Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Karibu sana darasani, mkuu ... Sisi wenzio tumeanza zamani, tupo secondary muda huu. Nimepata tetesi kuwa kuna wengine wameshaanza hata kupaa .!! So Be patient, mwalimu wetu huwa anashusha material moja kila baada ya miezi miwili, nadhani ni ili kutupa muda wanafunzi wake ku-practice na kuelewa zaidi ...!! You are warmly welcome ...:gossip:

tehe! mkuu@Pasco aliwahi kusema watu wanamtuhumu kuwa anampinga mungu nazani ndo maana haendelei na darasa lakini ingekuwa vema kama angekuja angalau kujibu maswali.
 
Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers

Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo

Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno

Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu

Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness

Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.[/QUOTE

upatikanaji wa hicho kitabu ndio ishu
 
10298910_643852189031605_1183874144859950146_n.jpg


Clear Quartz~

-Cleans, Balances, Opens and Activates all Chakras
-Cleans and amplifies the energy of all stones
-Cleans the atmosphere of negative energy
-Aligns the subtle bodies
-Amplifies the energy of intention
-Enhances and strengthens the Aura
-Can be programmed for anything
-Wonderful crystal to use in meditation and all energy work
-Attunes one to their higher-self
-Resonates strongly with the Soul Star Chakra (The 8Th Chakra)
-Assist the higher chakras to emanate white light
-Aids the connection with spirit
-Must be cleaned on a regular basis, as it will resonate negative energy it collects
-Stimulates the immune system and brings the whole body into balance
-Helps to unlock memory
-Revitalizes the physical, mental, emotional and spiritual planes

Source: crystallogy.wordpress.com ndugu Pasco

 
Last edited by a moderator:
10298910_643852189031605_1183874144859950146_n.jpg


Clear Quartz~

-Cleans, Balances, Opens and Activates all Chakras
-Cleans and amplifies the energy of all stones
-Cleans the atmosphere of negative energy
-Aligns the subtle bodies
-Amplifies the energy of intention
-Enhances and strengthens the Aura
-Can be programmed for anything
-Wonderful crystal to use in meditation and all energy work
-Attunes one to their higher-self
-Resonates strongly with the Soul Star Chakra (The 8Th Chakra)
-Assist the higher chakras to emanate white light
-Aids the connection with spirit
-Must be cleaned on a regular basis, as it will resonate negative energy it collects
-Stimulates the immune system and brings the whole body into balance
-Helps to unlock memory
-Revitalizes the physical, mental, emotional and spiritual planes

Source: crystallogy.wordpress.com ndugu Pasco



Ufafanuzi kidogo, mkuu .. Sijakuelewa hapa.:brushteeth:
 
Hapo kwenye namba 1, kwa hiyo kama shetani yuko nje ya dunia, inakuwaje anakuwa ndani yetu sisi wanadamu? Maana umesema Mungu na shetani wote wako ndani yetu kama powers. Na unaposema kwamba Mungu hakuumba vitu vyote, ina maana sayari zingine zote au the universe in general was not created by God?
Mkuu Masaki, msingi mkuu wa imani nyingi ni mafundisho ya dini ambayo yako limited kwa kile tuu wanachotaka wanafunzi wake wakijue!. Dini kubwa huku kwetu ni Ukristo na Uislamu na zote mbili hazina mafundisho yoyote kuhusu Mwanzo wa Mungu!, inaelezwa tuu kuwa Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho!, Alfa na Omega!.

Sambamba na kutosema Mungu alianzanzaje, pia mafundisho ya dini hizi mbili kuu, hazisemi, mahali haswa Mungu alipo, zaidi ya kutaja, mbinguni, peponi, mawinguni, ahera etc, hivyo Mungu ni Omnipresent, yupo kote!.

Kama ambavyo dini hizi haziendi too deep kuhusu orgin ya Mungu, pia hazisemi orgin ya shetani zaidi ya kusema jina lake ni lusiferi, na ndiye alikuwa malaika mkuu.

Wengi wa waumini watiifu wa dini, wao wanaamini kile tuu kilichoandikwa katika vitabu vitakatifu vya dini zao, hawaamini kitu kingine chochote ambacho hakijaandikwa!, hawa ni waumini wa imani ya vitabu not logic!. Ukifanya deep meditation hata kwa kutumia vitabu hivyo hivyo vya dini, ukisoma unaweza kufunuliwa ukweli wa ziada ambao sio wengi wanaoujua!. Huu ukweli wa ziada kuhusu Mungu na shetani, ni ukweli mgumu na mchungu kumeza kwa hawa wenzangu na mimi wenye imani za vitabu!.

Dunia ni earth, hapa tulivyo na vyote vilivyotuzunguka, Mungu na shetani, wako over and above hapa duniani tulipo, na ndio maana kuna extra terestrials, viumbe wa sayari nyingine.

