Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?


Daah we jamaaa unajua had unakera nashukuru kumfahamisha kijana ulichosema n kweli Lucifer alkuwa jini aliyeumbwa na moto hicho kiburi chake cha kukataa kumsujudia baba yetu Adam kwakuwa yeye anauwezo wa kumunguza sekunde tu na ukweli malaika wanatiii hawana ujuzi wowwte juu ya mola wao ahsante sana yeye Alfa na omega kamwe haifi ahsante naona watu wanashaka juu ya uwezo wa aliyewaumba namini had wanampa Lucifer sifa kama za mwenyez mungu tobaaaaaaaaa
 
Yes, nina maana shetani hapo mwanzo alikuwa malaika!, alipoasi, alifukuzwa tuu mbinguni lakini hakunyanganywa powers zake!. Tofauti kati ya shetani na malaika ni majukumu tuu, lakini make up, is the same kila kitu!.

Pasco

Hapana ndugu yangu yule jamaa alikuwa jini ila alikuwa msafi wa matendo mema yake yalkuwa makubwa ndipo aliposogezwa hapo.......na anajina lake halisi nmelisahau katka makundi yako hivi Jini asili yake maana na yeye kiumbe kama sisi akihasi anaitwa shetani malaika kamwe hawez kuhasi wala kufanya kinyume na mola wake binadamu kama asili yake anatakiwa awe na ubinadamu wema akitenda kinyume anauwa wenzio mznfu mfitinish muongo akiwa cfa zote mbaya anatenda yeye bac anatoka kundi LA ubinadamu anakuwa agent wa shetani anakuwa adui kiumbe anakuwaa sio binadamu tena
 

Boss naomba ni add 0659812121
 

Mkuu Pasco

Mimi Mwaka 1996 nilikuja kugundua kuwa kama ikitokea mtu akanifanyia jambo baya na kunitia simanzi bila mimi kumkosea yeye. Nikiingia kinyongo na kusikitika kwa maumivu ya ndani basi mtu huy0 hakika hupatwa na janga/masahibu fulani. hali hii imekuwa ikinitia wasiwasi sana hasa pale ndugu wa karibu wanaponifanyia mambo mabaya unfairly (isivyo haki). Je waweza kunipa ufafanuzi wa jambo hili kiroho na jinsi ya kuepuka au kulidhibiti
 
Shetani ndie alikuwa malaika mkuu, luciferi!, alipoasi ndipo cheo cha malaika mkuu akapewa Mikaeli na Gabrieli ndiye msaidizi wake huku Israel ni mtoa roho!.

Pasco.
 
You have the powers ambazo zinakuwa invoked, ukikasirika, powers hizi zitakuwezesha kufanya chochote!. Usisubiri kukarika ndipo zifunguke zenyewe naturall, bali anza mazoezi ya kuziamuru unataka nini?, pesa, kazi nzuri, gari nzuri, nyumba nzuri etc, jush wish kwa dhati kama unavyoumia ukiudhiwa, then zitakufungulia njia, utayapata yote, tena kwa gari unaweza kuchagua hata make Vogue Sprort etc!, ni wewe tuu!.

Walimu wa kukufungulia wapo humu humu wakiongozwa na Mkuu Rakims!.

Pasco.
 
Shetani ndie alikuwa malaika mkuu, luciferi!, alipoasi ndipo cheo cha malaika mkuu akapewa Mikaeli na Gabrieli ndiye msaidizi wake huku Israel ni mtoa roho!.

Pasco.

kwa elimu.hiyo pasco bado sana.nyie mumenyimwa elimu hyo so kamwe hutofahamu ukwwl km hutotaka kusoma.uku na kule
 
kwa elimu.hiyo pasco bado sana.nyie mumenyimwa elimu hyo so kamwe hutofahamu ukwwl km hutotaka kusoma.uku na kule

huyu anatumia sana imani ya kikristo wewe kama ni muislam ukimuelewesha hawezi kukuelewa hadi apewe na mkristo mwenzio pia WAO wanawatambua majini kama mapepo na mapepo wanayatambua kama malaika walioasi mbinguni... sikutaka kuendelea kumuelewesha Zaidi maana alianza kuingiza Udini Na Wengine Wakazidisha Kujiaminisha Kwa Hili Somo Ni Uchawi....


"Rakims"
 
mkuu pasko mimi ni mtu muongeaji sana automatic huwa naweza nkachambua jambo kwa kulisikiliza na kutoa majibu papo kwa papo in deep.

pia nafanya mambo mengi sana pasipo kufundishwa nikimuona mtu anafanya nikitia nia basi nitaweza kulifanya tuu kwa njia yoyote ila imebase sana kwenye sience na utabili wa jambo

2008 nilialikwa canada kwenye congamano ila ile miji niliijua nikiwa tz nikawa kama naota nipo canada na image ilijaa kichwani hadi mitaa na hali ya hewa na mavazi yanayo faa ila sikwenda coz mambo yaliingiliana

sijajua mpaka leo nini kilikuwako ndani yake

huwa naota pia na najikuta imetokea kama nilichoota ila sina uhakika kama nilikiota au ni chicho la tatu coz huwa naona mambo ambayo nafsi inaamini nishakutana nayo na siku hiyo yatajirudia vile vile je ni nini?
 
