Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume au Mpenzi wako ana nyota gani?Sitii neno.......
Mkuu naumbu, kitendo tuu cha kuwa na machale, its a proof that you have the powers!. Unachotakiwa kufanya sasa ni kwanza kujitambua tu kuwa you have the powers, ukishajitambua ni kujipanga kuzitumia hizo powers kupata unachotaka at will, na sio kusubiri mpaka machale ya kucheze, mfano kama unaishi nyumba ya kupanga, unatumia usafiri wa daladala, wish kumiliki gari, wish kujenga nyumba, wish to make money, vyote vinawezekana.Mimi umenigusa sana kuna nguvu na mimi ninazo hapo,kwa mfano unaweza ukanisimulia story kuhusu watu au mtu fulani siku nyingine kabla haujanitambulisha naweza kukisia majina yao kutokana na story yako na kweli inakua hivyo
Nguvu nyingine ni ile uswahilin inaitwa machale kwa mfano wakati nasoma nilikua naotea sana maswali kabla ya mtihani,vile vile naweza nikaunganisha matukio kwa mfano mtu anapiga misele sister nikimuona tu mtaani nilikua nikimuhis ni kweli au nikikaa karibu na mtu mbaya jiran sehemu kama bar huwa nahis na siku moja nilishawah hama meza kwa kuhis jiran si mtu mzur baadae mwenyej wangu alivyokuja kabla sijamuhadithia akaniambia "unamuona yule dada ukimtongoza ukakaa naye meza moja anakuwekea madawa kwenye bia au anakutengenezea fumaniz fake ili wakupore na masela wake"
Maajabu yule dada ni mzur na amekaa kistaarab na mimi ni mgeni hiyo mitaa hadi mwenyewe nilijiogopa yale machale
Nililijibu hili, nilipopost ikagoma, nilipotazama outosaved, jibu lengu limefutika!, hivyo zilazimishi kujibu, hata jibu fulani kupotea, pia its works of powers kuzuia usijue labda bado hujakomaa kiasi cha kumeza majibu yangu, hivyo powers imeyapotezea!.hizi ni akili za wahashi huru! kumwambia mtu kuwa aamini kuwa hata kama huamini hakuna Mungu unaweza kufanya muujiza hakuna kitu kama hicho!
nijuavyo mimi anayeweza kufanya miujiza ni lazima aamini upande mmoja wa shilingi either Mungu au shetani tofauti na hapo hakuna muujiza wowote, hata vitabu vya dini vimethibitisha uwepo wa nguvu nyingine kutoka upande wa pili.
Mkuu mshana jr, chenye nguvu sio ile elimu, its "you" kilicho ndani yako!, ile elimu is just a means ya reaching out kuifikia hiyo power inside you, hivyo hiyo krishna, yoga, meditation, sala, kuabudu, kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Nabii, Padri, Mchungaji, etc, its onlt a ways to to reach it, "the real powers lies inside you!".Very same xperience kaka mimi baada ya kurudi bongo nikashindwa nikakimbilia Nairobi kwa wakrishna lakini nguvu ya wazazi na ndugu jamaa na marafiki ikanirudisha bongo nikafuata mkondo kama wako mengine siwezi kuyaweka Hapa is too personal lakini ile elimu ina nguvu ya ajabu mno itabidi tuonane tunaweza fanya kitu
Mkuu mdunundu, asante sana kwa hili, appreciation nayo pia ni power!. Makubaliana na wewe, learning is the best thing, ila ili hiyo leaning iweze kuwa na maana, ni pale tuu leaning hiyo itakapokuwezesha kuongeza maarifa na kuleta manufaa!.Learning is the best thing. This is the best topic I ever heard
Mkuu Jawilat, ndoto nyingine ni ndoto tuu, na ndoto nyingine sio ndoto tuu, bali ni maono!. Ili kujua zipi ni ndoto tuu na zipi ni maono, kunahitaji kwanza kujua ndoto ni nini, ndoto za kweli, tafsi ya ndaoto, ndoto za maono, kuonyeshwa, ndoto za utabiri wa yaliyopita au yajayo etc ila nazo pia ni powers!.haa hii hali hata mimi huwa inanikuta mara kwa mara,pia na matukio ya kwenye ndoto yananitokea in real world..nimejaribu kusoma vitu mbalimbali ila naamini Pasco atatufafanulia zaidi..
