82 Rangers
Member
- Oct 2, 2017
- 49
- 38
For Guys You can thank me now, Ladies Thank me later... Al Koran book attached...Print out yake sio bora sana but readable.
Thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For Guys You can thank me now, Ladies Thank me later... Al Koran book attached...Print out yake sio bora sana but readable.
Naufatilia Uzi huu kinagaubaga sana ilanaweza changia walao kidogo,,Exactly, yaani ajikite hapohapo ni ukweli ulio wazi atatengeneza fedha balaa.
Lakini pia nyakati hizo anazosema akimtizama msichana tu anamfuata angeamua kuutumia huo ujuzi kama mtaji leo akina Rahma al haroos au Madame matalent wangekuwa mikononi mwake na akila bila jasho jingi lol!! Lakini kwa sababu Pasco Msukuma mwenzangu utajiri ni ng'ombe na wake wengi akaishia 'kupiga' akina Mwajuma wa Magomeni!
Ila kwa ujumla anachokisema kina ukweli.........Kuna nguvu tunakuwa nayo alkini kadri muda unavyoenda ndivyo tunavyoipoteza. Mathalani nikiwa mdogo nilikuwa na uwezo mkubwa wa kushawishi Watu walionizunguka, kwa mfano inawezekana miongoni mwa marafiki zangu ikaamuliwa twende sehemu A lakini mimi sijaridhika, nikiamua ndani ya kichwa changu kwamba tutaenda sehemu B nikifunua kinywa changu lazima nitabadili tu maamuzi yao tena hata bila nguvu wala hoja ya maana sana.
Kaka yangu nyakati fulani akiwa 'managerial position' alifanyiwa vitimbi vingi ndani na nje ya Kampuni ili apoteze nafasi yake lakini aka-survive, na ukitazama 'package' iliyokuwa ikipelekwa kwenye Board unashangaa aliweza vipi kuchomoka, na si hapo tu ni sehemu kadhaa alizopita.......................Siku moja kuna mtu alimuuliza, akajibu kwa namna tofauti kwamba kuna watu wana kitu kinaitwa "tough guy" ndani yao unaweza ukafanya yoote lakini wanajua mlango wa kutokea kabla hata hamjakamilisha mipango.
Wakati mwingine nawaza labda pengine nguvu kama hizi hupungua ama kuisha kwa sababu ya hizi dhambi tunazozifanya!
Further:
Pasco Na wale waopiga ramli unaweza kuwaelezea kidogo. Tunaambiwa anaweza kukueleza mambo yoote uliyopitia na yale yanayokuja!!
hii tunayohangaika nayo koote ni imaan basi!yesu aliwaambia wanafunzi wake mngekua japo na chembe ya iimaan sawa na kipunje cha mchanga basi mngeiamuru mlima uhame ulipo na ungetiii.sasa kila moja anaimani yake ya kuamini kwa jinsi apendavyo ila kwa siance mzungu ndo na wengineo wamekuja na style tofauti ila njia ni moja tu iimaan kuweza kufanya yote!nadhani tuache kuwaambia watu kuna sijui hivi sijui vile bali ni iimaan basi.Mkuu The Boss, hakuna aliyekuibia, hizo powers bado zipo na unazo, ila zimekuwa dormant kwa sababu hazikutumika!.
Kama nilivyosema mwanzo, kila mtu anazaliwa nazo!, infact zinaanza ku exist since the time of conception!. Ndio maana mtoto akiwa tumboni, unashauriwa zungumza nae, mwambia unampenda!, mkeo akiwa mja mzito, sometime shika shika tuu tumbo la wife angea na mtoto kuwa unamsubiri kwa hamu!.
Baada ya watoto ambao mimba zao zilitaka kutolewa zikagoma, wanajua!, hivyo wanakuwa wamezaliwa huku subconcious ikiwaambia "they were rejected!". Letter in life, wanakuja kufanya mambo ya ajabu, ikiwemo hata kuwa serial killer!, by the time wanayafanya hayo, sub concious inakuwa imetake charge, normal concious ikrudi, anajuta!.
Mtoto akishazaliwa powers zinakuwa very distinct!, mara kibao anaweza kuanguka tika kitandani, akalia tuu ila kiukweli anakua hajaumia kihivyo!. Akikuangalia anakusoma your mind, kama unampenda anaona, kaa unamchukia anajua, anasikia japo hawezi kusema!.
