Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Anayekwambia haya mambo yapo kwenye ubongo na ni natural hakuna nguvu zozote mbaya zinazohusika anakudanganya, sisemi from the Bible au Quaran point of view lakini hizi zote zinahusika na kufungua the third eye ambapo hapo ndipo mambo huanzia, hata hao wanaoongelea meditation wote hulenga huku huku tu na siku hizi njia za kufungua third eye zipo nyingi hata through music ambayo iko tuned katika frequency flani, sasa watu wote nliokutana nao ambao waliattemp kufungua third eye their first vision ilikua viumbe vya ajabu, na wengine hujiona kama wapo juu ya universe hivi through someone's eye.. Yote haya ni njia tu ya kukaribisha viumbe usivyovijua mwilini ukidhani its natural since utaambiwa point inatokea kwenye Pineal gland ambayo form iv wanafundishwa haina function japo juu wanasema inahusika ktk maswala ya sleeping.. We unadhani kwa nini hata freemasons wanatumia alama ya jicho au kwenye American dollar.. au kwa wafuatiliaji nani hajawahi ona picha ya binadamu mwenye jicho la tatu kichwani? Hizi si nguvu nzuri kama watu wanavofikiria, utasema huzitumii vibaya so shida iko wapi, ila u have let things in u huwezi jua ukiwa unconcious vinafanya nini, ndio maana wengine hufanya kitu afu baadaye wanaambiwa wanagoma..

Mtu anayesema alikua na power afu sasa hivi hazioni, obviously ni kwa sababu kafunga the third eye bila kujua, na hata lilipofunguka zile nguvu alikua nazo bila kujua zimetoka wapi ni kwa sababu alilifungua pia bila kujua alichofungua ni nini, kuna hata quartz crystal waangalia movie wataona hua hollywood wanatumia sana kuonyesha wachawi wakifanya yao, acha ki-movie turudi kwenye reality, ile crystal ina nguvu na ukilala nayo siku kadhaa unaweza fungua third eye bila wewe kujijua..

Kueni makini, mimi haya madude si mazuri, ulimwengu ule unatisha

Mkuu ni kweli the power of the third eye ambayo iko kati ya macho mawili ina nguvu ya ajabu.Lakini haimaanishi kuufungua ubongo kwa meditation au haikufikishi huko.Hizi ni njia tofauti za kukufungua lakini zenye malengo yanayofanana
 
Mkuu pasco umeongelea kuhusu Astra projection na hasara zake ikitokea mwili uliouacha umepata madhara kwamba huwezi kuuingia tena,swali langu sasa huyu mtu anakuwa wapi au ndio anakuwa amekufa? na kama hajafa anawezaje kuishi tena kama binadamu wengine?
Mkuu Yerusalemu, miili yetu ina sehemu kuu mbili, phisical body na spiritual body. Inaokufa ni physical body tuu, spiritual body haifi!.

Wakristu wakatoliki tumeaminisha ukifa, kama unakwenda kuzimu, au toharani kusubiri ile siku ya ufufuo wa miili na hukumu ya mwisho, ndipo uhukumiwe kwenda mbinguni au motoni!, kwa wale wa motoni ni moto wa milele, na wa mbinguni ni uzima wa milele!.

Wakristi wengine wanaamini ukifa unahukumiwa na kwenda mbinguni au motoni kwenye jehanum ya milele.

Waadventista Wasabato, pentecoste na Watch Tower wanaamini mbinguni na peponi ni hapa hapa duniani.

Hindu na buddha wanaamini kwenye life after life na life before life chini ya process ya reincarnation. Ukifa, mwili tuu ndio unakufa, spirit inahamia kwenye mzaliwa mwingine!. Ukitenda wema unazaliwa budha, krishna, ukitenda maovu unazaliwa mbwa, paka, punda etc!.

Kile anayekufa, anauona mwili wake na kila kinaendelea, akizikwa kwa heshima, astra body yake ina rest in peace!.

Ikitokea astra body ikakuta physical body haipo, then inageuka Ghosts au Wandering Spirits- ...
sambamba na wote wanaokufa untimely death, mfano za ajali, risasi au watu wanaokufa na miili haijapatikani, spirits zao zinabaki zikitanga tanga!, ndio hizo huitwa ghosts, na nyumba zao huitwa "Haunted Houses"
au Haunted Places!

Mfano ilipozama MV Bukoba, au Spice Islander, miili yote ambayo haikupatikana, spirts zao zinabaki zikiwa wondering spirtis!. mimi nikiwa biker, nilikuwa nasafiri kwenda popote saa yoyote. Wakati wa usiku, kuna maeneo nikipita, vinyweleo hunisimama!, basi mara moja hutambua hilo ni eneo lenye wondering spirits!. Hsawa maeneo yenye misitu mimine, au madaraja!, inamaanisha kuna watu waliuliwa, wakatupiwa humo bila kuzikwa!. Sometime hawa wondering spirits wanakuwa evil!, wana sababisha ajali za mara kwa mara!. Ni vile tuu, we don't keep record ya maeneo yanatokea ajali za mara kwa mara na sababu ni nini!.

