu utaelewa kuwa sio wewe utendayo mabay bali ni dhambi ambayo imo ndani ya nafsi.

My own thinking, Powers ni mona tuu, zinatoka kwa Mungu!, matumizi ya powes hizi kufanya yaliyo mema, ndiko kumtumikia Mungu, na shetani, amepewa ruhusa kutudanganya kama alianza na Eva, hivyo matumizi mabaya ya nguvu hizi hizi kutendo maovu na machukizo, ndiko kumtumia shetani, nikimaanisha shetani yeye hana real powers, bali derivatives powers toka kwenye zile zile nguvu za Mungu, ila kutenda yaliyo ya shetani!.
Could I be right?!.
Pasco
Hebu tusome kwanza Waefeso na tuone kama tutakuwa same page.
Waefeso 6: 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. 13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.


Kumbe basi kuna Nguvu za giza ambazo zipo kinyume na au zinapinga Mungu!!! Hizo Nguvu za giza mwanzo wake ni Shetani na sio Mungu.

Mungu akubariki

Its me
Schiendler
 
Nashukuru kwa kuwa muwazi, hakika Mungu yu pamoja nawe. Basi turejee kwenye neo la uhai na tuone linasema nini. King David anasema yafuatayo:

Zaburi 1: 1 Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. 2 Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. 3 Naye atakuwa kama mti uliopandwa Kandokando ya vijito vya maji, Uzaao matunda yake kwa majira yake, Wala jani lake halinyauki; Na kila alitendalo litafanikiwa. 4 Sivyo walivyo wasio haki; Hao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo. 5 Kwa hiyo wasio haki hawatasimama hukumuni, Wala wakosaji katika kusanyiko la wenye haki. 6 Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki, Bali njia ya wasio haki itapotea.

Matendo yetu lazima yawe na mwongozo. Na Mwongozo halali ni ule ulio wekwa na aliye tuumba, ingawa Muumbaji hatulazimishi kumfuata. Ukiona unasikia "guiltiness" ndani yako, basi elewa, Roho yako ambayo Ndio wewe Pasco inakuhukumu kwa uliyo fanya. Sasa anza kujifunza kuisikiliza Roho yako ambayo kamwe hato kuingiza na au kufanya utende mambo mabaya. Your Spirit is for you at all times.



God's plan huwa ni vigumu kwa normal intellect to comprehend. Biblia inasema, msiiache elimu iwapite!! Ikimaanisha kuwa elimu ambayo mwanzo wake ni Mungu ni jambo la maana na la muhimu kwa maisha yetu. Hivyo basi, I do believe from my heart, it was God's plan kwa Mkeo kwenda kusoma Nchi za mbali.

Sasa ngoja niseme yafuatayo. There is something called God's will kwa binadamu. God's will is in harmony with His own infallible word "Biblia" and is the perfect life-plan that brings happiness and spiritual success to the individual.

Now, let us take marriage as an example: You can change cars, houses, schools, or churches if you discover you have missed God's will, BUT BUT.... the CHOICE you make concerning your SPOUSE is IRREVERSIBLE. Now we all know that Mungu ni Mungu mwenye ORDER na PLANS. 1 Corinthians 14:40. NOW: For each of our decisions God has a perfect plan or will for you. The goal here is for you to discover God's individual will and make a decision in accordance with it.


Ngoja nikujibu kwa kifupi: Mtu fulani aliwai niuliza, inakuwaje, Mkristo akawa ana pepo chafu? Huyu Ndugu alishindwa kuelewa kivipi Mkristo akapagawa na Mashetani/Majini. Here is how it works Brother Pasco. Mkristo ikimaanisha kuwa Umejazwa na Roho wa Mungu ambaye anaishi ndani yako (Roho yako) can not be possessed by Demons BUT Oppressed by Demons. Roho yako inakuwa na Mungu/Roho Mtakatifu::::::Soul yako ndio inashikwa na kuongozwa na Roho Wabaya. So One person now has two Kingdom in his life.

