Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mengi mno umeweka nimeishia njiani kusoma ila Mungu ndiye mfanya miujiza
 
Pascoooooooo .... Come back here, njoo uendeleze kile ulichoanzisha ... Pronto ..!!!:bored:
 
psychic powers,zipo na kwa mtizamo wangu ukishazielewa ndio utafahamu vizuri uwepo wa Mungu,kwa sababu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu,na Mungu alimwambia Adamu nenda katawale ulimwengu,ktk hali ya kawaida ukiwa kiongozi kuna access unapewa,na ndivyo ilivyo kwa mwanadamu akapewa supernatural powers ili autawale ulimwengu kama kusudio la Mungu
 
Mkuu mayenga, mimi nina
Telepathy
- Transfer of thoughts or emotions, kwa kiasi kidogo!. Zamani nikiwa kijana mdogo nikisoma sekendari ya Tambaza na baadae Ilboru, ilitokea kuna vibinti fulani vya Kisutu na Jangwani, nilivitazama kwa kuvihitaji tuu, nikaja kuvipata!.

Ikawa nikienda kwenye party, nikimsimikia binti, nikimtazama kwa concentration huku nikisema kimoyo moyo, nakuhitaji!, yule binti, atageuka na macho yakigona tuu, nitatoka nje, atanifuata!, tutazunguka tuu mahali popote penye faragha!, nitamaliza shida zangu na kurudi kwenye party!.

Nilipomaliza na kujiunga JKT, kule ikawa balaa!, kila macho yanapoona, moyo ukipenda, napita na sikosi!.
Nilipoanza kazi, nikajikuwa huwa nakuwa MC, nikawa nikienda kwenye sherehe mbalimbali, naondoka na mtu!. Hata nikiwa kwenye Daladala, nikizimika mahali, natazama tuu, nikishuka naye anashuka!.

Matumizi ya nguvu hizi yalikuwa ni kwa "kata funua tuu!, mpaka nilipokutana na dada mmoja aliyekuakisoma Jangwani, ndipo akanieleza kuhusu uwezo huo, na ninachokifanya ni abuse of power! akanionya nikiendelea hivyo matokeo yake yatakuwa nini, ndipo nikabadilika!.

Ila mpaka leo, kuna mtu nikimfikiria tuu, anatoke, au nafika mahali na kuambiwa, una maisha marefu, sasa hivi tulikuwa tunakuzungumza!. Au uko mahali unatembea, njia nyembamba, unataka kupishana na mtu, ukienda upende ule naye anakuja huko, ukirudi huku naye anarudi huku hadi mnataka kugongana unaamua kusimama mpishane!.

Pia nina Precognition, premonition and precognitive dreams - Perception of events before they happen. kidogo. Kuna mambo huwa naota yanakuja kutokea!. Nina kitu kinaitwa "intuition!" yaani kabla sijafanya jambo, unapata hisia this is not gona work!, au unakutana na mtu anakuzimikia sana for real, wewe unaona its not for real!. Au ndani ya ndoa, ikitokea wife ame cheat, utajua!, huwezi kuuliza kwa sababu huna ushahidi, ili mtu akicheat, ujue atacheat tena!, nilianza kufanya kazi ya kukusanya ushahidi nikathibitisha!, na nilisamehe kwa kujifikiria ni mara ngapi nilipitia wake za watu!, wengine wakiwa ni wake wa marafiki zangu kabisa!.

Pia naweza kufanya Aura reading - Perception of the energy fields surrounding people, places, and things kwa kiwango kidogo!, nikikutana na mtu for the first time, I can tell huyu ni mtu mwema au ni mtu mbaya!. Hii nimeiwea kwa practice kutoka kwenye net.
Retrocognition - Perception of past events imeishanitokea mara kadhaa, naweza kufika mahali for the first time, na kujiona I have seen this place before ila sikumbuki ni wapi!, au nimekutana na mtu for the first time, na kujiona I've seen him before sijui ni wapi!, hii inaitwa De-ja-vu kwa Kifaransa!.