Mungu aliumba dunia na kila kilichopo, ila vile ambavyo viko over and above the universe hii tuliopo,sio lazima viwe viliumbwa na Mungu, na moja ya viumbe hivyo ambayo havikuumbwa na Mungu ni pamoja na shetani, ibilisi, majini, mapepo etc!.

Mungu ni omniscience, omnipotent na omnipresence so does shetani!. Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu, ila Mungu ana nguvu zaidi ya shetani!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo huo huo wa shetani!, source ya powers za Mungu ndio hiyo hiyo source ya powers za shetani!, ila Mungu ndio mwenye powers zaidi na shetani ndie the 2nd in command kwenye ulimwengu wa powers!. Mungu ndie Bwana wa Majeshi ya Malaika wa Mbinguni, na shetani ndiye bwana wa majeshi ya nguvu za giza!.

Shetani baada ya kumuasi Mungu, alitimuliwa tuu kutokuwa malaika mkuu, alivuliwa madaraka tuu, hakuvuliwa powers!.
Ukiondoa uwezo wa uumbaji ambao ni Mungu tuu mwenyewe mwenye uwezo huo, na uwezo wa ku end life ni Mungu tuu ndie mwenye uwezo huo, vituvingine vyote ambavyo Mungu anavifanya, shetani pia ana uwezo wa kuvifanya!.

Kuna wahubiri wengi, wana uwezo wa kufanya miujiza mikubwa ya ajabu, ukiwepo kufanya uponyaji, huku wakilitumia jina la Mungu, lakini kiukweli ni watumishi wa shetani na wanamtumikia shetani kwa kujijua au bila kujijua!.

Mungu alipotuumba, na kutupulizia ile pumzi ya uzima, ndani ya pumzi hiyo, umeweka nguvu zake za Uungu, hivyo Mungu yuko ndani ya kila binadamu aliye hai regardless unamwamini, au haumwamini, na shetani nae ni omnipresent, anaweza kuingia kwa yotote na kumpa majaribu, regardless anamwamini Mungu, ana mtumikia Mungu na yuko na Mungu ndani ya yake ndio maana alidiriki hata kumjaribu "Mungu Mwana!", akamchukua na kupaa nae hadi juu ya mlima mrefu kwenda kumpa majaribu!.

Ndani ya miili yetu, tumepewa uwezo wa Ki Mungu kufanya kila kitu, ila pia, shetani nae ana uwezo wa kuingia ndani ya miili yetu na kutuwezesha kufanya aina ya uovu kwa kutumia nguvu za giza. Mema yote hufanyika kwa nguvu za Mungu na maovu yote hufanyika kwa nguvu za shetani na wanaofanya yote haya ni binadamu kupitia nguvu iliyopo ndani yao, iwe ni ya Mungu ambayo imewekwa automatically siku ya uumbwaji na nguvu za shetani ambazo ni induced!.

NB. Members wa darasa hili, tusameheaneni tuu wajemeni, siku za hivi karibuni nimejikuta bize hadi kukosa muda kuliendeleza darasa!.

Pasco
 
Mkuu Masaki, msingi mkuu wa imani nyingi ni mafundisho ya dini ambayo yako limited kwa kile tuu wanachotaka wanafunzi wake wakijue!. Dini kubwa huku kwetu ni Ukristo na Uislamu na zote mbili hazina mafundisho yoyote kuhusu Mwanzo wa Mungu!, inaelezwa tuu kuwa Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho!, Alfa na Omega!.

Sambamba na kutosema Mungu alianzanzaje, pia mafundisho ya dini hizi mbili kuu, hazisemi, mahali haswa Mungu alipo, zaidi ya kutaja, mbinguni, peponi, mawinguni, ahera etc, hivyo Mungu ni Omnipresent, yupo kote!.

Kama ambavyo dini hizi haziendi too deep kuhusu orgin ya Mungu, pia hazisemi orgin ya shetani zaidi ya kusema jina lake ni lusiferi, na ndiye alikuwa malaika mkuu.

Wengi wa waumini watiifu wa dini, wao wanaamini kile tuu kilichoandikwa katika vitabu vitakatifu vya dini zao, hawaamini kitu kingine chochote ambacho hakijaandikwa!, hawa ni waumini wa imani ya vitabu not logic!. Ukifanya deep meditation hata kwa kutumia vitabu hivyo hivyo vya dini, ukisoma unaweza kufunuliwa ukweli wa ziada ambao sio wengi wanaoujua!. Huu ukweli wa ziada kuhusu Mungu na shetani, ni ukweli mgumu na mchungu kumeza kwa hawa wenzangu na mimi wenye imani za vitabu!.

Dunia ni earth, hapa tulivyo na vyote vilivyotuzunguka, Mungu na shetani, wako over and above hapa duniani tulipo, na ndio maana kuna extra terestrials, viumbe wa sayari nyingine.