Kadri unavyikuwa, powers hizi zinakwenda zikipotea kutokana na kutotumika!.
Mfano mimi nayakumbuka baadhi ya majina ya baadhi ya wanafunzi niliosoma nao nursery. Nilisoma shule ya St. Petrers Kindagarten Tanga nikiwa 4 years!, Mpaka leo nayakumbuka baadhi ya majina-Robert Kilala na Ana Kilala, walikuwa wanaletwa shule na baba yao kwenye pikipiki. Kuna David Naburi, Alex Shaba, Jane Mutayoba, Cecilia Minja, na kuna drama nilicheza shule mimi nilikuwa King!. Bado nakumbuka nyimbo za Baba Black sheep etc!.
Lakini cha ajabu, sikuwakumbuki wanafuanzi niliosoma nao darasa la kwanza na la pili! zaidi ya wimbo wa "sasa sasa saa ya kwenda kwetu!". Na huwezi kuamini, kuna watu nimemaliza nao chuo pale UDSM, wao ndio wananikumbuka kuwa tumesoma darasa moja!.
Ili kwa mujibu wa michango yako humu jf, Mkuu the Boss, unajulisha wazi, "you have the powers!", issue ni kuzifuatilia tuu na kuzifufua!. Ila kama hizo powers ni strange powers, bora ziache tuu ili uishi normal life!.
Pasco.
sure kaka,wanadanganyana..bible imeeleza yotee kabisa! Imani chanzo chake kusikia na kusikia neno la munguhii tunayohangaika nayo koote ni imaan basi!yesu aliwaambia wanafunzi wake mngekua japo na chembe ya iimaan sawa na kipunje cha mchanga basi mngeiamuru mlima uhame ulipo na ungetiii.sasa kila moja anaimani yake ya kuamini kwa jinsi apendavyo ila kwa siance mzungu ndo na wengineo wamekuja na style tofauti ila njia ni moja tu iimaan kuweza kufanya yote!nadhani tuache kuwaambia watu kuna sijui hivi sijui vile bali ni iimaan basi.
hahahaha iiman ndo kila kitu usihangaike rudi kwa mola wako na haya yote utayaona ukihitaji[emoji2]Naufatilia Uzi huu kinagaubaga sana ilanaweza changia walao kidogo,,
Kwanza nikubali hizi power zipo ila kinachofanya wengi tuzipoteze ni madhambi hasa ya zinaa(changanya changanya ya wanawake)
really now??!blackpowers....ivo vtu cio mzuri axee......utajikuta unakua mchawi....i once practiced telekinesis..and got contact from aliens
Soma Kitabu hiki kinaweza jibu maswali yako. Crossing over mwandishi John EdwardHongera, nielezee vingine huenda nami vinanitokeaga ila sijavitia maanani.
Soma Kitabu hiki kinaweza jibu maswali yako. Crossing over mwandishi John Edward
Thanksninacho hicho kitabu lakini sijakisoma ,, hicho hapo , kwa mwenye kukihitaji
Mimi naona pia sisi tunaojifunza kupitia hata kina Pasco, pia tujitahidi kutafuta vitabu ili kuelewa zaidi, na sio kutegemea walimu wetu kina Pasco, Mshana wawe wanaleta kila kitu. Ni kweli mkuu haya masomo ni mazur sana ukiyazingatia na kuyapa mudaHili soma itabidi nilifatilie kwa umakini sana
Mimi kama miaka 5 au 6 nilikaa na mdogo wangu tunakunywa chai nilimuangalia tu nikaona matukio mengi sana atakayo kutana nayo alikuwa anaenda fua mtoni ila nilishindwa kumwambia baadae ilibidi nimwambie mama na aligombeza sana kwann sikusema mapema namalizia kumsimulia mama mdogo wangu akaingia na akasimulia kama nilivyomsimulia mama
Na ilifikia kipindi kama kuna kitu kinataka kutokea roho inaniuma kupita maelezo mpaka hilo tukio likishatokea narudia hali ya kawaida ila siku hizi sioni tena hali hiyo
Na ndipo mtihani ulipo, maana watu wengi tunapenda njia ya moat mkatosiyo rahisi kudevelop hizi power inahitaji muda wa practise na pia uwe mvumilivu kwa sababu si jambo la siku moja it can take time...but before that start to purify your mind and body n then practuce will lead you direct to purify your soul n then those will come naturally as you keep meditating and other practice.