Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

nakuambia wewe iili ujue au ufahamu kuwa kila binadamu ana uungu ndani yake
Mkuu Lady Niece, nahisi labda sijakuelewa, hivi wewe ndio unaniuliza mimi kama najua kuwa kila mwanadamu ana Uungu ndani yake?, yaani ni unaniuliza, au ndio unaniambia ili nami nijue kuywa kila binaadamu ana Uungu ndani yake?.
Pasco.
 
Mkuu Masaki, msingi mkuu wa imani nyingi ni mafundisho ya dini ambayo yako limited kwa kile tuu wanachotaka wanafunzi wake wakijue!. Dini kubwa huku kwetu ni Ukristo na Uislamu na zote mbili hazina mafundisho yoyote kuhusu Mwanzo wa Mungu!, inaelezwa tuu kuwa Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho!, Alfa na Omega!.

Sambamba na kutosema Mungu alianzanzaje, pia mafundisho ya dini hizi mbili kuu, hazisemi, mahali haswa Mungu alipo, zaidi ya kutaja, mbinguni, peponi, mawinguni, ahera etc, hivyo Mungu ni Omnipresent, yupo kote!.

Kama ambavyo dini hizi haziendi too deep kuhusu orgin ya Mungu, pia hazisemi orgin ya shetani zaidi ya kusema jina lake ni lusiferi, na ndiye alikuwa malaika mkuu.

Wengi wa waumini watiifu wa dini, wao wanaamini kile tuu kilichoandikwa katika vitabu vitakatifu vya dini zao, hawaamini kitu kingine chochote ambacho hakijaandikwa!, hawa ni waumini wa imani ya vitabu not logic!. Ukifanya deep meditation hata kwa kutumia vitabu hivyo hivyo vya dini, ukisoma unaweza kufunuliwa ukweli wa ziada ambao sio wengi wanaoujua!. Huu ukweli wa ziada kuhusu Mungu na shetani, ni ukweli mgumu na mchungu kumeza kwa hawa wenzangu na mimi wenye imani za vitabu!.

Dunia ni earth, hapa tulivyo na vyote vilivyotuzunguka, Mungu na shetani, wako over and above hapa duniani tulipo, na ndio maana kuna extra terestrials, viumbe wa sayari nyingine.

Mungu aliumba dunia na kila kilichopo, ila vile ambavyo viko over and above the universe hii tuliopo,sio lazima viwe viliumbwa na Mungu, na moja ya viumbe hivyo ambayo havikuumbwa na Mungu ni pamoja na shetani, ibilisi, majini, mapepo etc!.

Mungu ni omniscience, omnipotent na omnipresence so does shetani!. Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu, ila Mungu ana nguvu zaidi ya shetani!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo huo huo wa shetani!, source ya powers za Mungu ndio hiyo hiyo source ya powers za shetani!, ila Mungu ndio mwenye powers zaidi na shetani ndie the 2nd in command kwenye ulimwengu wa powers!. Mungu ndie Bwana wa Majeshi ya Malaika wa Mbinguni, na shetani ndiye bwana wa majeshi ya nguvu za giza!.

Shetani baada ya kumuasi Mungu, alitimuliwa tuu kutokuwa malaika mkuu, alivuliwa madaraka tuu, hakuvuliwa powers!.
Ukiondoa uwezo wa uumbaji ambao ni Mungu tuu mwenyewe mwenye uwezo huo, na uwezo wa ku end life ni Mungu tuu ndie mwenye uwezo huo, vituvingine vyote ambavyo Mungu anavifanya, shetani pia ana uwezo wa kuvifanya!.

Kuna wahubiri wengi, wana uwezo wa kufanya miujiza mikubwa ya ajabu, ukiwepo kufanya uponyaji, huku wakilitumia jina la Mungu, lakini kiukweli ni watumishi wa shetani na wanamtumikia shetani kwa kujijua au bila kujijua!.

