Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #801
Mkuu Van, no sijalisusa darasa, namlilia kwanza Madiba, just imagine anayaona yote na kila kinachoendea huku duniani ila pia wameisha kutana na Mwalimu na kukumbatiana sana!, natamani niwaone alipokutana na Samora sijui ndio alimshukuru kumtunzia au?!.Mwalimu naona ameamua kulisusa darasa ...!!! :frusty:
Rip. Madiba.
Pasco