Roman 7 15 Maana sijui nifanyalo, kwa sababu lile nilipendalo, silitendi; bali lile nilichukialo ndilo ninalolitenda. 16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, naikiri ile sheria ya kuwa ni njema. 17 Basi sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu 18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati. 19 Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo. 20 Basi kama lile nisilolipenda ndilo nilitendalo, si mimi nafsi yangu nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu. 21 Basi nimeona sheria hii, ya kuwa kwangu mimi nitakaye kutenda lililo jema, lipo lililo baya. 22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani, 23 lakini katika viungo vyangu naona sheria iliyo mbali, inapiga vita na ile sheria ya akili zangu, na kunifanya mateka ya ile sheria ya dhambi iliyo katika viungo vyangu. 24 Ole wangu, maskini mimi! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa auti? 25 Namshukuru Mungu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu. Basi, kama ni hivyo, mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu, bali kwa mwili wangu sheria ya dhambi.


Somo hiyo Warumi halafu utaelewa kuwa sio wewe utendayo mabay bali ni dhambi ambayo imo ndani ya nafsi.

Hebu tusome kwanza Waefeso na tuone kama tutakuwa same page.
Waefeso 6: 11 Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani. 12 Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho. 13 Kwa sababu hiyo twaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kushindana siku ya uovu, na mkiisha kuyatimiza yote, kusimama.


Kumbe basi kuna Nguvu za giza ambazo zipo kinyume na au zinapinga Mungu!!! Hizo Nguvu za giza mwanzo wake ni Shetani na sio Mungu.

Mungu akubariki

Its me
Schiendler
Mkuu Schiendler, inabidi nikushukuru tuu kwa kusema asante, japo umejitahidi kunijibu vizuri, majibu yako yako yote yako based on Holly Bible pekee. Mungu aliumba vyote ikiwemo watu wote na sio Christians pekee ndio maana hata Kaini baada ya kumuua nduguye Abel, Mungu alimlinda na kumpatia special protection!.

Ibrahimu alimzalisha mjalazi wa mkewe, yule binti wa Kimisri Hagil na kumzaa Ismaili, hata alipomfukuzia jangwani na mamaye, kwa kumpatia kibuyu cha asali na chupa ya maji, vilipokwisha ni Mungu alifanya miujiza ya kuweka chemchem ya maji baridi Jangwani (maji ya Zamzam) ili kuwanuru na huyu ndie baba wa Uislamu hivyo Waislamu pia ni watu wa Mungu huyu huyu tunayemuabudu!.

Hebu twende kwenye idadi ya waumini wa dini mbalimbali za dunia hii

Religion Adherents
Christianity 2.1 billion
Islam 1.6 billion
Secular*/Nonreligious*/Agnostic/Atheist ≤ 1.1 billion
Hinduism 1 billion
Chinese traditional religion* 394 million
Buddhism* 376 million
Ethnic religions excluding some in separate categories 300 million
African traditional religions 100 million
Sikhism 23 million
Juche* 19 million
Spiritism 15 million
Judaism 14 million
Bahá'í Faith 7 million
Jainism 4.2 million
Shinto 4 million
Cao Dai 4 million
Zoroastrianism 2.6 million
Tenrikyo 2 million
Neo-Paganism 1 million
Unitarian Universalism 800,000
Rastafarianism 600,000
Scientology 500,000


Duniani inasemekana in a watu bilioni 7, kati ya hao, Wakristu ni asilimia 30, hivyo tuseme ni bilioni 2 tuu ndio wanaomuamini Mungu na Yesu, inamaanisha hao bilioni 5 hawamuamini Yesu lakini wameumbwa na Mungu, inaamanisha kweli hawa wote watakwenda motoni?!. Jibu ni no!.

Naamini kuwa wote tumeumbwa na Mungu, na wote tumepewa uwezo wa Uungu ndani yetu regardeles tunamuamini nani!, ukizitumia nguvu hizo vizuri kutenda yaliyo mema, ukiwemo uponyaji, unamtumikia Mungu, ukitenda maovu, unamtumikia shetani!. Hivyo elimu hii niifundishayo humu, ni over and above Biblical lines, na huko kwa Eastern Sciences ndiko kwenye real powers practice, huko ndikwe kwenye meditations, watu wanapaa angani na kufanya miujiza ya wazi ya uponyaji bila kulitaja jina la Yesu!.