Mungu alipotuumba, na kutupulizia ile pumzi ya uzima, ndani ya pumzi hiyo, umeweka nguvu zake za Uungu, hivyo Mungu yuko ndani ya kila binadamu aliye hai regardless unamwamini, au haumwamini, na shetani nae ni omnipresent, anaweza kuingia kwa yotote na kumpa majaribu, regardless anamwamini Mungu, ana mtumikia Mungu na yuko na Mungu ndani ya yake ndio maana alidiriki hata kumjaribu "Mungu Mwana!", akamchukua na kupaa nae hadi juu ya mlima mrefu kwenda kumpa majaribu!.

Ndani ya miili yetu, tumepewa uwezo wa Ki Mungu kufanya kila kitu, ila pia, shetani nae ana uwezo wa kuingia ndani ya miili yetu na kutuwezesha kufanya aina ya uovu kwa kutumia nguvu za giza. Mema yote hufanyika kwa nguvu za Mungu na maovu yote hufanyika kwa nguvu za shetani na wanaofanya yote haya ni binadamu kupitia nguvu iliyopo ndani yao, iwe ni ya Mungu ambayo imewekwa automatically siku ya uumbwaji na nguvu za shetani ambazo ni induced!.

NB. Members wa darasa hili, tusameheaneni tuu wajemeni, siku za hivi karibuni nimejikuta bize hadi kukosa muda kuliendeleza darasa!.

Pasco

Thank you so much Pasco. That is very insightful.
 
Mkuu Pasco,
Vitabu vimeandikwa kabla ya Mungu kumuumba mwanadamu aliumba malaika kwanza, tofauti iliyopo malaika alimbwa kwa moto na binadamu aliumbwa udongo. sasa shetani akiwa kama malaika wakati huo akiitwa lucifaer pia nae aliumbwa na Mungu

Naomba ufafanuzi wako juu ya hili ikizingatia ufafanuzi wako uliotangulia

Malaika aliumbwa kwa mwanga.
Majini yaliumbwa kwa moto.
Binadamu aliumbwa kwa udongo.
 
aisee ni somo kwa wenye timamu
ni story kwa mazuzu
ni iman thabit kwa wenye iman thabit
ni iman complicated kwa wenye iman complicated
ni faida kwa wenye kujua faida na ni upuuz kwa wapuuz
na ni uharibifu kwa waharabifu
na ujenzi kwa wajenzi...
inshort unavyoichukua ndio inavyokupeleka... mi nimewasoma sana tu na ndo nimetambua kwa nini wabongo wanawekwa wa pili kutoka mwisho kwa fikkrah....
 
Psychic Spells (KUFUNGUWA JICHO LAKO LA TATU)


Psychic spells can help you tap into your natural psychic abilities or help you further develop the ones you already know about.

Psychic Herb Pillow


This is one of the more classic psychic spells, where you sleep with an herbal pillow to help bring on astral travel and psychic dreams during the night. You can make a simple one with these supplies:


  • Purple or silver fabric
  • Mugwort
  • Flax seed
  • Wormwood
  • Galangal root
  • Lemon balm

If you don't have all the herbs, at least have the mugwort and the lemon balm. Gather up your herbs and make a pillow. I won't give you sewing instruction as I'm sure you

can figure out how to sew two pieces of fabric together. Just make sure the stitching is tight enough that you don't have herbs dribbling out.


Stuff with herbs but don't make it too thick. You have to sleep on this, so it needs to be kind of flat. Slip the pillow inside your actual bed pillow under your head. After a few

nights of sleeping on this charm, you will start to remember your dreams more clearly and expect some psychic impressions to start coming through.

third-eye.png
Open the Third Eye
This is one psychic spell you really have to do on a Monday to harness the power of the moon.

  • A piece of moonstone or aquamarine
  • Purple marker or paint
  • A cup of clean water

The day before you want to perform the spell, drop the stone into the water and leave it on your altar until you are ready. Monday night, find a quiet and peaceful place to do the rest of this psychic spell.