Nimesoma sana vitabu vingi vya mambo haya, hivyo naangalia uwezekano wa kufungua more evenues kwa meditation ila kwa njia ya natural sio kupitia secret societies kama Freemasons, Illuminati au Rosecrusians. Hawa jamaa ndio ma master wa haya mambo ila wanafanya siri!. Matajiri wengi wanatumia powers hizi kupata utajiri iwe ni kwa njia za sala kupitia makanisa ya wokovu, waganga wa kienyeji, kujiunga na vikundi kama freemasons etc, all and all its works of powers!.
Pasco.

Maximum Respect Mkuu... Ukimtazama Zitto unamuona yuko real ama feki?...
 
psychic powers,zipo na kwa mtizamo wangu ukishazielewa ndio utafahamu vizuri uwepo wa Mungu,kwa sababu tumeumbwa kwa mfano wa Mungu,na Mungu alimwambia Adamu nenda katawale ulimwengu,ktk hali ya kawaida ukiwa kiongozi kuna access unapewa,na ndivyo ilivyo kwa mwanadamu akapewa supernatural powers ili autawale ulimwengu kama kusudio la Mungu

Wewe ni Kifaru wa Yesu pale sanawari Arusha? Jibu lako tafadhali.
 
Bro umenifanya nicheke sana

I'm glad umecheka Mkuu, Mfumo mbovu wa CCM huwa inanifanya ni nune siku 365 kwa mwaka... Mwanao Ato hajambo? Nisaidie kumuuliza Pasco kati ya hawa yupi real yupi feki? Shonza, Mtela, Ngarungu, Zitto, Nape, Nchemba na Mnyika ...Power zangu zimemuona mmoja kuwa ni real sasa sijui nimepatia?
 
Where did I quote your question! Where!!?
Attention seeker who's IQ is like a scunk!
All you can come up with is"God did that ....why God that.....!
Unatuandikia utumbo mtupu na kujaza server with your garbage!

Mi najibu thread ya mtu mwingine! We unatoa hio pua yako km nyumba ya nyuki!
I told you! Utakuja kufa ghafla halafu utatambua huo Mungu unae mpiga vita kila siku na hao walevi wenzako YUPO au HAYUPO?
Nyau asiye na shukran!
Mnfnsßsssssssssssss

kwa maneno yako nawewe unajiona ni wa Mungu,jipange.
 
I'm glad umecheka Mkuu, Mfumo mbovu wa CCM huwa inanifanya ni nune siku 365 kwa mwaka... Mwanao Ato hajambo? Nisaidie kumuuliza Pasco kati ya hawa yupi real yupi feki? Shonza, Mtela, Ngarungu, Zitto, Nape, Nchemba na Mnyika ...Power zangu zimemuona mmoja kuwa ni real sasa sijui nimepatia?

Haaa haaaa Nchemba Vs Mnyika hata huitaji psychic powers kujua nani ni real na nani ni fake..
Ila Pasco rudi kwenye huu uzi bado tunakusubiri kimya kimekua kikuu
 
Last edited by a moderator:
I have a bad feeling about the entire thread. Wajua shetani huja in a most disguized form. This entire thing that this guy pasco is bringing up is ment to drag masses to the fangs of hell, believe me you. The question is : Will you be one of them? Be extra cautious so as not to stumble and fall.Over and out.

Kwani you didn't know that god and shetani know each other? halafu mfalme wa ulimwengu Ñî shetani.
 
Kwa wakristu naona kuelekeza matatizo ya kwa Mungu kupitia msalaba na biblia tosha.

Twaamini riziki ya kweli hutoka kwa Mungu. Hivyo hatuna budi kumwamini.
 
Asante Pasco kwa somo zuri
Ukweli mtu akipewa ambao hauendani na alichokaririshwa akiwa mdogo hawez kuukubali inahitaji muda.
Ndio aliowasema bwana Yesu kuwa "watasikia lakini hawataelewa na watatazama lakini hawataona" kwani haya mambo yamefumbwa kwa wengine. "kwa mwenye masikio ataelewa na mwenye macho ataona"
 
Back
Top Bottom