Mungu aliumba dunia na kila kilichopo, ila vile ambavyo viko over and above the universe hii tuliopo,sio lazima viwe viliumbwa na Mungu, na moja ya viumbe hivyo ambayo havikuumbwa na Mungu ni pamoja na shetani, ibilisi, majini, mapepo etc!.

Mungu ni omniscience, omnipotent na omnipresence so does shetani!. Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu, ila Mungu ana nguvu zaidi ya shetani!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo huo huo wa shetani!, source ya powers za Mungu ndio hiyo hiyo source ya powers za shetani!, ila Mungu ndio mwenye powers zaidi na shetani ndie the 2nd in command kwenye ulimwengu wa powers!. Mungu ndie Bwana wa Majeshi ya Malaika wa Mbinguni, na shetani ndiye bwana wa majeshi ya nguvu za giza!.

Shetani baada ya kumuasi Mungu, alitimuliwa tuu kutokuwa malaika mkuu, alivuliwa madaraka tuu, hakuvuliwa powers!.
Ukiondoa uwezo wa uumbaji ambao ni Mungu tuu mwenyewe mwenye uwezo huo, na uwezo wa ku end life ni Mungu tuu ndie mwenye uwezo huo, vituvingine vyote ambavyo Mungu anavifanya, shetani pia ana uwezo wa kuvifanya!.

Kuna wahubiri wengi, wana uwezo wa kufanya miujiza mikubwa ya ajabu, ukiwepo kufanya uponyaji, huku wakilitumia jina la Mungu, lakini kiukweli ni watumishi wa shetani na wanamtumikia shetani kwa kujijua au bila kujijua!.

Mungu alipotuumba, na kutupulizia ile pumzi ya uzima, ndani ya pumzi hiyo, umeweka nguvu zake za Uungu, hivyo Mungu yuko ndani ya kila binadamu aliye hai regardless unamwamini, au haumwamini, na shetani nae ni omnipresent, anaweza kuingia kwa yotote na kumpa majaribu, regardless anamwamini Mungu, ana mtumikia Mungu na yuko na Mungu ndani ya yake ndio maana alidiriki hata kumjaribu "Mungu Mwana!", akamchukua na kupaa nae hadi juu ya mlima mrefu kwenda kumpa majaribu!.

Ndani ya miili yetu, tumepewa uwezo wa Ki Mungu kufanya kila kitu, ila pia, shetani nae ana uwezo wa kuingia ndani ya miili yetu na kutuwezesha kufanya aina ya uovu kwa kutumia nguvu za giza. Mema yote hufanyika kwa nguvu za Mungu na maovu yote hufanyika kwa nguvu za shetani na wanaofanya yote haya ni binadamu kupitia nguvu iliyopo ndani yao, iwe ni ya Mungu ambayo imewekwa automatically siku ya uumbwaji na nguvu za shetani ambazo ni induced!.

NB. Members wa darasa hili, tusameheaneni tuu wajemeni, siku za hivi karibuni nimejikuta bize hadi kukosa muda kuliendeleza darasa!.

Pasco

Mkuu Pasco heshima kwako kwa kurudi tena nimefatilia uzi huu tangu mwanzo swali langu ni hili shetani ana nguvu lakini mungu ana nguvu zaidi kwanini mungu asimuangamize shetani? maana maovu yote ni shetani na ana mbinu nyingi unaweza kuwa unamtumikia bila kujua ina maana mungu anafurahia maovu wakati anajua chanzo ni shetani na hili analijua hata kabla ya uumbaji.
 
Mkuu Pasco heshima kwako kwa kurudi tena nimefatilia uzi huu tangu mwanzo swali langu ni hili shetani ana nguvu lakini mungu ana nguvu zaidi kwanini mungu asimuangamize shetani? maana maovu yote ni shetani na ana mbinu nyingi unaweza kuwa unamtumikia bila kujua ina maana mungu anafurahia maovu wakati anajua chanzo ni shetani na hili analijua hata kabla ya uumbaji.
Mkuu chaUkucha, hili swali lako liliwahi kuleta ubishani mkubwa sana huko nyuma kwenye topic haswa haswa kutoka kwa wale niliowaambia ni waumini vitabu, waumini maandiko.

Kama nilivyosema mwanzo, mwanzo wa Mungu ndio huo huo mwanzo wa shetani, source ya powers za Mungu, ndio hiyo hiyo source ya powers za shetani, Mungu ana powers zaidi ya shetani, ila hawezi kumuangamiza shetani as of now!, labda mpaka ile siku ya mwisho ambayo Mwana wa Adamu atakaporudi tena!.

Uwezo wa Mungu kwa sasa ni ama kumzuia shetani, asifanye uovu, au kutibu na kuponya uovu uliofanywa na shetani, au kumfukuza shetani na mapepo kutoka kwa watu wa mungu na sio kumteketeza!.