Pasco
 
duh mie nasoma haya mambo naogopa,,mlango umejibamiza tu wenyewe nimerukajee!mhh endeleeni kutujuza
Charity, you have the powers!, shauri ya uoga, umezifungua nguvu zako za "mind over matter" ukaubamiza mlango bila kujijua, unatakiwa kuzituma kuufunga mlango, kuzima taa, kumuita umpendae, kupata unachotaka.

Anza kwa kukaa mezani, weka maji kwenye glasi, itazame kwa concentration huku ikiilazimisha glass ikufuate!, kama una imani na nguvu unazo, itakufuata!. Vinginevyo mlango umejibamiza kwa upepo tuu!.
Pasco.
 
Pasco unazungumziaje kuhusiana na ku unleash Lotus of Kundalini na effects zake kwa aliyeiamsha?
Mkuu Amani, mimi nafundisha kuziamsha naturally tuu kwa kuamini Mungu!. Ktumia, kitu chochote ambacho hakiendani na Mungu, naamini ni evil, hivyo hata tarot, bio disc, zile pendants, bracelets, rings, zile picha, zile nguo, zile harufu, ile miziki, au kutumia mediums, yote imebebeshwa fungo sizo!.
Pasco.
 
Nimekipata kitabu cha Al Koran

Bring out the magic in your Mind
Kinapatikana amazon kwa hardcopy ama kindle soft copy..Nimenunua soft copy dolar 8..worth it though

Mkuu marshal ukiamini utakipata na kukusudia kama ulivyofanya utapata! la msingi ni kukisoma with practising each chapter urudi kutupa majibu humu

Uzi huu umenikumbusha ila REAL jf ya Great Thinker wanaopenda kuzishughulisha akili zao na wale wenye hazina mbalimbali ku-share na wenzao

Na kwa muendelezo wa SHARING IS CARING ukishare na wengine hiyo soft copy utafunguliwa na kubarikiwa zaidi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Yerusalemu, miili yetu ina sehemu kuu mbili, phisical body na spiritual body. Inaokufa ni physical body tuu, spiritual body haifi!.

Wakristu wakatoliki tumeaminisha ukifa, kama unakwenda kuzimu, au toharani kusubiri ile siku ya ufufuo wa miili na hukumu ya mwisho, ndipo uhukumiwe kwenda mbinguni au motoni!, kwa wale wa motoni ni moto wa milele, na wa mbinguni ni uzima wa milele!.

Wakristi wengine wanaamini ukifa unahukumiwa na kwenda mbinguni au motoni kwenye jehanum ya milele.

Waadventista Wasabato, pentecoste na Watch Tower wanaamini mbinguni na peponi ni hapa hapa duniani.

Hindu na buddha wanaamini kwenye life after life na life before life chini ya process ya reincarnation. Ukifa, mwili tuu ndio unakufa, spirit inahamia kwenye mzaliwa mwingine!. Ukitenda wema unazaliwa budha, krishna, ukitenda maovu unazaliwa mbwa, paka, punda etc!.

Kile anayekufa, anauona mwili wake na kila kinaendelea, akizikwa kwa heshima, astra body yake ina rest in peace!.

Ikitokea astra body ikakuta physical body haipo, then inageuka Ghosts au Wandering Spirits- ...
sambamba na wote wanaokufa untimely death, mfano za ajali, risasi au watu wanaokufa na miili haijapatikani, spirits zao zinabaki zikitanga tanga!, ndio hizo huitwa ghosts, na nyumba zao huitwa "Haunted Houses"
au Haunted Places!

Mfano ilipozama MV Bukoba, au Spice Islander, miili yote ambayo haikupatikana, spirts zao zinabaki zikiwa wondering spirtis!. mimi nikiwa biker, nilikuwa nasafiri kwenda popote saa yoyote. Wakati wa usiku, kuna maeneo nikipita, vinyweleo hunisimama!, basi mara moja hutambua hilo ni eneo lenye wondering spirits!. Hsawa maeneo yenye misitu mimine, au madaraja!, inamaanisha kuna watu waliuliwa, wakatupiwa humo bila kuzikwa!. Sometime hawa wondering spirits wanakuwa evil!, wana sababisha ajali za mara kwa mara!. Ni vile tuu, we don't keep record ya maeneo yanatokea ajali za mara kwa mara na sababu ni nini!.

