Unakubaliana na mimi kuwa kwa mujibu wa Biblia ulichoandika ni uongo mweusi kabisa?
Nimejaaliwa na nani kama wewe unaamini Biadamu ni miungu yaani wana "power within"?
Pasco ukishasema wewe ni Mkristo unakuwa subject chini ya Biblia. Huwezi kwenda below au above Biblia bado ukabaki kuwa Mkristo. Huwezi kufundisha mafundisho ya shetani haya ukabaki kujiita Mkristo. Sijui kuhusu Ukatoliki unaosema wewe ni mkatoliki sana kuweza kusema watakuja wakatoliki waseme, lakini kwa Ukristo wa Biblia, wewe sio Mkristo!
Nasema hivi kwa kuwa kama nilivyoonesha hapo juu Biblia inapinga mambo haya na huwezi kuwa Mkristo ukafundisha ushetani huu, let alone kuuamini!
Kwa mabandiko yako nikusaidie tu wewe sio mkristo, wewe ni aidha Mhindu au Mwana vuguvugu la kizazi kipya (New ager) basi. Haya ndiyo unayofundisha. Na hii ni dini aliyoiasisi shetani mwenyewe na ndio "mungu" unayemfundisha hapa. Well shetani ana nguvu zake na watakaojaribu unayofundisha wataonja joto ya jiwe lakini usijifanye unafundisha nguvu ya Mungu.
Unafundisha mafundisho ya Ibilisi kabisa na kwa kuwa wote wanaosoma wameonywa, atakayejaribu akakiona hatakuwa na wa kumlaumu!
Najua una maana gani kwa imani yako ya New agers. Uje utufafanulie na Yesu wako feki "Ascended Master Jesus" ili uunganishe vizuri na musa bandia na miaka bandia ya Yesu ako bandia ambayo "inakosekana" katika Biblia.
I know all these, they are dangerous poison wrapped in iced cake!