Wahubiri wote watoa mapepo, mwisho wa uwezo wao ni kufukuza tuu, na sio kumuangamiza shetani!.

Ikumbukwe hapo mwanzo Mungu na shetani walikuwa kitu kimoja, Mungu akiwa na madaraka zaidi, shetani akiwa the 2nd in command!. Ugomvi wa Mungu na shetani ni tamaa ya shetani, yeye ndie awe top in command hivyo akaorganize uasi kule mbinguni, malaika wamuasi Mungu, wamsikilize shetani!. Baadhi ya malaika walikubali na wengine walikataa kuaai, hivyo vikapiganwa vita kuukati ya malaika watiifu na malaika waasi, malaika watiifu wakashinda hivyo shetani na genge lake wakatimuliwa mbinguni, wakatupwa kuzimu, duniani kwenyejehanum ya milele!.

Mungu akaiwa na Neno, na Roho Mtakatifu, wakasemezana "na tujiumbie kiumbe kitakacho tutii" tuumbe binadamu kwa mfano wetu!. Mungu akamuumba binadamu Adamu kwa mfano wake akampa na nguvu ya uungu!. Adamu aliishi peke yake for sometimes! na kisha ndio Mungu akaona sii vema binadamu aishi peke yake, akamuumbia msaidizi Eva!.

Shetani akayaona mema yote aliyokuwa akiyafanya, na kwa kupoitia omni presence yake, shetani akamuibukia Mungu na kufanya nae majadiliano kuhusu utii wa binadamu!.Shetani akamwambia Mungu, huwezi kuupima utii wa kiumbe chako bila kukitengenezea kishawishi, tengeneza kishawishi kwa kumwambia hiki fanya na hiki usifanye, ili kumpima utii wake.

Japo haikuandikwa popote, ule mti wa mema na mabaya, mema ndio mpango wa Mungu na mabaya ni mpango wa shetani!.

Ndipo Mungu akauweka ule "mt" wa katikati na tunda, mti wa mema na mabaya!, na kuwaamuru binadamu wanaweza kula matunda kutoka miti yote, ila wasithubutu kula matunda toka mti wa katikati ni hakika watakufa!. By now naamini umeishafahamu i huo "mti" wa "katikati" ambao ni "mti wa uzima" na "tunda la katikati" ambalo ni tunda la mema na mabaya. utakuwa umeisha lifahamu!. Maneno hayo ni tamathali za semi tuu!.

Baada ya Mungu kutimiza hayo, sasa kazi ya shetani ilikuwa moja tuu, kuhakiisha mwabadamu anamuasi Mungu.

Mungu aliweka malaika mawili wenye upanga wa moto makali kuwili kuhakikisha shetani hawezi kupenya kule bustanini, lakini shetani kwa kutumia uwezo wake, alijigeuza nyoka, akapenya na kuingia bustanini, (huku Mungu akishuhudia) alipofanikiwa kule bustanini alijigeuza mwanaume tena very "hb!".

Akamfuata Eva, akamuuliza vipi kuhusu hili "tunda" ambalo linaliwa na huu "mti" Eva akamwambia tumekatazwa na Mungu!, kwanini?, tuliambiwa tukila tutakufa!. Shetani akamdanganya Eva na kumwambia huo ni uongo!. Kati ya matunda yote hili ndio "tunda tamu" kuliko yote!, na mkilila tunda hili, mtakuwa na uwezo wa Kumungu kujiumbia viumbe wadogo "procreation" kama Mungu alivyowaumba!.

Eva hana hili wala lile, shetani akamwambia hebu "njoo nikuonjeshe!" shetani "akamega" lile tunda na Eva!, Eva "akaonja!" akakuta kumbe kweli "tunda lile ni tamu kweli!", baada ya kuonjesha na shetani, Eva akamfuata Adamu na kumlazimisha "kumega!" huku na kule, Adamu "kamega!" na kama kawaida hufuatiwa na usingizi mzito!, wakaishia usingizini!.

Wakati yote hayo yakiendelea Mungu na jeshi lake lote la malaika wa mbinguni wanashuhudia!. Walipopata mapumziko ya kutosha Mungu akamuita Adamu, ndipo waliposhtuka kuwa wako uchi!, kabla ya pale walijiona ni kawaida tuu hadi "tunda la mti wa katikati!", lilipomegwa!".

