Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Masomo ni mazuri sana haya ila watu hawataki kusoma wanataka kukaririshwa yale tu waliyoambiwa kuwa ndiyo sahihi tu!
 
Mkuu Mzee, kwanza isiniite Dkt,
Pili telepathy ni communication through mind. Ili umnase mtu kwa mvuto lazima kwanza akuone, ndipo avutike, mtambulishane, mzungumze, mzoeane, mpange, ndipo mtekeleze!.

Lakini kutumia telepathy, hakuna kuongea lolote, unamtazama mtu, macho yakigongana tuu, unatoka, anakufuata, mnamalizana, bila hata kupanga, na mkimaliza, mtu anaona noma.
P
Telepathy in the classical sense means that you can read other people’s minds. It means that you can communicate through thought alone, and that you’re deepest most innermost thoughts and insecurities are on display because others can read your mind. This may manifest itself in the notion that the TISS or the government has planted a chip in your head, or that you somehow have gained magical powers because you’re a prophet or a magician. Either way, this set of symptoms is particularly insidious in the moment.
Most pscychistrists consider telepathy as a symptom of schizophrenia just like delusions and paranoia
 
Telepathy in the classical sense means that you can read other people’s minds. It means that you can communicate through thought alone, and that you’re deepest most innermost thoughts and insecurities are on display because others can read your mind. This may manifest itself in the notion that the TISS or the government has planted a chip in your head, or that you somehow have gained magical powers because you’re a prophet or a magician. Either way, this set of symptoms is particularly insidious in the moment.
Most pscychistrists consider telepathy as a symptom of schizophrenia just like delusions and paranoia
Thanks for your additional explanations
 
Mkuu Mzee, kwanza isiniite Dkt,
Pili telepathy ni communication through mind. Ili umnase mtu kwa mvuto lazima kwanza akuone, ndipo avutike, mtambulishane, mzungumze, mzoeane, mpange, ndipo mtekeleze!.

Lakini kutumia telepathy, hakuna kuongea lolote, unamtazama mtu, macho yakigongana tuu, unatoka, anakufuata, mnamalizana, bila hata kupanga, na mkimaliza, mtu anaona noma.
P
Mkuu Pasco! hizi nguvu kuna kipindi huwa zinaisha au kupungua? au ni za kudumu? na pia mtu anaweza kurithishwa kama uchawi?
 
Mkuu Pasco! hizi nguvu kuna kipindi huwa zinaisha au kupungua? au ni za kudumu? na pia mtu anaweza kurithishwa kama uchawi?
Zinaisha kama mtu atashindwa kutekeleza masharti. Na zinaibuka iwapo mtu anazihitaji na kuzifanyia utaratibu ili zianze kufanya kazi.
Kuhusu mambo ya uchawi ebu waje walimu wetu waweke mambo sawa
 
Mkuu Pasco! hizi nguvu kuna kipindi huwa zinaisha au kupungua? au ni za kudumu? na pia mtu anaweza kurithishwa kama uchawi?
Kila mtu anazaliwa nazo, ila kuna wengine ziko well defined, na kuna wengine lazima ziamshwe. Kwa kadri mtu anavyokuwa bila kutumika, zinapotea.

Mfano huwezi amini, mimi nawakumbuka wanafunzi niliosoma nao vidudu, kwa majina yote mawili, hivyo nikutana nao nawakumbusha, halafu mimi huyo huyo, siwakumbuki wanafunzi niliomaliza nao UDSM.

Hizi nguvu mtu hawezi kurithishwa kama uchawi kwasababu kila mtu ana zake. Kitu kinachoweza kufanyika, ni mtu kumfundisha mtu mwingine namna ya kuzitumia.

Wale wahubiri wote wa miujiza, wanachofanya ni kukufungulia nguvu zako zikufanyie miujiza kwa jina la Yesu. Kinachofungua ni imani, ukiamini tuu, hivyo kinachoponya ni imani yako.

Tembelea hapa

"Will Powers!", "Faith Healing!"-NgMiujiza Ya Uponyaji kwa Imani!. -Kila Mtu Anazo! - JamiiForums
P.
 
Kila mtu anazaliwa nazo, ila kuna wengine ziko well defined, na kuna wengine lazima ziamshwe. Kwa kadri mtu anavyokuwa bila kutumika, zinapotea.

Mfano huwezi amini, mimi nawakumbuka wanafunzi niliosoma nao vidudu, kwa majina yote mawili, hivyo nikutana nao nawakumbusha, halafu mimi huyo huyo, siwakumbuki wanafunzi niliomaliza nao UDSM.

P.
Hiyo ni kwa sababu utotoni ulikuwa bado uko fresh kwenye mind .. sasa huko chuoni tayari ulishachanganya damu yako na scubbush - unategemea nini?
 
