Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Hapa ndo napata majibu ya maswali yangu nlikuwa najiuliza kwa muda wa miaka 6 lkn leo ndo napata majibu....
Nikiwa secondary kuna jamaa walkuwa wapo shule jiran na wo walkuwa viongoz wa dini kwa mlopitia sec mtaelewa maana ya TYCS.
Walkuwa wanakuja tunasali nao.... Na walkuwa wanafanya matendo ya kimazingaombwe......tukawa hatuwaelewi.
Mmoja anasimama nje na mwenzie anakaa ndani then mtu yeyoye anamwambia mamba yoyote huyu wa ndan....baadae yule wa nje akija anatuambia ni namba gani alimwambia.

Pia anapanga vitu mezani then unakuja unagusa chochote yule wa nje akija anasema ulchokigusa. Huyu wa nfan anachofanya ni kuangalia tu.
Na yule wa nje akija hawapean ishara zozote lkn anaeleza kilichofanyika....... Nataman kufungua power zangu kwa sasa....
 
Interesting.

Ngoja na mimi niendelee kusoma vitabu. nilishaanza na teaching of Buddha kina mafundisho mazuri kuhusu "enlightment"
soon nitanunua hicho The power of your subconscious Mind, infact a few months ago kuna rafikiangu tulienda pamoja bookshop akanunua akaniambia ni kizuri
daisy ni bookshop gani hapa Dar naweza kuvipata? nisaidie mkuu maelekezo. Pasco Inkoskaz mshana jr msaada wenu unahitajika pia.Navihitaji sana wakuu hivyo vitabu
 
Last edited by a moderator:
daisy ni bookshop gani hapa Dar naweza kuvipata? nisaidie mkuu maelekezo. Pasco Inkoskaz mshana jr msaada wenu unahitajika pia.Navihitaji sana wakuu hivyo vitabu

Nenda mtaa wa Mindu upanga nyumba ya tano kulia ukitokea barabara kuu kuna temple ya wasri lanka pale utapata vitabu anuwai na mafundisho pia
 
Last edited by a moderator:
Haya Umefika Muda Wa Kurudi Darasani Chap Chap PM namba Yako Nikuingize Whatsapp Group Ya Meditation...


"Rakims"
 
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha, tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka, mfano, "Miujiza ya Ukweli!".

Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa "Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.

Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua, ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to "make things happen!".

This is a list of psychic abilities that have been attributed to real-world people. These are also sometimes known as extrasensory perception or a sixth sense. Inclusion in this list does not imply scientific recognition of the existence of an ability. Superhuman abilities from fiction are not included.


Psychic Powers- Ni Nguvu za Kufanya Miujiza-Wengi Wanazo Bila Kujitambua!-Jee Wewe Unazo?!,
Take time kujitambua kuwa you have the powers,
Nitakusaidia website za kukuelekeza ufanye nini kuhusu hizo powers ulizo nazo zikuletee mafanikio!.
Watu wote wenye mafanikio, wameisha jitambua, ila wengi wanafanya siri!.

Hii ni fursa kwa wewe kujitambua, kuzitumia powers ulizo nazo, kubadili maisha yako!.

Karibu tujadiliane!.

Pasco.

Kwa wanaopenda kujisomea kuongeza maarifa, nimeongeza list ya all the topics kwenye net resources kuhusu kila kitu chini ya jua.

World Religions
Traditions
Mysteries
What's New?
About
Abuse
Books
Bibliography
Contact
Credits
Copyrights
Donate
Downloads
FAQ
Links
Map
Press
Privacy
Search
Top Level
Terms of Service
Translate
Standards
Unicode
Volunteer
Wishlist
Catalog
African
Age of Reason
Alchemy
Americana
Ancient Near East
Astrology
Asia
Atlantis
Australia
Basque
Baha'i
Bible
Book of Shadows
Buddhism
Celtic
Christianity
Classics
Comparative
Confucianism
DNA
Earth Mysteries
Egyptian
England
Esoteric/Occult
Evil
Fortean
Freemasonry
Gothic
Gnosticism
Grimoires
Hinduism
I Ching
Islam
Icelandic
Jainism
Journals
Judaism
Legends/Sagas
Legendary Creatures
LGBT
Miscellaneous
Mormonism
Mysticism
Native American
Necronomicon
New Thought
Neopaganism/Wicca
Nostradamus
Oahspe
Pacific
Paleolithic
Parapsychology
Philosophy
Piri Re'is Map
Prophecy
Roma
Sacred Books of the East
Sacred Sexuality
Shakespeare
Shamanism
Shinto
Symbolism
Sikhism
Sub Rosa
Swedenborg
Tantra
Taoism
Tarot
Thelema
Theosophy
Time
Tolkien
UFOs
Utopia
Women
Wisdom of the East
Zoroastrianism
Pongezi Pasco umeleta jambo la manufaa sana; watu watambue tu ya kwamba ukiamini kiungo cha albino kinatajirisha utatajirika kwa kiungo cha albino. Ukiamini utatajirika kwa kiungo cha chura utatajirika kwa kiungo cha chura; muujiza upo kwenye ile imani na wala sio kile kinachotumiwa kuifungua milango ya imani husika. Hebu tuachane na viungo vya albino sasa tugeukie viungo vya kondoo na mbuzi; mambo ni rahisi tu iwapo waganga watawaaminisha wateja wao kuwa sasa miujiza imehamia kwenye viungo hivyo na bado watu watafanikiwa kama kawaida. Tembelea pia Quasserer Information Website | Empowering millions
 
nimejalibu kusoma huu uzi katika vitabu vyote tajwa sijaona kitabu cha kiswahili inamaana kwa wale tisiojua. kiswahili atupati fulsa ya kujua vizuri.
 
Kweli elimu ni bahari bado kuna vitu vyakujifunza ila si vyote hongera kwa mwanzisha Uzi huu
 
Kuna mama mmoja ukimuudhi akiingalia suruali yako inawaka moto! This world is full of knowledge
 
Back
Top Bottom