Mungu kwa hasiri kutokana na uasi huo wa binadamu, akawafukuza ndani ya bustani ya Adeni, akawwaadhibu kula kwa jasho lao, na Eva atapata adhabu ya ziada ya kubeba kiumbe miezi 9!, na kuzaa kwa uchungu kuufidia ule "utamu wa ile dhambi!", hivyo kile kitendo cha "kumegwa kwa lile "tunda" ndio "dhambi ya asili!", sisi binadamu wote tunazaliwa baada ya ile "dhambi" ya asili kutendeka!, hivyo mtoto akiisha zaliwa hutakiwa kubatizwa ili kumuondolea hiyo "dhambi ya asili" na kwa sisi Wakatoliki, masister na Makasisi wetu, hujitolea "sakramenti" ya "upadirisho" na kiapo na "utawa" kwa kutofanya hiyo "dhambi" ya asili!. Binadamu pekee aliyekingiwa "dhambi ya asili" ni Bikira Maria, alikingiwa dhambi ya asili kwa kupata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu" "bila tunda lake kumegwa!". Na kwa kitendo cha shetani kumdanya mama yetu Eva, Mungu aliweka uadui kati ya shetani na "mzaliwa wa mwanamke!".

Hadithi ndefu yote hiyo ni kukupa uthibitisho kuwa ni kweli Mungu ana nguvu, ila hawezi kumuangamiza shetani, na ni kwa jinsi hii hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtuma Mwanaye wa Pekee, kuja kuukomboa ulimwengu, na Mwanaye huyo alipitia mateso ya shetani kwa kusulubiwa hadi kufa msalabani, na siku ya tatu akafufuka katika wafu, akayashinda mauti, hivyo kuwa na uzima wa milele, akapaa mbinguni, toka huko ataja tena kuwahukumu wazima na wafu, na ufalme wake hautakuwa na mwisho!, ila pia hata shetani, hatateketezwa, bali maisha yote ya shetani, na watu wake, wataishi milele kwenye lile ziwa la moto ya jehanum ya milele, wakiteseka kwa matezo ya kuungua tuu lakini hawafi, huku watu wa Mungu wakipata raha ya milele, mbinguni, peponi kwa Mungu!.

Pasco
 
Mkuu Pasco samahan Elimu hii nzuri sana maana yaweza kukusaidia mwanadamu kwa namna furani endapo utajua au kutambua nguvu zako zipo upande gan......mi swali langu kwako mkuu ni wapi Elimu hii inapatikana kwa Urahisi Tanzania hii.....??? Lengo langu ni sisi ambao tunafuatilia uzi huu tufanye ili tuje tena kwenye Uzi huu huu kutoa ushuhuda mkuu,naomba jibu mkuu Pasco....pls
 
Mkuu Masaki, msingi mkuu wa imani nyingi ni mafundisho ya dini ambayo yako limited kwa kile tuu wanachotaka wanafunzi wake wakijue!. Dini kubwa huku kwetu ni Ukristo na Uislamu na zote mbili hazina mafundisho yoyote kuhusu Mwanzo wa Mungu!, inaelezwa tuu kuwa Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho!, Alfa na Omega!.

Sambamba na kutosema Mungu alianzanzaje, pia mafundisho ya dini hizi mbili kuu, hazisemi, mahali haswa Mungu alipo, zaidi ya kutaja, mbinguni, peponi, mawinguni, ahera etc, hivyo Mungu ni Omnipresent, yupo kote!.

Kama ambavyo dini hizi haziendi too deep kuhusu orgin ya Mungu, pia hazisemi orgin ya shetani zaidi ya kusema jina lake ni lusiferi, na ndiye alikuwa malaika mkuu.

Wengi wa waumini watiifu wa dini, wao wanaamini kile tuu kilichoandikwa katika vitabu vitakatifu vya dini zao, hawaamini kitu kingine chochote ambacho hakijaandikwa!, hawa ni waumini wa imani ya vitabu not logic!. Ukifanya deep meditation hata kwa kutumia vitabu hivyo hivyo vya dini, ukisoma unaweza kufunuliwa ukweli wa ziada ambao sio wengi wanaoujua!. Huu ukweli wa ziada kuhusu Mungu na shetani, ni ukweli mgumu na mchungu kumeza kwa hawa wenzangu na mimi wenye imani za vitabu!.

Dunia ni earth, hapa tulivyo na vyote vilivyotuzunguka, Mungu na shetani, wako over and above hapa duniani tulipo, na ndio maana kuna extra terestrials, viumbe wa sayari nyingine.

Mungu aliumba dunia na kila kilichopo, ila vile ambavyo viko over and above the universe hii tuliopo,sio lazima viwe viliumbwa na Mungu, na moja ya viumbe hivyo ambayo havikuumbwa na Mungu ni pamoja na shetani, ibilisi, majini, mapepo etc!.

Mungu ni omniscience, omnipotent na omnipresence so does shetani!. Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu, ila Mungu ana nguvu zaidi ya shetani!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo huo huo wa shetani!, source ya powers za Mungu ndio hiyo hiyo source ya powers za shetani!, ila Mungu ndio mwenye powers zaidi na shetani ndie the 2nd in command kwenye ulimwengu wa powers!. Mungu ndie Bwana wa Majeshi ya Malaika wa Mbinguni, na shetani ndiye bwana wa majeshi ya nguvu za giza!.