Take the piece of crystal and hold it to your forehead, and visualize your third eye opening when you do. Picture the crystal as a magnet, pulling in energy for you. Set the stone back down and draw an eye on your forehead in the same place with the

purple ink (need I say it should be a washable product?). Let the ink dry, and continue your visualizing to open up that eye. Hold the moonstone to the eye you drew, and repeat several times:


Open the sight,

With moon light


Drink the cup of water that had held the crystal, and repeat the chant again. Sleep with the eye still on your forehead, and don't wash it off until you have to. Chances

are, that will mean the next morning before work or school, but if you are lucky enough to not have to worry about that, leave it in place for added power. You should

soon start to feel new psychic abilities start to waken up. Angalia kitu hicho Mkuu Pasco Ukitaka Ushauri wowote kuhusu hiz nguvu na mambo ya nyota wasiliana na mimi kwa njia ya Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
 
Last edited by a moderator:
Mkuu John Kachembeho, hiyo 1994, ulikuwa na umri gani?!.

Hizo ndoto za kuota unapaa ni ndoto za kawaida tuu, ila pia unaweza kuwa unapaa kweli!.
Kipimo cha kuzipima kama ni za kawaida au unapaa kweli ni kimoja tuu.

Ukiona unapaa, kisha ukashtuka, akajiona kama una hema fulani, kumbuka uliona nini ulipopaa, eg, sherehe, msiba, tukio, etc, kesho yake ukipata habari hicho ulichoota ni kweli kimetokea, then ni kweli ulipaa!.

Ukiota unapaa, then ukiamka uko ok, nothing happened, then ni ndoto tuu!.
Pasco
Pasco,
Juzijuzi nimepokea kajitabu toka Posta kenye title "HERCOLUBUS OR RED PLANET" kalikoandikwa na bwana V M Rabolu. Nilishangaa kupokea kajitabu hako kwani sikumbuki kuomba kutumiwa. Kajitabu hako kanahusisha uwezo wa binadamu kuwa katika Astral body na hali tunayokuwamo tunapokuwa ndotoni. Kamenivutia, lakini nakaona kama tishio kwa imani yangu ya kikatoliki hasa kwa Mantra wanazotumia kuhama from the physical to astral body.

Hutojutia kukasoma kajitabu hako.
 
Psychic Spells (KUFUNGUWA JICHO LAKO LA TATU)
Angalia kitu hicho Mkuu Pasco Ukitaka Ushauri wowote kuhusu hiz nguvu na mambo ya nyota wasiliana na mimi kwa njia ya Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
Mkuu Mzizi Mkavu, katika ile mada yangu kuu kuhusu nimeeleza haya yote labda nirudie tuu kwa kifupi, ili wale watakaoamua kufuata mafundisho yako, wajue wanafuata nini!.

Sisi binadamu wote tumeumbwa na Mungu, tumepewa uhai (life force) na Mungu. Huu uhai, una nguvu za Kimungu ndani yake, kuna "Gods Powers, Will Power, ("Psychic powes, Spiritual Powers, Powers from within, "I" Power, Nguvu za Roho Mtakatifu, etc), power hii ndicho kitu chenye nguvu kuliko kitu kingine chochote kwenye binadamu hai!. Namna ya kuzifungulia nguvu hizi ni ku will tuu, bila kutumia kitu chochote, mmea wowote wala sharti lolote!, the powers are just there to be used unconditional!.

Shetani naye yupo!, na yeye anazo powers karibu kama zile za Mungu, almost everything that God can do!, satan can do, isipokua tuu shetani hana ile pumzi ya uhai, yaani hawezi kumuumba mtu wala kumtoa uhai!.

