Public enemy number one of Tanzania title goes to "Rostam Aziz"

Public enemy number one of Tanzania title goes to "Rostam Aziz"

CARMEL, dont wory, ulichoongea tayari kipo kwenye mchakato, tar 16 tunakutana nairobi wanamapinduzi kadhaa tuna mtandao wetu, tunaenda kujadili proposals tofauti tofauti zinazotoa mapendekezo ya jinsi ya kua assasnet rostam pamoja na list ya watu 10 wengine. Hatuwezi weka mambo hadharani hapa ila kwa kifupi kuna wanamapinduzi 2 frm cuba,1 frm urusi, 5 frm dsm. Na mimi mwenyewe nikiwemo. Haina haja ya kuendelea kuumia wakati maadui zetu tunawajua.
Anza na JAMAA, NDUGU na MARAFIKI zako walioko serikalini na taasisi zake. Rostam ni tarishi tu wa mambo haya.
 
CARMEL, dont wory, ulichoongea tayari kipo kwenye mchakato, tar 16 tunakutana nairobi wanamapinduzi kadhaa tuna mtandao wetu, tunaenda kujadili proposals tofauti tofauti zinazotoa mapendekezo ya jinsi ya kua assasnet rostam pamoja na list ya watu 10 wengine. Hatuwezi weka mambo hadharani hapa ila kwa kifupi kuna wanamapinduzi 2 frm cuba,1 frm urusi, 5 frm dsm. Na mimi mwenyewe nikiwemo. Haina haja ya kuendelea kuumia wakati maadui zetu tunawajua.


alibaba and forty thieves
 
Rostam hayuko peke yake. Anabebwa kwa sababu nae anawabeba, akichota wanagawana, ana miradi kibao kama ya caspian, dowans, nk na miradi hiyo akina jk na familia zao wamo ndio maana walikuwa wanamuogopa kumtaja. Mungu ibariki tanzania, mungu mbariki mwakyembe kwa kuvunja mtungi ambao kata tu (watawala) ndio waliokuwa wanajua kuna nini!
 
Wakuu,

Kwa hali ilivyo, msishangae mkakuta ROSTAM AZIZ ndiye mgombea wa kiti cha uraisi mwaka 2015 kupitia CCM, maana jamaa anajituma sana kula vya walio lala. Akigombea, kwa hali ilivyo utakuta eti naye kashinda kwa kishindo.

YANGU MACHO!!!
 
Wakuu,

Kwa hali ilivyo, msishangae mkakuta ROSTAM AZIZ ndiye mgombea wa kiti cha uraisi mwaka 2015 kupitia CCM, maana jamaa anajituma sana kula vya walio lala. Akigombea, kwa hali ilivyo utakuta eti naye kashinda kwa kishindo.

YANGU MACHO!!!


nchi gani...?
 
Rostam Aziz siyo mtanzania, yeye ni muajemi ndiyo maana hana mapenzi na nchi hii.Anastahili adhabu ya kunyongwa hadi afe au atumbukizwe kwenye pipa la sulphuric acid 98%.

Rostam Aziz ni mtanzania kwa kuzaliwa,amezaliwa mwisi wilayani Igunga wazazi wake walikuwa wanaishi mwisi na kwakweli walikuwa ndio wakombozi wa hicho kijiji gari lao ndilo lililokuwa linawabeba wanakiji wanapoumwa kuwapeleka hospitali ya Nkinga,hao wazazi wake walikuwa na roho nzuri sana na walipendwa sana hapo,walifanikiwa kuwasomesha watoto wao wote nje ya nchi na hivi sasa wanafanya kazi mbalimbali nje ya nchi.Rostam alianza siasa miaka mingi iliyopita,yeye ndiye aliyekuwa anawaweka wabunge wa igunga,alimweka marehemu Charles Kabeho na hatimayake ameingia bungeni mwenyewe,toka ameingia bungeni hajawahi kuchukua posho miaka yote posho yake alikuwa anachukua Prof Kapuya,mke wa Kapuya anatoka mwisi na walisoma na Rostam primary.Rostam ndiye aliyemgharimia Sitta ubunge na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya kumwingiza Sitta uspika wakati huo wakiwa marafiki na pia ndiye mfadhili mkuu wa Lucas Lumambo Seleli aliyekuwa mbunge wa Nzega sasa sijui waligombana nini lakini walikuwa marafiki wakubwa na wamefanya vikao vingi sana nzega nyumbani kwa mkwe wa Rostam Rasul Bakshi.Rostam anapenda hela sana yaani kila penye pesa anapanusa haraka sana,matajiri wote weupe ambao wanataka dili na serikali lazima wapitie kwake vinginevyo anawawekea nongwa.Yeye ni pesa tu na mara nyingi sana huwafadhili kisirisiri hata wagombea wa upinzani mradi tu alinde maslahi ya fedha zake,Mkapa ndiye aliyempa nafasi kubwa za CCM ndiye rafiki yake mkubwa sana huyu Mkwere kamkuta tu na EL ndiye iliyemuitrodyusi kwake,kwa sasa yeye na EL hawaongei kabisa na mkwere walichogombania sijui,Rostam ni tajiri sana na kwa sasa anahamisha mali zake zote,naambiwa na jamaa zake anahama TZ na mwaka 2015 hatakuwepo kabisa, ni kweli kabisa yeye na EL wana mkakati ili EL awe raisi 2015 matayarisho yao ni makubwa sana,mengi ntawaleteeni next time,mie namjua sana tunatoka kijiji kimoja na tumecheza pamoja
 
Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!
 