Pasco
Mkuu Pasco nini tofauti kati Astra body na physical body,ikiwa astra body inarest in peace ni kipi kinaipa power kuwa tena au inakuaje ibadilike kuwa spirit iyo mos,pili ikiwa kwa iman za dini na nje ya imani za dini bado hizi nguvu za asili zipo ndani ya mtu swali langu nini asili yake,nani anazipa uwepo kabla ya uwepo wa binadamu na kipi ni sahihi baada ya kufutika binadamu duniani ikiwa ndani na nje ya imani kuna mitazamo tofauti?
Naomba majibu,nimeshapitia makala nyingi za Utambuzi na binafsi nimejifunza mengi sana..
 
Mkuu Amani, mimi nafundisha kuziamsha naturally tuu kwa kuamini Mungu!. Ktumia, kitu chochote ambacho hakiendani na Mungu, naamini ni evil, hivyo hata tarot, bio disc, zile pendants, bracelets, rings, zile picha, zile nguo, zile harufu, ile miziki, au kutumia mediums, yote imebebeshwa fungo sizo!.
Pasco.

Bio disk ina tatizo gani? Nimeitumia hiyo
 
Mkuu Amani, mimi nafundisha kuziamsha naturally tuu kwa kuamini Mungu!. Ktumia, kitu chochote ambacho hakiendani na Mungu, naamini ni evil, hivyo hata tarot, bio disc, zile pendants, bracelets, rings, zile picha, zile nguo, zile harufu, ile miziki, au kutumia mediums, yote imebebeshwa fungo sizo!.
Pasco.

Lakini Mkuu Pasco tunaambiwa lotus ya Kundalini inakaa mwisho wa uti wa mgongo na hii iko ndani ya mtu na jinsi ya kui raise inahitaji the Perfect Maste kumuongoza.Na kutokana na maandishi mbalimbali inasemekana hii inasafiri hadi kwenye ubongo.Yaani ni kama kufungulia bomba la mvua upward.
 
Mkuu Nyani, nimekuambia kula bullsheet sio lazima mpaka kwenye mchicha tuu!. Nakuhakikishia bullsheet, umekula sana tuu!, ila kwa vile wewe ni nyani, na nyani huo haoni ..., wewe unaona tuu "bullshit" tunaolisha wenginei!, nina uhakika 100% chini ya 100% nyani amekula sana bullshit!, endelea kubisha tuu ili kujifurahisha!.
Uwezo wa kujifurahisha nao pia ni powers, zinaitwa affimatives, kwa kujiplease "this is bullshit!", hao ndio wenye "bullshit", "mimi nyani sijala bullshit" kwa sababu inapatikana kwenye mchicha tuu, na mimi sili mchicha, hivyo huwa sili"bullshit!". This is not bullshit!, its Big Bull, Bullshit!.
Pasco.

More disjointed bullshit!
 
Ninacho amini hakuna kitu kama hicho........it all about tricks
Kuna mtu anaitwa Chriss Angel anafanya mambo ya ajabu sana kwa madai hayo unayoyasema lakini mwisho wa siku ikawa revealed ni tricks tu

No no no...mdau unachanganya issues nahisi. Mi kidogo nimfuatiliaji wa hao kina Chriss Angel..Eugine na wengine...hawa wanafanya kitu inaitwa mind trick huku bongo tunaita mazingaombwe kwa sababu mi ni muumini wa there is no such thing as magic nilianza fatili wanafanyaje...katika pita pita zangu nikakutana na kitu kinaitwa "Magic secrets finally revielied" jamaa anatoa siri za washikaji wanapojifanya wanafanya magic..the good things hata mi nijua baadhi ya simple tricks kama kumuua inzi na kumfufua(kumbuka no such thing as magic bali ni trick tu) naweza kata uzi na kuunga na zingine na zingine ila sio nyingi.
Kwahiyo mdau mambo ya mind trick na uzi huu haviendani MY TAKE
 
Mkuu Mpigania Uhuru, tangu nimeanzisha hii mada, wewe ndio wa kwanza mwenye higher powers, wengine tunazo tunazo ila ni za kawaida!. Hapo ulipo wewe tayari ni bilionea ila tuu, hujayatia mkononi mabilioni yako. Yi have some of top powers, hivyo mtafute Uri and off you go!, wewe sio mwenzetu!.

Hilo la astra projection, nimesoma procedure zote, nikaogopa maana kuna warning kali inatolewa kuwa ukiwa out of body, anything ikitokea kwenye ule mwili wako uliouacha, ukirudi, huwezi tena kuingia, huku nyuma utabaki tuu kushuhudia msiba!.