Tofauti pekee kati ya nguvu za Mungu na nguvu za shetani ni "conditionality!", nguvu za Mungu ni totaly unconditional wakati nguvu za shetani ni conditional!. Ili kufanya mambo kwa nguvu za Mungu, unatakiwa kuamini tuu!, have faith!, hakuna condition yoyote!, ili kutumia nguvu za shetani, utapewa conditions!, au ufanye hivi, au ugeukie huku, au utumie kitu hiki na kile etc, na yako baadhi ya madhehebu ya dini, wanamtumikia shetani bila waumini wao kujijua!, shetani anapenda sana ku disguise kuwa yeye ndiye Mungu, ila kiukweli shetani sio Mungu bali ni mungu!.

Mafundisho yako Mkuu Mzizi Mkavu, ni mafundisho ya kutumia nguvu za mungu!, hivyo endeleza tuu darasa na utawapata wengi kama mkuu wao anavyowakamata!.

All the best!.

Pasco.
 
Mkuu Mzizi Mkavu, katika ile mada yangu kuu kuhusu nimeeleza haya yote labda nirudie tuu kwa kifupi, ili wale watakaoamua kufuata mafundisho yako, wajue wanafuata nini!.

Sisi binadamu wote tumeumbwa na Mungu, tumepewa uhai (life force) na Mungu. Huu uhai, una nguvu za Kimungu ndani yake, kuna "Gods Powers, Will Power, ("Psychic powes, Spiritual Powers, Powers from within, "I" Power, Nguvu za Roho Mtakatifu, etc), power hii ndicho kitu chenye nguvu kuliko kitu kingine chochote kwenye binadamu hai!. Namna ya kuzifungulia nguvu hizi ni ku will tuu, bila kutumia kitu chochote, mmea wowote wala sharti lolote!, the powers are just there to be used unconditional!.

Shetani naye yupo!, na yeye anazo powers karibu kama zile za Mungu, almost everything that God can do!, satan can do, isipokua tuu shetani hana ile pumzi ya uhai, yaani hawezi kumuumba mtu wala kumtoa uhai!.

Tofauti pekee kati ya nguvu za Mungu na nguvu za shetani ni "conditionality!", nguvu za Mungu ni totaly unconditional wakati nguvu za shetani ni conditional!. Ili kufanya mambo kwa nguvu za Mungu, unatakiwa kuamini tuu!, have faith!, hakuna condition yoyote!, ili kutumia nguvu za shetani, utapewa conditions!, au ufanye hivi, au ugeukie huku, au utumie kitu hiki na kile etc, na yako baadhi ya madhehebu ya dini, wanamtumikia shetani bila waumini wao kujijua!, shetani anapenda sana ku disguise kuwa yeye ndiye Mungu, ila kiukweli shetani sio Mungu bali ni mungu!.

Mafundisho yako Mkuu Mzizi Mkavu, ni mafundisho ya kutumia nguvu za mungu!, hivyo endeleza tuu darasa na utawapata wengi kama mkuu wao anavyowakamata!.

All the best!.

Pasco.
Asante lakini hizi nguvu ni hatari inatakiwa ufundishwe sio kujaribu kutumia wewe mwenyewe.Ni nguvu za giza .
 
DUA YA KUSAFIRI:

Travel Spells

I already have a travel spell charm on another page of Wiccan spells, but here are a few more for the next time you are planning on hitting the road for some travel. Whether its for holidays or not, staying safe when you travel is worth a little magick.
footprints.png
Mind My Footsteps

Not only will this keep you safe during your travels, it will help keep you on track so that you don't get lost. Cast this spell before you leave, and leave it out on an altar

table until you get home.


  • 5 pieces of jade or sodalite
  • A piece of yellow cloth
  • A long piece of white ribbon or yarn

Lay out the piece of cloth and think about your upcoming trip. Set out the pieces of stone in a straight line. With each one, stamp your foot and repeat:


Watch my steps, keep me straight

Keep my travels free from hate


When all 5 are laid out, make a circle around them with the white ribbon to protect your path. Repeat the words again. Leave everything in place so your travel spell keeps working until you get home.