Somo la matendo, kwa roho kutaka kutenda yaliyomema na mwili kuhitaji huduma za ziada, limeniingia, ila siku nyingi naendelea kumwamini Mungu, kumwabudu, huku pombe kiasi nimkinywa za zile huduma za kimwili nimipata kwa hoja dhabiti kuwa "tunaokolewa kwa neema tuu na sio kwa matendo", na kwenye works of powers, ukiisha amini tuu, inatosha, hivyo sijitaabishi sana na mahitaji ya mwili, mwili ukihitaji, unaupatia unachohitaji, chakula, kinywaji na starehe, after all, mwisho wa siku tunauacha mwili huu hapa duniani na roho kiendelea na maisha, hivyo concentaration yangu hapa ni mambo ya roho, spirits and powers kuzitumia kufanya mambo yaliyo mema!.

Ili kuchora mstari wa mpaka kati ya dini na matumizi ya will powers, naombo tufikie mahali, tukubaliane kutokukubaliana, ili power dose iendelee bila kuwaogopesha watu humu kuhusu dini zao!.
Powers zipo kwa wote, zimeletwa na Mungu Mkuu wa wote, bila kujali dini yoyote!.
Pasco.
 
Mkuu Schiendler, inabidi nikushukuru tuu kwa kusema asante, japo umejitahidi kunijibu vizuri, majibu yako yako yote yako based on Holly Bible pekee. Mungu aliumba vyote ikiwemo watu wote na sio Christians pekee ndio maana hata Kaini baada ya kumuua nduguye Abel, Mungu alimlinda na kumpatia special protection!.

To be more precise Mkuu Pasco. Mungu hakuumba na wala anzisha dini yeyote ile. Naitumia Biblia kwasabau ndio kitabu mimi naamini kimekamilika na kina majibu yote, ya kisayansia, Imani, Maisha, na hata maisha baada ya kifo. In fact, Biblia ina majibu ya hata maisha kabla ya kuzaliwa. Ni kufanya utafiti kidoogo, basi utaona kuwa kumbe Biblia inafahamu na inajibu hata maswali ya dunia kabla ya kuubwa. Anyway, I am not here to talk about that.


Ibrahimu alimzalisha mjalazi wa mkewe, yule binti wa Kimisri Hagil na kumzaa Ismaili, hata alipomfukuzia jangwani na mamaye, kwa kumpatia kibuyu cha asali na chupa ya maji, vilipokwisha ni Mungu alifanya miujiza ya kuweka chemchem ya maji baridi Jangwani (maji ya Zamzam) ili kuwanuru na huyu ndie baba wa Uislamu hivyo Waislamu pia ni watu wa Mungu huyu huyu tunayemuabudu!.
Tuache mambo ya Uislam maana tukiyaanza patawaka moto hapa. In short, Ishmael mama yake ni Mwafrika, na si dhani kama Waafrika ndio waanzilishi wa Uislam. Histori ipo wazi kuwa Uislam umetokea nchi za Waarabu. Wamisri ni Waafrika.


Hebu twende kwenye idadi ya waumini wa dini mbalimbali za dunia hii

Religion Adherents
Christianity 2.1 billion
Islam 1.6 billion
Secular*/Nonreligious*/Agnostic/Atheist ≤ 1.1 billion
Hinduism 1 billion
Chinese traditional religion* 394 million
Buddhism* 376 million
Ethnic religions excluding some in separate categories 300 million
African traditional religions 100 million
Sikhism 23 million
Juche* 19 million
Spiritism 15 million
Judaism 14 million
Bahá'í Faith 7 million
Jainism 4.2 million
Shinto 4 million
Cao Dai 4 million
Zoroastrianism 2.6 million
Tenrikyo 2 million
Neo-Paganism 1 million
Unitarian Universalism 800,000
Rastafarianism 600,000
Scientology 500,000
Very good analysis.


Duniani inasemekana in a watu bilioni 7, kati ya hao, Wakristu ni asilimia 30, hivyo tuseme ni bilioni 2 tuu ndio wanaomuamini Mungu na Yesu, inamaanisha hao bilioni 5 hawamuamini Yesu lakini wameumbwa na Mungu, inaamanisha kweli hawa wote watakwenda motoni?!. Jibu ni no!.
Hapana. Ngoja nikueleza kitu hapa. Unajua kazi aliyo kuja kufganya Yesu ni kuokoa watu. Sasa hivi Yesu aje kuokoa watu halafu ONLY 30% iokoke huoni kuwa Yesu atakuwa alifanya kazi ya bure kuja hapa Duniani? I do believe that as fully and impeccably exhibited in the Bible kuwa millions of million of millions of people will go to heaven. Hebu rejea hapa
Ufunuo 7:9 Kisha nikatazama, nikaona umati mkubwa wa watu ambao hakuna mtu awezaye kuwahesabu: watu wa kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.