TheChoji, ni kweli ukizama sana deep kwenye mambo hayo, unakuwa kama taahira fulani hivi!, kiukweli hata ukifuatilia baadhi ya hawa wahubiri wetu kwenye hizi TV, unawaona kama maahira fulani!, fuatilia maisha ya walokole!, nao ni kama mataahira fulani!, hata wale walio deep sana kwenye dini, vivyo hivyo!.Mi kuna wakati nilianza kidogo kufuatilia haya mambo nikaona nakua kama taahira nikaacha. Ila kuna baadhi ya mambo mazuri ambayo niligundua. Mfano njia zao za relaxation mi nilizipenda sana na mpaka sasa huwa nazitumia. Yaani kuna wakati labda unaweza kupata mshtuko moyo ukawa unaenda mbio.. lakini ukitumia hizi mbinu za kurelax kama alivyoeleza mdau unajikuta unarudi kwenye hali ya kawaida very soon. Pia usiku kama umekosa usingizi au unataka kulala mchana ukifanya relaxation na ku clear mind hata kama una mawazo kiasi gani yani ni dakika unaishia usingizini..! Otherwise mambo ya sijui kukodolea macho mshumaa hapana..!!
Mkuu Plato, kwanza kupiga ramli yoyote ni dhambi kwa dini zote!, ila pia wapiga ramli wote ni waongo!, uwongo wao ni jinsi wanavyozipiga hizo ramli, na sio matokeo ya ramli zao!.Pasco Na wale waopiga ramli unaweza kuwaelezea kidogo. Tunaambiwa anaweza kukueleza mambo yoote uliyopitia na yale yanayokuja!!
Mkuu Plato, kwanza kupiga ramli yoyote ni dhambi kwa dini zote!, ila pia wapiga ramli wote ni waongo!, uwongo wao ni jinsi wanavyozipiga hizo ramli, na sio matokeo ya ramli zao!.
Wapiga ramli wote ni "people with powers" za uoni, Clairaudience, Clairvoyance, second sight, Death-warning, Mediumship or channeling, Precognition, premonition and precognitive dreams, Psychometry or psychoscopy -, Remote viewing, Retrocognition , Scrying, Telepathy.
Kwenye hili hili humo ndimo waganga wote wa kienyeji, wale wanaitwa "mafundi", "wazee wa busara", vibaraghashia vya "mlingotini", kina Sheikh Yahya na wengine waitwao masheriff etc.
Kilichopo ni kuwa kuna kitu kinaitwa "destiny" yaani siku unazaliwa summary ya maisha yako yote tayari ipo pre determined na pre meditated mpaka utakufa lini, utakufa vupi na kila kitu kuhusu wewe, na data hizo ziko stored into your "subconscious mind!".
Anachofanya mpiga ramli ni utapeli tuu wa kuwa na keys to open your stored data na kukueleza your past, present na future na kujifanya kukutabiria!, data anazotoa ni za ukweli, utapeli ni kuto kukuambia amezipataje hizo data!.
Hata wale waganga mabingwa, ile unakaribia tuu kwake, anakuona na kusoma tatizo lako kwa telepathy, ukifika anakueleza shida zako kabla wewe hujasema hivyo utashtuka!. Waganga wengi wanaotishwa dawa!.
Wale waojifanya kuzungumza na mizimu, nao ni uongo mtupu, data zote wanapata kwako!. Ukizama deep kwenye kujitambua, utapewa mwenyewe huo ufunguo wa subconscious mind yako hivyo kujisomea mwenyewe the past, the present and the future bila kusubiri kutapeliwa!. Hata palmistri, astrology, numerology, tarot cards, yale mapete etc ni utapeli mtupu!. Game lote liko ndani yako, wanachofanya hao its just to play with your mind!.
Pasco.
Yes you can start with anything! just read!. Kwenye ile thread start yangu, zile zote ni links, kusoma bure!.Sasa mkuu pasco, katika pita pita yangu madukani nimekuana na hiki kitabu ''how to control your mind and be stress-free''. Kimeandikwa na M.K. Gupta na kutayarishwa na Pustak Mahal. It bridges science and spirituality. Nadhani naweza kuanza na hiki kwanza au kuna chochote naweza anza navyo unavyovifahamu mkuu?
Nyota yako ni Nge, au scorpion, nyie ndio mnaoongoza kwa kupenda, ila pia mnaongoza kwa wivu!. mna powers sana za mambo mengi, baadhi ya masuper star wengi ni nyota yako ila pia na idadi kubwa ya wachawi na wanga!.Nimezaliwa 9/11 nyota ang ni ipi
Dada mimi. mimi hujapenda nini?!.Cjapenda
Cjapenda