Katika mojawapo kati ya posts zote JamiiForums. HII NI POST YA MUHIMU SANA NA NI THREAD YA PEKEE. Nimesema ni ya pekee kwani kila kitu katika maisha yetu, maamuzi yetu (hata maamuzi unayofanya ukiwa humu kwenye Forums n.k) vinakuwa guided na These Facts. Pia ni thread ya muhimu kwani unaweza kubadili maisha yako kwa kutambua maelekezo yaliyoelezewa, kujitambua, kuzidi kusoma imani, facts, sayansi n.k kuongeza ufahamu wako.
 
Shetani ndie alikuwa malaika mkuu, luciferi!, alipoasi ndipo cheo cha malaika mkuu akapewa Mikaeli na Gabrieli ndiye msaidizi wake huku Israel ni mtoa roho!.

Pasco.

Ukisoma Kabbalah (Elimu ya siri ya kale ya kiyahudi inayoelezea maana ya undani wa biblia) utagundua kuwa Lile ni fumbo. Mambo mengi katika biblia ni fumbo lakini ni wachache walikuwa wanajua elimu hiyo.

Vitu kama mwanga, garika, farao, exodus n.k havikumaanisha uhalisia unaoona wewe bali ni mafumbo. Shetani anamaanisha your Mind, Hakuna jitu lenye mapembe linaloshawishi watu as imani zinavyokosea. Hakuna shetani. Kama ilivyo kwenye giza, hakuna chanzo cha giza bali kuna chanzo cha mwanga. Hakuna chanzo cha mabaya bali kuna chanzo kimoja tu cha mazuri (G-d, The Universe). Mwanga usipokwepo giza linatawala lakini halina source bali ni kiashiria cha kutokwepo kwa mwanga. Najaribu kukusaidia ili ukifunguka na kuutambua facts utaelewa wewe ndio mhusika wa kuongoza maisha yako.

N.B-Malaika Gabriel is your Gut.
 

mkuu bado niko nafuatilia mapoint yako........
 

Hata pia kitabu cha mwanzo nacho ni full of mafumbo kwani hakuna anayejua mwanzo kama ndio kuanza Kwa dunia. Bali ni hadithi zilizotungwa wakat wa mfalme suleiman na si kitabu kimoja bali vipo vingi vinavyoelezEa mwanzo wa ulimwengu
Hata hadithi ya adam na hawa is not real n hadith tu
Makasisi wa kanisa katoliki wanajua hili
Lakini wanaamin Kwa kutumia hadithi hizi zitatufikisha kwenye heri iliyoadiwa.

Elimu hii juu bibli tuiache tu tutawafanyA watu wasiamin ktk biblia hususan agano la kale.
Ramakism
 

Wwe unamiliki hiyo vogue!!
 
Precognition, premonition and precognitive dreams- Huwa inanitokea mara kwa mara, kwangu huwa sioti ndoto bari kuna hisia kali huwa zinanijia. Pia nina uwezo wa kumwambia mtu kuwa kitu fulani kitatokea. Mwaka huu imetokea mara mbili. Remote viewing - Gathering of information at a distance... Hii nayo
 

True. Ni kweli kabisa.
 

Mkuu una kitu cha muhim sana cha kutueleza kitabu.... Kinapatikanaj3 hicho na n kwann imekuwa siri.?
 
Mkuu una kitu cha muhim sana cha kutueleza kitabu.... Kinapatikanaj3 hicho na n kwann imekuwa siri.?

Asante mkuu, Sio kwamba ni siri. Ni kitu ambacho kipo wazi lakini sio watu wote wanaweza kuelewa, hata ukimwelekeza mtu atakwambia anaamini alichoambiwa na kiongozi wake wa imani, na kiongozi wake wa imani naye unakuta kuna sababu fulani iliyompelekea akajifunza hivyo. Kwa waisrael wa zamani wapo wakuhani waliokuwa na Musa ambao hawakuwa viongozi wa imani bali walifunguliwa na kutambua maono ya Muumba. Ni sawa na Yesu alipoulizwa na wanafunzi wake ni kwanini akiwa na wanafunzi wake anawafundisha tofauti na anachofundisha watu wa kawaida kwenye makutano. Ni kwa sababu levels za reality/consciousness zinatofautiana kwa wanadamu. Hatuwezi kufahamu sawa, bali kwa wanaopenda kufahamu na wenye akili huru ndio wanaweza kujifunza. Cha msingi ni kujisomea vitabu na kuwa na akili huru ya kupenda kujifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…