Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Chief naomba unisaidie . Mimi usiku huwa naota napaa Kama Nina mbawa na huwa ni muda mrefu hutokea hicho kitu ebu naomba unisaidie nini Maana yake
 
Je kuna uwezekano wa mtu kuukopi mwili wa mtu mwingine na kufanana naye kwa 100%? Mfano wa lile roboti kwenye movie terminator 2.
Utakesha ndugu..kaa ktk uhalisia wako na tumia meditation kupambanua mambo au kutengeneza akili iliyotulia kuliko kujaribu kuvaa mwili usio wako naamini utafeli tu.
 
Uli practice kivipi mkuu kila siku au na kwa njia gani
Nili practice kila siku, asubuh nikiamka au jioni wakat nimetoka job kukiwa na utulivu au muda mfupi kabla sijalala...hii kitu ukianza kuifanya inakuwa nzuri sana ..kama ndio unaanza unaweza kufanya guided meditation, download app
 
kaka pasco naomba hizo power ulizoziolozesha hapo ambazo huwa unatumia tuelezee kiswhili ili tupate kujua kiundani zaid
 

Mkuu Pasco, nimejaribu kuangalia picha ya pili yenye kidoti. mwanga wa light blue unatokea kwenye picha nyekundu lakini picha ya blue ina potea kwa semi cirle ya kwanza then inafuata ya pili. Panakuwa peupe kabisa nabaki na circle ya red pekee. je nakosea mahali?
 
Vip hizi meditation center zapatikana wapi hapa bongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…