Shetani baada ya kumuasi Mungu, alitimuliwa tuu kutokuwa malaika mkuu, alivuliwa madaraka tuu, hakuvuliwa powers!.
Ukiondoa uwezo wa uumbaji ambao ni Mungu tuu mwenyewe mwenye uwezo huo, na uwezo wa ku end life ni Mungu tuu ndie mwenye uwezo huo, vituvingine vyote ambavyo Mungu anavifanya, shetani pia ana uwezo wa kuvifanya!.

Kuna wahubiri wengi, wana uwezo wa kufanya miujiza mikubwa ya ajabu, ukiwepo kufanya uponyaji, huku wakilitumia jina la Mungu, lakini kiukweli ni watumishi wa shetani na wanamtumikia shetani kwa kujijua au bila kujijua!.

Mungu alipotuumba, na kutupulizia ile pumzi ya uzima, ndani ya pumzi hiyo, umeweka nguvu zake za Uungu, hivyo Mungu yuko ndani ya kila binadamu aliye hai regardless unamwamini, au haumwamini, na shetani nae ni omnipresent, anaweza kuingia kwa yotote na kumpa majaribu, regardless anamwamini Mungu, ana mtumikia Mungu na yuko na Mungu ndani ya yake ndio maana alidiriki hata kumjaribu "Mungu Mwana!", akamchukua na kupaa nae hadi juu ya mlima mrefu kwenda kumpa majaribu!.

Ndani ya miili yetu, tumepewa uwezo wa Ki Mungu kufanya kila kitu, ila pia, shetani nae ana uwezo wa kuingia ndani ya miili yetu na kutuwezesha kufanya aina ya uovu kwa kutumia nguvu za giza. Mema yote hufanyika kwa nguvu za Mungu na maovu yote hufanyika kwa nguvu za shetani na wanaofanya yote haya ni binadamu kupitia nguvu iliyopo ndani yao, iwe ni ya Mungu ambayo imewekwa automatically siku ya uumbwaji na nguvu za shetani ambazo ni induced!.

NB. Members wa darasa hili, tusameheaneni tuu wajemeni, siku za hivi karibuni nimejikuta bize hadi kukosa muda kuliendeleza darasa!.

Pasco
Pasco kiukweli ntakubaliana na ww ktk baadhi ya mambo ila hilo la kusema mwanzo wa Mungu ndo mwanzo wa shetani itakuwa ngumu kuamini, una uthibitisho gani na hilo jambo??
then suala la kumuangamiza shetani ni maamuzi tu ila akiamua hashindwi nadhani amemuacha kwa kusudi maalumu
 
Last edited by a moderator:
Pasco kiukweli ntakubaliana na ww ktk baadhi ya mambo ila hilo la kusema mwanzo wa Mungu ndo mwanzo wa shetani itakuwa ngumu kuamini, una uthibitisho gani na hilo jambo??
then suala la kumuangamiza shetani ni maamuzi tu ila akiamua hashindwi nadhani amemuacha kwa kusudi maalumu
Mkuu Mwamba, nakubaliana na wewe kuwa kuna mambo mengine ni ngumu kuamini, na wengi ili waweze kuliamini jambo, wanataka uthibitisho japo hukusema ni uthibitisho gani, ila kama nilivyosema mwanzo, wenye limitatitions watataka uthibitisho ule ule wa kwenye limits zao, maandiko!. Nakuomba na kukusihi sana, endelea kuamini hicho unachokiamini, kwa sababu kinauthibitisho!, na uasiamini kitu chochote ambacho hakina uthibitisho!.

Kama wewe ni muumini wa Maandiko Matakatifu ya Biblia, na imani yako imegotea kwenye Biblia Takatifu, then Biblia haiusemi mwanzo wa Mungu, zaidi ya kusema ni Alfa na Omega!, in reality, God is not being, God is Power!, Omniscient, Omnipotent, Omnipresent. Kwa kutojua mwanzo wa Mungu, hivyo huwezi kujua the source of hizo powers!. Chini ya Mungu, the second in command wa lusifer, haikuelezwa popote kuwa Mungu alimuumba shetani!, and by the way, shetani mwanzo alikuwa malaika mkuu kabla hajaasi na kugeuka shetani!. Kama alivyo Mungu ni powers of Light, nguvu za Mwanga, shetani naye ni powers of darkness, nguvu za giza!, the source of powers is the same, alipoasi hakunyang'anywa hizo powers!, bado anazo, the only diference kati ya powers za mwanga na powers za darkness is only the use!.

Sisi binadamu tumeumbwa kwa Mfano wa Mungu na ametupulizia hizo powers!, ukizitumia kutenda mema, unatumia nguvu za Mungu, na ukizitumia kutenda maovu, unatumia nguvu za giza!. The dividing line between powers of light and powers of darkness is very thin!, na kwa taarifa hilo jina nguvu za giza, haina maana ndio nyeusi, unaweza kuta hizo nguvu za shetani ni nyeupe kama theluji!, na nguvu za Mema zikawa nyeusi kama masizi!.