Unaona namba ambayo itaingia Mbinguni. Hakuna mtu atakaye weza kuhesabu, kumbe basi teyari 30% ya Wakristo imeshindwa vibaya sana ukilinganisha na Mpango wa Mungu.

Naamini kuwa wote tumeumbwa na Mungu, na wote tumepewa uwezo wa Uungu ndani yetu regardeles tunamuamini nani!, ukizitumia nguvu hizo vizuri kutenda yaliyo mema, ukiwemo uponyaji, unamtumikia Mungu, ukitenda maovu, unamtumikia shetani!. Hivyo elimu hii niifundishayo humu, ni over and above Biblical lines, na huko kwa Eastern Sciences ndiko kwenye real powers practice, huko ndikwe kwenye meditations, watu wanapaa angani na kufanya miujiza ya wazi ya uponyaji bila kulitaja jina la Yesu!.

Jamaa mmoja ambaye alikuwa anafanya mambo ya kupaa na kuingia bahari, siku moja aliamua kwenda kutest zari Kanisani na kuona kama haya mabo ya Yesu sijui Mungu ni kweli au si kweli.
Delivered from the Powers of Darkness (1 of 3): Moses K. Mburu's Testimony - YouTube


Delivered from the Powers of Darkness (2 of 3): Moses K. Mburu's Testimony - YouTube

Delivered from the Powers of Darkness (3 of 3): Moses K. Mburu's Testimony - YouTube

MKUU PASTO, PLEASE TAFUTA MUDA NA PATA MAMBO MAKUBWA YA HUYU KIJANA MOSES. It will change your life.

Somo la matendo, kwa roho kutaka kutenda yaliyomema na mwili kuhitaji huduma za ziada, limeniingia, ila siku nyingi naendelea kumwamini Mungu, kumwabudu, huku pombe kiasi nimkinywa za zile huduma za kimwili nimipata kwa hoja dhabiti kuwa "tunaokolewa kwa neema tuu na sio kwa matendo", na kwenye works of powers, ukiisha amini tuu, inatosha, hivyo sijitaabishi sana na mahitaji ya mwili, mwili ukihitaji, unaupatia unachohitaji, chakula, kinywaji na starehe, after all, mwisho wa siku tunauacha mwili huu hapa duniani na roho kiendelea na maisha, hivyo concentaration yangu hapa ni mambo ya roho, spirits and powers kuzitumia kufanya mambo yaliyo mema!.
It is better to please God than man -self. At the end of the day we will answer nini tulifanya hapa duniani. Anywas. Mungu aendelee kutufudisha nini maana ya kuokolewa kwa neema. Ingawa neema sio maana yake ni ruhusa ya kula malovidov.

Ili kuchora mstari wa mpaka kati ya dini na matumizi ya will powers, naombo tufikie mahali, tukubaliane kutokukubaliana, ili power dose iendelee bila kuwaogopesha watu humu kuhusu dini zao!.
Powers zipo kwa wote, zimeletwa na Mungu Mkuu wa wote, bila kujali dini yoyote!.
Pasco.

I am okay with that Pasco.

Its me

Schiendler
 
We huna uwezo wa kuuwacha mwili wako uende sehemu ingine na UKAFANYE ACTION FLANI!
HUO NI UONGO KAKA!
Hapa unaongea na watu wazima! Sio wtt wa chekechea!
Kama vipi wee njoo mimi nilipo km sio uongo huo.
Teh teh teh

kama wewe huwezi usitokwe mapozi kudhani wote hawawezi!
 
Mponjori punguza Huo Utoto....usituharibie tunachojifunza,Utoto wako peleka jukwaa la Mapenz huko ndiko kuna kufaa.....
 
kama wewe huwezi usitokwe mapozi kudhani wote hawawezi!

Hizo ni porojo tu!
Hazina mashiko hata kidogo!

Wapi we umeshaona kiumbe ajitoe roho yake mwenyewe halafu ajirudishie??

Hebu tumieni vichwa kufikiri jamani!

Watoto wenu mtawapa elimu za ajabu ajabu kama hizi??
 
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Pasco.