See the World Spell


I thought I would change this up a bit and add a travel spell that is about getting the

opportunity to see more of the world, rather than a safety spell. So if you are stuck in a rut and want some travel doors to open up, this is the spell for you. You should do

this spell on a windy day.


  • A small printed map
  • Dried mint
  • A branch of willow

If you don't have willow, any wood will do but it does need to be a natural branch.

Tear up your map into little pieces.


Go outdoors when you want to do your spell, bring your materials and face west. Push the branch into the earth to mark your current place, and then call out to the elements

to help you:

North, south, east, west
Take me to the corners of the Earth.


Then toss the bits of map and dried mint into the breeze. Soon you'll find some new travel options open for you Pasco
 
Last edited by a moderator:
A Spell to Increase Your Psychic Abilities



Here is a spell that will help you increase your psychic abilities.


You will need:

4 purple candles
1 white candle
Frankincense or jasmine incense
A notebook

This spell should be done during a full moon or a waxing moon.Psychic Ability Spell

Centre and ground yourself first, then cast your circle. Place the four purple candles around you, corresponding to north, east, south and west. Light the stick of incense, and place the white candle in front of you. Light all the candles, then clear your mind while gazing at the flame of the white candle. Visualise a point of your forehead absorbing the energy of the white candle, then say the

following:

“Vision of future present & past,

Psychic spirit I do cast,
To hear the unheard and see the unseen,
Psychic powers strong and keen,
I open to see all with my 3rd eye,
Psychic bond to me I wish to tie,
Unbind my spirit and my mind,
So that my visions shall no longer be confined,
Let my visions & dreams come before the rising sun,
As I cast let my will be done,
Pychic powers I invoke thee,
It is done. So mote it be”

Once you are done with this ritual, blow out the candles and close the circle.
Take the notebook and keep it close to your bed. Start recording any messages you might get in your dreams, as soon as you wake up. While they may seem cryptic at first, your visions and psychic messages will become stronger in the coming days, especially if you are meticulous about noting them down Pasco
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Masaki, msingi mkuu wa imani nyingi ni mafundisho ya dini ambayo yako limited kwa kile tuu wanachotaka wanafunzi wake wakijue!. Dini kubwa huku kwetu ni Ukristo na Uislamu na zote mbili hazina mafundisho yoyote kuhusu Mwanzo wa Mungu!, inaelezwa tuu kuwa Mungu ndiye Mwanzo na Mwisho!, Alfa na Omega!.

Sambamba na kutosema Mungu alianzanzaje, pia mafundisho ya dini hizi mbili kuu, hazisemi, mahali haswa Mungu alipo, zaidi ya kutaja, mbinguni, peponi, mawinguni, ahera etc, hivyo Mungu ni Omnipresent, yupo kote!.

Kama ambavyo dini hizi haziendi too deep kuhusu orgin ya Mungu, pia hazisemi orgin ya shetani zaidi ya kusema jina lake ni lusiferi, na ndiye alikuwa malaika mkuu.

Wengi wa waumini watiifu wa dini, wao wanaamini kile tuu kilichoandikwa katika vitabu vitakatifu vya dini zao, hawaamini kitu kingine chochote ambacho hakijaandikwa!, hawa ni waumini wa imani ya vitabu not logic!. Ukifanya deep meditation hata kwa kutumia vitabu hivyo hivyo vya dini, ukisoma unaweza kufunuliwa ukweli wa ziada ambao sio wengi wanaoujua!. Huu ukweli wa ziada kuhusu Mungu na shetani, ni ukweli mgumu na mchungu kumeza kwa hawa wenzangu na mimi wenye imani za vitabu!.

Dunia ni earth, hapa tulivyo na vyote vilivyotuzunguka, Mungu na shetani, wako over and above hapa duniani tulipo, na ndio maana kuna extra terestrials, viumbe wa sayari nyingine.