Pasco
 
Mkuu Mwamba, nakubaliana na wewe kuwa kuna mambo mengine ni ngumu kuamini, na wengi ili waweze kuliamini jambo, wanataka uthibitisho japo hukusema ni uthibitisho gani, ila kama nilivyosema mwanzo, wenye limitatitions watataka uthibitisho ule ule wa kwenye limits zao, maandiko!. Nakuomba na kukusihi sana, endelea kuamini hicho unachokiamini, kwa sababu kinauthibitisho!, na uasiamini kitu chochote ambacho hakina uthibitisho!.

Kama wewe ni muumini wa Maandiko Matakatifu ya Biblia, na imani yako imegotea kwenye Biblia Takatifu, then Biblia haiusemi mwanzo wa Mungu, zaidi ya kusema ni Alfa na Omega!, in reality, God is not being, God is Power!, Omniscient, Omnipotent, Omnipresent. Kwa kutojua mwanzo wa Mungu, hivyo huwezi kujua the source of hizo powers!. Chini ya Mungu, the second in command wa lusifer, haikuelezwa popote kuwa Mungu alimuumba shetani!, and by the way, shetani mwanzo alikuwa malaika mkuu kabla hajaasi na kugeuka shetani!. Kama alivyo Mungu ni powers of Light, nguvu za Mwanga, shetani naye ni powers of darkness, nguvu za giza!, the source of powers is the same, alipoasi hakunyang'anywa hizo powers!, bado anazo, the only diference kati ya powers za mwanga na powers za darkness is only the use!.

Sisi binadamu tumeumbwa kwa Mfano wa Mungu na ametupulizia hizo powers!, ukizitumia kutenda mema, unatumia nguvu za Mungu, na ukizitumia kutenda maovu, unatumia nguvu za giza!. The dividing line between powers of light and powers of darkness is very thin!, na kwa taarifa hilo jina nguvu za giza, haina maana ndio nyeusi, unaweza kuta hizo nguvu za shetani ni nyeupe kama theluji!, na nguvu za Mema zikawa nyeusi kama masizi!.

Pasco

kaka mm ni mkristu ila siko ktk limitation ya upande wowote, nahitaji uthibitisho wa aina yoyote ile kuonesha kuwa mwanzo wa Mungu ndo mwanzo wa shetani ila kusema kuwa ni kwasababu haijaandikwa mahali kuwa Mungu alimuumba shetan haitosh kusema kuwa mwanzo wao ni mmoja
 
Pasco kuna muda naota nashindana na nguvu za giza au napigana na kitu kikubwa kama Simba au Nyoka au mnyama mkali na mda mwingine nakuwa kama nimefungwa kamba, lakini nikishatamka tu MUNGU au YESU hatimae najikuta nashinda au inapelekea hadi usingizi unakata majikuta kitandani!
Au naota niko na watu na kundi zima tunapata tatizo lakin najikuta mimi mdio nawaokoa wengine kwa njia ileile ya kutaja jina la Yesu au Mungu!

Mfano hapa nmetoka kuota tuko njian tunatembea ghafla tukakutana na bahari na tukaanza kuzama! wakazama wote kasoro mimi nilipata nguvu nikapanda juu ya jiwe nikajikuta niko ma biblia na niliposema Mungu ondoa hii dhoruba ghafla yakazidi niliposema tena mara ya pili na ya tatu ghafla maji yakapungua na wenzangu wote watano wakatoka japo wawili walikuwa hoi ila wote walikuwa wazima!
HII NAYO TUIITEJE maana mara nyingi napata ndoto za hivi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco,
Vitabu vimeandikwa kabla ya Mungu kumuumba mwanadamu aliumba malaika kwanza, tofauti iliyopo malaika alimbwa kwa moto na binadamu aliumbwa udongo. sasa shetani akiwa kama malaika wakati huo akiitwa lucifaer pia nae aliumbwa na Mungu

Naomba ufafanuzi wako juu ya hili ikizingatia ufafanuzi wako uliotangulia
 
kaka mm ni mkristu ila siko ktk limitation ya upande wowote, nahitaji uthibitisho wa aina yoyote ile kuonesha kuwa mwanzo wa Mungu ndo mwanzo wa shetani ila kusema kuwa ni kwasababu haijaandikwa mahali kuwa Mungu alimuumba shetan haitosh kusema kuwa mwanzo wao ni mmoja
Mkuu Mwamba, kuujua mwanzo wa shetani, nimetumia elimination formular ya kuangalia mema yote Mungu aliyoyafanya na maovu yote shetani anayoyapanga kumtinulia Mungu, swali kuu la kujiuliza ni dogo tuu, kwa nini Mungu hajamdestroy shetani?!.