Hilo la pili, umejaaliwa power ya Sixth sense ya second sight - Perception outside the known human senses. Hao unaowaona ni wachawi na wanga, wao hawakuoni kama unawaona na wengine wote wasio na hiyo sixth sense huwa hawaoni!, ila akitokea mtu akapandisha mashetani, huwaona na kupiga makelele!.

Unachotakiwa
  1. Kwanza uifanyishe mazoezi ya kuicomand hiyo sense!. Kwa sasa inaibuka pale tuu wachawi wanaibuka!. Sasa fanya mazoezi kuiibua hata bila ya wachawi kwa kuanza na vitu vodogo home!. Mfano itazame saa au mobile phone, concentrate!. Then mpe mdogo wako akaifiche chumbani. Kisha ingia room, funga macho, kumbuka ile vision ya simu, fingua macho, itaopna simu ilipo!.
  2. Fanya mazoezi ya kuona vitu vingine visivyoonekane na sio mpaka wachawi!. Kwa sasa unawaona wakiwepo, then kwa mazoezi ile wakija tuu unawaona!, kisha sio tuu kuwaona wachawi bali hata wezi!, hata kama umelala usingizi, mwizi akiingia tuu kwako, unashtuka, uki will, unamuona beyond everthing!.
  3. Mazoezi haya yanaitwa Dowsing - Ability to locate objects, unachofanya ni kuichannel hiyo power ya sixth sense, sio tena kuona wachawi, bali kuona mali!. Ukifanikiwa kwenye ku locate vitu vodogo vidogo, anza na vikubwa. Take time, nenda Mererani, omba kuangalia row Tanzanite. Then angalia udongoni kulocate Tanzanite zilipo, kwa miadi ya just 10% ya thamani. Jamaa atachimba akiikuta then unafuatilia mawe makubwa makubwa!.
  4. Tafuta kitabu cha Fortune Secret cha Gellar ujifunze jinsi ya kuzichanneli hizo powers. Yeye sasa ni bilione mkubwa mwenye ma royalities kibao kutokana na kubashiri yalipo mafuta, hivyo wanachimba visima vya mafuta!. Tazama row gold, chukua ramani, saka gold, utaiona ilipo, nenda eneo husika, angalia ardhini ile gold utaiona!. Ikichimbwa, 10 percent ni yako, kwa sababu exploration costs billions!.
  5. Unaweza jikuta unazo powers nyingine kibao ila bado hujajijua!.
Pasco.

Pasco,
Thanks! I wonder how do you know these things! Umesomea? Nitajaribu ku-exercise kama ulivyonishauri. In-fact mara nyingi nimekuwa na wazo la kuwa mimi ni mtu wa kipekee ingawa bado sijawa na uhakika wa upekee huo, labda sasa umeanza kunipa mwanga! Sasa nitaanza kujifunza na ku-practice ili nione exactly what I have inside me!

NB:
Nashukuru kwa kunipa jina la ile nguvu ya pili (second sight) kwa kongezea tu ni kuwa ninapowaona watu hao walio uchi ni kweli kuwa wenyewe hawaoni wala kusikia lakini ukifanya jambo (kwa vitendo au maneno) kuwahusu wao wanashtuka na ku-take action! Hilo nimelishuhudia mara kadhaa. Mfano kuna mmoja nilimwagia maji akashtuka, akageuka na kutokomea.
Mwingine aliingia chumbani kwetu (tukiwa watoto) kupitia kwenye ceiling board, nikapiga kelele kuwaambia wazazi kuwa kuna mtu hapa ameingia chumba chetu wakawa hawamuoni, nilipokomaa kumchunguza akanipiga ngumi ya mdomoni nikapiga kelele wazazi wangu wakawa hawaamini baada ya dakika chache mdomo ukaumuka (vimba) wakaanza kuogopa na kupiga kelele kuomba msaada toka kwa majirani na tangu siku hiyo wakaanza kuniamini!
 
Mwingine aliingia chumbani kwetu (tukiwa watoto) kupitia kwenye ceiling board, nikapiga kelele kuwaambia wazazi kuwa kuna mtu hapa ameingia chumba chetu wakawa hawamuoni, nilipokomaa kumchunguza akanipiga ngumi ya mdomoni nikapiga kelele wazazi wangu wakawa hawaamini baada ya dakika chache mdomo ukaumuka (vimba) wakaanza kuogopa na kupiga kelele kuomba msaada toka kwa majirani na tangu siku hiyo wakaanza kuniamini!

Hii imenisisimua kidogo..ila kaka hujawai fanyiwa matambiko utotoni labda na bibi hivi kama vile kuwekewa chale za kukulinda..!!
All in all we jasiri sana unawezaje kustahimili maono haya
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.

Mshana kumbe ni ww tuliyekuwa pa1 pale Bronkhorspruit. Ni-PM ili tuongee vizuri
 
Back
Top Bottom