Mungu aliumba dunia na kila kilichopo, ila vile ambavyo viko over and above the universe hii tuliopo,sio lazima viwe viliumbwa na Mungu, na moja ya viumbe hivyo ambayo havikuumbwa na Mungu ni pamoja na shetani, ibilisi, majini, mapepo etc!.

Mungu ni omniscience, omnipotent na omnipresence so does shetani!. Mungu ana nguvu, na shetani ana nguvu, ila Mungu ana nguvu zaidi ya shetani!. Mwanzo wa Mungu ndio mwanzo huo huo wa shetani!, source ya powers za Mungu ndio hiyo hiyo source ya powers za shetani!, ila Mungu ndio mwenye powers zaidi na shetani ndie the 2nd in command kwenye ulimwengu wa powers!. Mungu ndie Bwana wa Majeshi ya Malaika wa Mbinguni, na shetani ndiye bwana wa majeshi ya nguvu za giza!.

Shetani baada ya kumuasi Mungu, alitimuliwa tuu kutokuwa malaika mkuu, alivuliwa madaraka tuu, hakuvuliwa powers!.
Ukiondoa uwezo wa uumbaji ambao ni Mungu tuu mwenyewe mwenye uwezo huo, na uwezo wa ku end life ni Mungu tuu ndie mwenye uwezo huo, vituvingine vyote ambavyo Mungu anavifanya, shetani pia ana uwezo wa kuvifanya!.

Kuna wahubiri wengi, wana uwezo wa kufanya miujiza mikubwa ya ajabu, ukiwepo kufanya uponyaji, huku wakilitumia jina la Mungu, lakini kiukweli ni watumishi wa shetani na wanamtumikia shetani kwa kujijua au bila kujijua!.

Mungu alipotuumba, na kutupulizia ile pumzi ya uzima, ndani ya pumzi hiyo, umeweka nguvu zake za Uungu, hivyo Mungu yuko ndani ya kila binadamu aliye hai regardless unamwamini, au haumwamini, na shetani nae ni omnipresent, anaweza kuingia kwa yotote na kumpa majaribu, regardless anamwamini Mungu, ana mtumikia Mungu na yuko na Mungu ndani ya yake ndio maana alidiriki hata kumjaribu "Mungu Mwana!", akamchukua na kupaa nae hadi juu ya mlima mrefu kwenda kumpa majaribu!.

Ndani ya miili yetu, tumepewa uwezo wa Ki Mungu kufanya kila kitu, ila pia, shetani nae ana uwezo wa kuingia ndani ya miili yetu na kutuwezesha kufanya aina ya uovu kwa kutumia nguvu za giza. Mema yote hufanyika kwa nguvu za Mungu na maovu yote hufanyika kwa nguvu za shetani na wanaofanya yote haya ni binadamu kupitia nguvu iliyopo ndani yao, iwe ni ya Mungu ambayo imewekwa automatically siku ya uumbwaji na nguvu za shetani ambazo ni induced!.

NB. Members wa darasa hili, tusameheaneni tuu wajemeni, siku za hivi karibuni nimejikuta bize hadi kukosa muda kuliendeleza darasa!.

Pasco

Mkuu natamani kujibu haya maelezo yako lakini ngoja nipate wasaa wa kuyapitia kwa kina kwani kwa imani yangu naamini yako tofauti kabisa, na wakati unayaandika nahisi hukuwa umeyatafiti kwanza.
 
DUA YA KUSAFIRI:
Travel Spells
I already have a travel spell charm on another page of Wiccan spells,
Soon you'll find some new travel options open for you Pasco
Naomba kuchukua nafasi hii, kuwajulisha watu humu spells ni kuita wachawi!, kutumia nguvu za giza!.

Naombeni tembeleeni thread yangu hii, [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza.[/h]then tembelea sub topic, haya ni mambo ya kichawi!.
Esoteric/Occult
Evil
Alchemy
Book of Shadows
Neopaganism/Wicca
Shamanism

Just to mention but a few!

Pasco
 
Back
Top Bottom