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
Mkuu.@Pasco katika Masomo yote wewe uliyoyasoma huko nchini India ipi unayoiona ni rahisi kuitumia katika kuwasaidia watu au kujisaidia wewe mwenyewe katika maombi na uponyaji kwa kutumia Power yako uliyonayo mtu mwilini mwako?
 
Nilifanya Meditation ya ku-open third eye, usiku wakati nalala tena nilikuwa studio na tulikuwa wawili peke yetu ujuavyo studio ya Radio. Nilisikia makelele ya watu wengi idadi yake ni kama zaidi ya hamsini, watu wengi wanapoingia sehemu wanakuwa na kelele hawa wanaongea hili hawa lile basi mpaka nilipokuwa wakaingia na muda huo nilikuwa nimelala kifudifudi simu ilikuwa upande wa kulia nikahisi itakanyagwa nikaihamishia upande wa kushoto. Cha kunishangaza ninasikia watu wamekuja ila siwaoni, ninawasikia wanaongea karibu yangu ila siwaoni kuna wengine ninawasikia chumba cha pili ila sioni chochote nilibadili mlalo nikalala chali, cha kunishanga mara baada ya kubadili mlalo na kulala chali sikuwasikia tena.

Swali

Hii ni nini?
Ninawezaje kuwaona hao watu kwa mara nyingine wakija?
Na walikuja mle studio iliyo na milango pamoja na madirisha yaliyo na system ya security kufanya nini?
Wamewezaje kuingia mle ndani?
Kwa nini nilipobadili mlalo toka ule wa kifudifudi na kulala chali sikuwasikia tena?

MWENYE UWELEWA WA HILI JAMBO NAOMBA MUONGOZO WAKO...UBARIKIWE MDAU.
 
Nilifanya Meditation ya ku-open third eye, usiku wakati nalala tena nilikuwa studio na tulikuwa wawili peke yetu ujuavyo studio ya Radio. Nilisikia makelele ya watu wengi idadi yake ni kama zaidi ya hamsini, watu wengi wanapoingia sehemu wanakuwa na kelele hawa wanaongea hili hawa lile basi mpaka nilipokuwa wakaingia na muda huo nilikuwa nimelala kifudifudi simu ilikuwa upande wa kulia nikahisi itakanyagwa nikaihamishia upande wa kushoto. Cha kunishangaza ninasikia watu wamekuja ila siwaoni, ninawasikia wanaongea karibu yangu ila siwaoni kuna wengine ninawasikia chumba cha pili ila sioni chochote nilibadili mlalo nikalala chali, cha kunishanga mara baada ya kubadili mlalo na kulala chali sikuwasikia tena.

Swali

Hii ni nini?
Ninawezaje kuwaona hao watu kwa mara nyingine wakija?
Na walikuja mle studio iliyo na milango pamoja na madirisha yaliyo na system ya security kufanya nini?
Wamewezaje kuingia mle ndani?
Kwa nini nilipobadili mlalo toka ule wa kifudifudi na kulala chali sikuwasikia tena?

MWENYE UWELEWA WA HILI JAMBO NAOMBA MUONGOZO WAKO...UBARIKIWE MDAU.
Mkuu Mtayarishaji, mimi sijafanya meditation wala kufungua third eye!. Meditation hufanywa kwa malengo!. Kama ni kweli uliweza kufungua third eye, hizo sauti ulizokuwa unazisikia ni sauti za ulimwengu wa spirits, ila pia kuna kunauwekano ulipatwa na kitu kinaitwa "hypnotism" ambapo unakuwa kwenye highest stages of mind suggestibility, unaweza kukuta hakuna sauti zozote, ila ni sound illusions tuu in your mind making illusional saund ila kiukweli, hakuna sauti yoyote!.
Pasco
 
Mkuu.@Pasco katika Masomo yote wewe uliyoyasoma huko nchini India ipi unayoiona ni rahisi kuitumia katika kuwasaidia watu au kujisaidia wewe mwenyewe katika maombi na uponyaji kwa kutumia Power yako uliyonayo mtu mwilini mwako?
Mkuu Mzizi Mkavu, naomba kwanza niwe clear, hakuna masomo yoyote rasmi niliyosoma kuhusu haya mambo as if nilikwenda India kusomea!, no, nilikwenda India kwa shughuli nyingine, ndipo nikajisomea for leisure!.