Pili nini tofauti ya telepathic powet na psychiatric delusions ambazo wagonjwa wengi wa akili wanayo mathalani schizophrenia?
Telepathy ni mambo ya parapsychology, schizophrenia ni mambo ya psychiatry, ila usichanganye parapsychology, na yale mambo ya hypnotism, yaani longo longo au mazingaombwe, kwenye parapsychology hakuna delusions, ila watu wenye psychic powers, wanaweza kufanya utepale na mind za watu, kwa kuwafanyia kuwa kwenye the highest state of mind suggestibility, hivyo unakuwa umekabidhi mind yako kwa anayecheza nayo, na hiki ndicho wanachofanyiwa waumini wengi kwenye makanisa ya wokovu.

P.
 
Telepathy ni mambo ya parapsychology, schizophrenia ni mambo ya psychiatry, ila usichanganye parapsychology, na yale mambo ya hypnotism, yaani longo longo au mazingaombwe, kwenye parapsychology hakuna delusions, ila watu wenye psychic powers, wanaweza kufanya utepale na mind za watu, kwa kuwafanyia kuwa kwenye the highest state of mind suggestibility, hivyo unakuwa umekabidhi mind yako kwa anayecheza nayo, na hiki ndicho wanachofanyiwa waumini wengi kwenye makanisa ya wokovu.

P.
Sante Dkt.Pasko
 
Daaaaaah ais
Mkuu mwakibete, kwanza hongera sana!, you have the powers!. Kinachotakiwa sasa ni namna ya kuzidevep na kuzi channel uanze kuzitumia positively to make things happen!. Hilo la kuruka kwenye ndoto ni kuwa watu wabaya hufanya mambo yao usiku, wachawi huloga usiku, wanga huwanga usiku, etc, hizo unazoziona kama ndoto, ni uwezo wa kuwashutukia na hawakupati!, hawakuwezi!.

Hilo la la kuwakuta watu na vitu kabla ni
Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen.
Kukumbuka mambo yaliyotokea zamani ni


Kutokana na huyo shangazi yako kukuhitaji, ile statement ya "hotokufa mpaka nimuone", wewe bila kujijua, uli stop her death!. Hizi ni powers kubwa sana na hapo uliweza kuzi invoke kwa sababu you had no way, unahitaji kumuona shangazi ila huwezi kuacha mitihani!, the powers from within, zika open up, zikamzuia shangazi asife mpaka ulikenda, na ulipomuona, wewe bila kujijua, uka let it go, na shangazi alipokuona naye she let it go, the she was gone!, laiti ungelijue by then kuwa you have such powers, ungeweza kuzitumia sio kumuacha shangazi afe, bali hata kumponya!, unless alikuwa too old, and she needed to rest!. Powers to delay death ni sawa na powers to stop death, ni powers to perform miracles!.

Now that you know you have powers, nenda kwenye kumbukumbu, watu waliokuudhi hadi ukaumia, nini huwa kinawakuta!. Sometimes watu sio tuu wana powers za kuzuia mambo makubwa, wengine wana destructive powers bila kujijua!. Inawezekanu mtu akikuudhi sana ukakasirika, ukiumia na kulia machozi ya ndani kwa ndani!, linamkuta la kumkuta!.

Hapo ni Death-warning - A vision of a living person prior to his or her death.

Huna haja ya kumuomba Mungu kukuepusha, bali kukuongaza, nguvu hizi zijidhihirishe wazi, uzitumie more positively more profitably zaidi ya kupambana tuu na wanga na wachawi, bali kuwatokomeza na hata ikibidi kutoa mapepo kwa wengine, kuponya, kuzuia vifo na kuleta mafanikio.


Hili la kusoma tuu vitabu kuwa makini sana!, kuna vitabu sio tuu vinafundisha kutumia nguvu hizi vuzuri, vingine vinapoteza, ikiwemo matumizi mabaya kuusaka utajiri!.
Pasco.
aisee! Mkuu pasco kwa mara ya kwanza nilimuona mume wangu akiwa kijana nikasema huyu kaka ndio nimpeleke nyumbani kumtambulisha!! Aiseee nikapotezea, yeye akaanza kuja kwa kasi kwangu nilimkataa kbs ni nikawaambia rafiki zangu yani Mimi simtaki kabisa!! Tulipitia changamoto nyingi ila tumeoana na tunaishi vizuri.


Mara ya pili ilikuwa destruction Dada aliniuzi sana kwa kunyanyasa mtoto mmoja hivi nikamnenea kuwa atazaa na hatoolewa na mwanae atapitia hayahaya!! Miezi michache baadae akpata mimba jamaa akaingia mitini!

Ya tatu niliwaangalia wanawake wajawazito nikasema mhhh watazaa watoto Ila kuna atakaekufa!!!!! Lahaula
Mtoto mmoja akafia tumboni kwa mamake!!

Siku za karibuni wish zangu nzuri zuri na za maana positive oriented hazitokei yani nashtukia tukio kabla halijatokea! Nifanyeje hivi vitu positive vitokee!
 
Back
Top Bottom