Kwa jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hadi kumtoa mwanaye mpenzi anayependezwa naye, ili kuja kuukomboa ulimwengu, and yet huyu huyu shetani akaingilia kati, kwanza kwa kumjaribu! just imagine shetani ana guts gani kumjaribu Mungu?!, kisha akahakikisha Mungu mwana anasalitiwa, anateswa, anasulubiwa hadi kufa kifo cha aibu na udhalilishaji wa hali ya juu, kufa msalabani!, what the hell is the devil?!. Yesu kabla ya kukata roho pale msalabani, alitamka maneno, Eloi Eloi, kama ni amri yangu, ningeomba kikombe hiki kiniepuke?!, yaani Mungu anawish balaa limuepuke kwa ajili ya nini?.

Ndipo nika reach my own conclusion, God has powers na the devil has powers too!, the source of powers is the same, jape nguvu za Mungu ni zaidi za shetani!.

Pasco
 
Mkuu Mwamba, kuujua mwanzo wa shetani, nimetumia elimination formular ya kuangalia mema yote Mungu aliyoyafanya na maovu yote shetani anayoyapanga kumtinulia Mungu, swali kuu la kujiuliza ni dogo tuu, kwa nini Mungu hajamdestroy shetani?!.

Kwa jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hadi kumtoa mwanaye mpenzi anayependezwa naye, ili kuja kuukomboa ulimwengu, and yet huyu huyu shetani akaingilia kati, kwanza kwa kumjaribu! just imagine shetani ana guts gani kumjaribu Mungu?!, kisha akahakikisha Mungu mwana anasalitiwa, anateswa, anasulubiwa hadi kufa kifo cha aibu na udhalilishaji wa hali ya juu, kufa msalabani!, what the hell is the devil?!. Yesu kabla ya kukata roho pale msalabani, alitamka maneno, Eloi Eloi, kama ni amri yangu, ningeomba kikombe hiki kiniepuke?!, yaani Mungu anawish balaa limuepuke kwa ajili ya nini?.

Ndipo nika reach my own conclusion, God has powers na the devil has powers too!, the source of powers is the same, jape nguvu za Mungu ni zaidi za shetani!.

Pasco
ahaa,, basi km ni your own conclusion its okay ila sio general conclusion,,mi navyojua sio kwamba Mungu hawez kumdestroy shetani ila amemuacha kwa kusudi maalumu mana kila anachotaka kufanya sheteni Mungu anakijua kabla
 
Mkuu Mwamba, kuujua mwanzo wa shetani, nimetumia elimination formular ya kuangalia mema yote Mungu aliyoyafanya na maovu yote shetani anayoyapanga kumtinulia Mungu, swali kuu la kujiuliza ni dogo tuu, kwa nini Mungu hajamdestroy shetani?!.

Kwa jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hadi kumtoa mwanaye mpenzi anayependezwa naye, ili kuja kuukomboa ulimwengu, and yet huyu huyu shetani akaingilia kati, kwanza kwa kumjaribu! just imagine shetani ana guts gani kumjaribu Mungu?!, kisha akahakikisha Mungu mwana anasalitiwa, anateswa, anasulubiwa hadi kufa kifo cha aibu na udhalilishaji wa hali ya juu, kufa msalabani!, what the hell is the devil?!. Yesu kabla ya kukata roho pale msalabani, alitamka maneno, Eloi Eloi, kama ni amri yangu, ningeomba kikombe hiki kiniepuke?!, yaani Mungu anawish balaa limuepuke kwa ajili ya nini?.

Ndipo nika reach my own conclusion, God has powers na the devil has powers too!, the source of powers is the same, jape nguvu za Mungu ni zaidi za shetani!.

Pasco

Kwanza shetani hana nguvu yoyote kwa wale waliojificha chini ya mwamba.Huwezi linganisha nguvu za Mungu na shetani katu maana si saizi yake.Shetani ni mwizi na muharibifu, Yoh 10:10a. Mungu anapenda kila kiumbe aluchokiumba kiwe na utashi wa kuamua ndiyo maana kuokoka kwa mwanadamu ni lazima ili umuone Mungu,kwa hiari yako tu.Mungu hawezi kwa sasa kumuangamiza shetani lakini ipo siku atafanya hivyo Ufu 20:10 Vivyo hivyo Mungu hawezi kuwaangamiza wote wenye dhambi Mat 13:24-30 Mat 13:36-44 Pia Mungu hapendi kuwatesa wanadamu Omb 3:31-33 Yesu mwana wa Mungu hakuja kuangamiza bali kuokoa Luk 9:54-56 wenye roho za kuua wanawaz kishetani.
Hakika ipo siku moja Bwana atarudi Mno 1:10,11
 
Back
Top Bottom