Nyang'omango
Senior Member
- Nov 6, 2011
- 194
- 87
Duuuh hili darasa safi sana,naomba kujua jins ya kugonga kidole ili nitoke.... Pia Napenda kuonana na wewe ana kwa ana MWENEKAYA NKULU,Je nifanyeje ili nikuone.....??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh hili darasa safi sana,naomba kujua jins ya kugonga kidole ili nitoke.... Pia Napenda kuonana na wewe ana kwa ana MWENEKAYA NKULU,Je nifanyeje ili nikuone.....??
Hii Itasaidia Sana Wale Walio Makini Na Suala Hili Ku practise Hatua Itakayokuwa Muafaka Kwa Muhusika Sababu Naamini Sio Watu Wote Wanaohitaji Kufanya Taamuli Wanaweza Kutumia Aina Moja Ya Taamuli Kwani Njia Moja Inaweza Ikaonekana Ngumu Kwa Mmoja Ikafaa Kwa Mwingine Karibu Tena Kwa Darasa Mkuu
Nafikiri Nyang'omango Ana Mahitaji Sawa Na Mimi Kuonana Ana Kwa Ana Na Wewe Mkuu Rakims Ingawa Hapo Ju Anaonekana Anhitaji Kuonana Na Mwenekaya Nkulu Maana Sioni Chochote Nilichochangia Hata Kimvute Ahitaji Kuniona,so Toa Mwongozo Anayehitaji Kukuona Anakupata Namna Gani Mkuu Maana Haya Mambo Makubwa Haya Eti
anamuhitaji Pasco Mwenye Uzi Huu Hujamuelewa...
Sasa Ikifika Hatua Ya Kuonekana Zile Spirits Ambapo Unaweza Kuomba Chochote Kinachoweza Kupatikana Ina Maana Ni Kile Unachoweza Kupata Kwa Mazingira Yako bila Shaka Maana Huwezi Kuwa Dodoma Kijijini Halafu Ukaomba Upate Kumiliki Meli Ilhali Hata Baiskeli Huna Ndio Kuomba Hapo Sasa Unamuomba Nani?
Ahaaa,sasa Ninazidi Kuelewa Haya Mambo Ila Sio Rahis Kama Inavyoonekana Linapokuja Suala La Practictal,ila Nafikiri Lingekuwa Jambo Jema Hili Zoezi Likafanyika Sehemu Yenye Utulivu Wa Hali Ya Juu Mno Na Sio Huku Uswahilini Tunakoishi Sasa Sijui Wakuu Rakims Na Pasco Hakuna Location Ambayo Haya Mambo Mtu Anaweza Kwenda Kufanya Meditation Hata Kama Ni Kwa Kulipia Alimradi Pawe Na Utulivu Unaofaa Mnapofahamu Ili Wadau Waende Huko?Saidia Wakuu, Sasa Kuhusu Ndoto Mimi Nimejaribu Hizo Njia Zote Mbili Kwa Nyakati Tofauti Japokuwa Sikuona Matokeo Yote Kwa Mpangilio Uliouelezea Hapo Juu Ila Kuna Hali Niliyoipata Ya Wepesi Wa Mwili Isivyokawaida Nikahisi Kuna Kotu Hapa Kimetokea Ila Leo Imekuja Ndoto Inaonyesha Nimekutana Na Watu Ninaowafahamu Na Nisiowafahamu Sehemu Niliyoenda Kwa Lengo La Kuabudu Lakini Wakaniambia Mchungaji Wangu Hawafaham Kwamba Ni Mchungaji Bali Msaka Fedha Tu Na Wala Sikuwa Na Wazo Lolote Juu Ya Hilo Sasa Hapo Ni Vp Niendelee Kwenda Kanisani Kwake Au Majibu Ndio Hayo Niliyipewa?
Ok sasa umezidi kunipa mwanga katika hilo,ingawa hii njia ya pili yaani calm meditation inaonekana kufaa shida ipo kwenye hesabu zake zinarudi rivasi sasa usipokuwa makini,utarudia mara kurudia ila polepole tutafika tu,sasa kuna kitu kingine kidogo kimenipa shida namna ya kuelekeza macho uliyofumba yatazame mahali fulani yaani kama muelekeo wa paji la uso kama sijaelewa vibaya inakuwa ishu sana kwamba ukomae na uelekeo wa macho uliyofumba at the same time uhesabu kurudi chini nahisi ndio mahali pameninyanyasa sana hapo hebu toa ufafanuzi juu ya sehemu hiyo mkuu,kabla hatujahamia kwenye njia ya tatu mkuu,
Njia Ya Tatu Naileta Ya Kutumia Mshumaa....... Soon How To Meditate By The flame Candle.................:flame:
Njia Ya Tatu Naileta Ya Kutumia Mshumaa....... Soon How To Meditate By The flame Candle.................:flame:
Mkuu mbona unatupa mizuka then unatukata tena? mm binafsi ningependa unipe mwongozo wa meditate ana kwa ana yani uso kwa uso, hapa hakuna usalama wa taifa mkuu ww twambie darasa tunalipataje hili tukiwa na walimu kabisa? usiseme hujui tafadhali.
Mkuu Nyang'omango, wakati naanzisha uzi huu, nilitoa angalizo lifuataloPasco pasco pasco uzi huu haotoshi.....naomba kukuona ana kwa ana....maswali ni mengi sana juu ya jambo hili....yapo mengi wengi wetu tunahitaji kutoka kwako mkuu wa uzi....Jitokeze Pasco.....!!
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".