Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daisy ni bookshop gani hapa Dar naweza kuvipata? nisaidie mkuu maelekezo. Pasco Inkoskaz mshana jr msaada wenu unahitajika pia.Navihitaji sana wakuu hivyo vitabuInteresting.
Ngoja na mimi niendelee kusoma vitabu. nilishaanza na teaching of Buddha kina mafundisho mazuri kuhusu "enlightment"
soon nitanunua hicho The power of your subconscious Mind, infact a few months ago kuna rafikiangu tulienda pamoja bookshop akanunua akaniambia ni kizuri
Nenda mtaa wa Mindu upanga nyumba ya tano kulia ukitokea barabara kuu kuna temple ya wasri lanka pale utapata vitabu anuwai na mafundisho pia
fundamental of yoga kinapatikana hapo mindu?
Wana varieties jaribu kupita kinaweza kuwepo na leo kuanzia saa tatu asubuhi kutakuwa na darasa la meditation
duuh, asee hilo darasa sitaki kulikosa.. Litakuwa wapi asee
Umeiona yangu bro rakims?
Pongezi Pasco umeleta jambo la manufaa sana; watu watambue tu ya kwamba ukiamini kiungo cha albino kinatajirisha utatajirika kwa kiungo cha albino. Ukiamini utatajirika kwa kiungo cha chura utatajirika kwa kiungo cha chura; muujiza upo kwenye ile imani na wala sio kile kinachotumiwa kuifungua milango ya imani husika. Hebu tuachane na viungo vya albino sasa tugeukie viungo vya kondoo na mbuzi; mambo ni rahisi tu iwapo waganga watawaaminisha wateja wao kuwa sasa miujiza imehamia kwenye viungo hivyo na bado watu watafanikiwa kama kawaida. Tembelea pia Quasserer Information Website | Empowering millionsWanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".
Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.
Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.
Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.
Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".
Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".
Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.
"I know I can, be what I wanna be!"
Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.
Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".
This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.
- Apportation - Materialization, disappearance, or teleportation of an object.[SUP][1][/SUP]
- Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things.[SUP][2][/SUP]
- Automatic writing - Writing produced without conscious thought.[SUP][3][/SUP]
- Astral projection or mental projection - An out-of-body experience in which an "astral body" becomes separate from the physical body.[SUP][4][/SUP]
- Bilocation or multilocation - Being in multiple places at the same time.[SUP][5][/SUP]
- Clairaudience - receiving messages in thought form from another frequency or realm. It is considered a form of channeling.
- Clairvoyance, second sight - Perception outside the known human senses.[SUP][2][/SUP]
- Death-warning - A vision of a living person prior to his or her death.[SUP][6][/SUP]
- Divination - Gaining insight into a situation via a ritual.[SUP][7][/SUP]
- Dowsing - Ability to locate objects.[SUP][8][/SUP]
- Energy medicine - Healing by channeling a form of energy.[SUP][9][/SUP]
- Faith healing - Diagnosing and curing disease using religious devotion.[SUP][10][/SUP]
- Mediumship or channeling Communicating with spirits.[SUP][11][/SUP]
- Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
- Psychic surgery - Removal of diseased body tissue via an incision that heals immediately afterwards.[SUP][12][/SUP]
- Psychokinesis or telekinesis - The ability to manipulate matter by the power of thought.
- Psychometry or psychoscopy - Obtaining information about a person or object.
- Pyrokinesis - Manipulation of fire.
- Remote viewing - Gathering of information at a distance.
- Retrocognition - Perception of past events.
- Scrying - Use of an item to view events at a distance or in the future.
- Telepathy - Transfer of thoughts or emotions.
- Transvection - Bodily levitation or flying.
Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.
Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.
Karibu tujadiliane!.
Pasco.
Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.
World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
Vogue nimetolea mfano tuu, you get what you wish, mimi niliwish boda boda, nina boda boda, nikiwish vogue, nitamiliki vogue!.Wwe unamiliki hiyo vogue!!
nimejalibu kusoma huu uzi katika vitabu vyote tajwa sijaona kitabu cha kiswahili inamaana kwa wale tisiojua. kiswahili atupati fulsa ya kujua vizuri.