The easiest way ni kwanza kujitambua kuwa you have the powers kwa kufanya meditation !, hata sala ni meditation!.
Ukiisha jitambua, make a wish unawake mini, kufanikiwa kwenye lili, then put serious efforts kwenye hilo, "where there is a will, there is a way!", only usije ukajilalia kitandani, uka wish kupata pesa, ukafunga macho kufungua ukakuta peas chini ya mto!, halo ujue hizo ni nguvu za giza, na hizo pesa ni za shetani, zimeletwa na majini!. Wako wengi wanatajirikia kwa waganga, majini na uchawi!, watch them very careful, utawakuta wanalipia hapa hapa duniani!, na most they hardily enjoy their riches au kutokana na masharti, au by guilt conscious ya makafara ya wapendwa wao wanayoyatoa from time to time na mwisho wa siku kwa kawaida kafara ya mwisho huwa wao wenyewe na mali walizoziacha husambaratika!.

Better be poor happy than rich but sorrow!, wengi hata ukiziona smiles zap, cheka zap na furaha zao ni nyingi ni superficial just to pay lip services kuonekana wano raha au machine furaha lakini mioyoni ni huzuni!.
Lengo la matumizi ya powers lisiwe ni kupata utajiri, bali kuishi maisha mazuri utajiri ukiwa ni just one of!.
Pasco
 
Mkuu Mzizi Mkavu, naomba kwanza niwe clear, hakuna masomo yoyote rasmi niliyosoma kuhusu haya mambo as if nilikwenda India kusomea!, no, nilikwenda India kwa shughuli nyingine, ndipo nikajisomea for leisure!.

The easiest way ni kwanza kujitambua kuwa you have the powers kwa kufanya meditation !, hata sala ni meditation!.
Ukiisha jitambua, make a wish unawake mini, kufanikiwa kwenye lili, then put serious efforts kwenye hilo, "where there is a will, there is a way!", only usije ukajilalia kitandani, uka wish kupata pesa, ukafunga macho kufungua ukakuta peas chini ya mto!, halo ujue hizo ni nguvu za giza, na hizo pesa ni za shetani, zimeletwa na majini!. Wako wengi wanatajirikia kwa waganga, majini na uchawi!, watch them very careful, utawakuta wanalipia hapa hapa duniani!, na most they hardily enjoy their riches au kutokana na masharti, au by guilt conscious ya makafara ya wapendwa wao wanayoyatoa from time to time na mwisho wa siku kwa kawaida kafara ya mwisho huwa wao wenyewe na mali walizoziacha husambaratika!.

Better be poor happy than rich but sorrow!, wengi hata ukiziona smiles zap, cheka zap na furaha zao ni nyingi ni superficial just to pay lip services kuonekana wano raha au machine furaha lakini mioyoni ni huzuni!.
Lengo la matumizi ya powers lisiwe ni kupata utajiri, bali kuishi maisha mazuri utajiri ukiwa ni just one of!.
Pasco
Pamoja na kunijibu lakini bado hujanitosheleza wewe katika kufanya utafiti wako umegunduwa njia gani Rahisi ukifanya unaweza kufanikiwa kumtibia mtu mgonjwa au kumuita mtu wa mbali au kujikinga na maaduwi ndio swali langu umejifunza kitu gani muda huo uliotumia kwa hizo Spirit of Power?
 
Pamoja na kunijibu lakini bado hujanitosheleza wewe katika kufanya utafiti wako umegunduwa njia gani Rahisi ukifanya unaweza kufanikiwa kumtibia mtu mgonjwa au kumuita mtu wa mbali au kujikinga na maaduwi ndio swali langu umejifunza kitu gani muda huo uliotumia kwa hizo Spirit of Power?
Mkuu Mzizi Mkavu, sijui hata nikujibuje!, kitu cha kwanza ni kujitambua una powers katika maeneo yapi, pili kuzidevelop hizo powers na ndipo uweze kuzitumia!. Wakanga wote wa ukweli ukweli, wanazitumia hizi powers, na watu wengi wenye mafanikio, pia wanazitumia hizi powers kwa kujijua ao kutojua!. Kwa kuanzia jitulize kimya, medidate au fanya sala huki ukiomba jambo fulani au kitu fulani,then fanya efforts kukipata hicho utakacho, utapata!. Just wish for anything!, you will be granted!.
Pasco
 
Back
Top Bottom