Wakuu,

Kwa hali ilivyo, msishangae mkakuta ROSTAM AZIZ ndiye mgombea wa kiti cha uraisi mwaka 2015 kupitia CCM, maana jamaa anajituma sana kula vya walio lala. Akigombea, kwa hali ilivyo utakuta eti naye kashinda kwa kishindo.

YANGU MACHO!!!
Agombee mara ngapi?
Wewe raisi wa bongo humjui?
Au unafikiri ni JK?
 
ROSTAM kama kweli unamapenzi ya kweli na watz tunaomba uuanike ukweli. Usijidanganye kuwa utakimbia kama Watz wakiamua, Dunia ya sasa ni ndogo mno na mficha maradh siku zote kifo humuumbua. Usikae kimya kwenye jamii yetu i.e TZ. TUNAHASIRA Sana na list yenu. KAMA MZIGO SIYO WAKO KWANINI USIUTUE. Tunaamini haya yanakulenga na kama hayakuelekei utudhibitishie kwa namna yeyote ile maana hasira zetu zinakufikia moja kwa moja.
 
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya "Public Enemy Number One in Tanzania"
2891552.jpg


Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....

Dead or Alive!!!
 
sioni kama yeye anakosa,tatizo lipo kwa viongozi wetu kumpa mwanya na kubariki upumbavu anaotufanyia...

Yeye(RA) mwenye dhamira mbaya na nchi hii ana makosa na viongozi wapuuzi (JK, Makamba etc ) wanaobariki mambo yake na akina Fungamtama(Wakili fisadi wa RA) wanaofaidi matunda ya wizi wake wote wanamakosa inabidii tu wawajibishwe na nguvu ya umma!!
 
huyu bwana kama kweli yote yanayosemwa juu ni kweli na bado anasema anawakilisha watu kazi ipo, anahitaji sisi tumfanyeje kwa hiyo yote?
 
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya "Public Enemy Number One in Tanzania"
2891552.jpg


Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....


Hivi hili jitu kwa nini lisikamatwe na kukamuliwa???
 
Rostam Aziz ni mtanzania kwa kuzaliwa,amezaliwa mwisi wilayani Igunga wazazi wake walikuwa wanaishi mwisi na kwakweli walikuwa ndio wakombozi wa hicho kijiji gari lao ndilo lililokuwa linawabeba wanakiji wanapoumwa kuwapeleka hospitali ya Nkinga,hao wazazi wake walikuwa na roho nzuri sana na walipendwa sana hapo,walifanikiwa kuwasomesha watoto wao wote nje ya nchi na hivi sasa wanafanya kazi mbalimbali nje ya nchi.Rostam alianza siasa miaka mingi iliyopita,yeye ndiye aliyekuwa anawaweka wabunge wa igunga,alimweka marehemu Charles Kabeho na hatimayake ameingia bungeni mwenyewe,toka ameingia bungeni hajawahi kuchukua posho miaka yote posho yake alikuwa anachukua Prof Kapuya,mke wa Kapuya anatoka mwisi na walisoma na Rostam primary.Rostam ndiye aliyemgharimia Sitta ubunge na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya kumwingiza Sitta uspika wakati huo wakiwa marafiki na pia ndiye mfadhili mkuu wa Lucas Lumambo Seleli aliyekuwa mbunge wa Nzega sasa sijui waligombana nini lakini walikuwa marafiki wakubwa na wamefanya vikao vingi sana nzega nyumbani kwa mkwe wa Rostam Rasul Bakshi.Rostam anapenda hela sana yaani kila penye pesa anapanusa haraka sana,matajiri wote weupe ambao wanataka dili na serikali lazima wapitie kwake vinginevyo anawawekea nongwa.Yeye ni pesa tu na mara nyingi sana huwafadhili kisirisiri hata wagombea wa upinzani mradi tu alinde maslahi ya fedha zake,Mkapa ndiye aliyempa nafasi kubwa za CCM ndiye rafiki yake mkubwa sana huyu Mkwere kamkuta tu na EL ndiye iliyemuitrodyusi kwake,kwa sasa yeye na EL hawaongei kabisa na mkwere walichogombania sijui,Rostam ni tajiri sana na kwa sasa anahamisha mali zake zote,naambiwa na jamaa zake anahama TZ na mwaka 2015 hatakuwepo kabisa, ni kweli kabisa yeye na EL wana mkakati ili EL awe raisi 2015 matayarisho yao ni makubwa sana,mengi ntawaleteeni next time,mie namjua sana tunatoka kijiji kimoja na tumecheza pamoja

Fimbo ya Asali nimekuaminia, kweli unamfahamu RA. Nakumbuka wakati nipo darasa la nne shule ya msingi Nkinga siku moja nikaona lori linatoka Mwisi, yeyote aliyetaka kupanda alikaribishwa apande kwenda Nzega kwenye harusi ya Rostam Abdulrasul Aziz Chakaar anamuoa Mariam Rasul Baksh. Namie nikadandia, kufika Nzega kwa Rasul Bakshi tulichapa mpunga na nyama balaa..!
 
huyu jamaa ameleta umaskini tanzania

na iko siku atafungwa na kunyang'anywa mali zote..
 
Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!

Kwakweli mambo ya siasa siyajui na siwezi kusema nayasema yale nayajua na kuyasikia vinywani mwa ndugu zake rostam na yeye mwenewe anasema kuwa haelewani JK ila wanachogombania sijakijua.Wazazi wake wote wamezaliwa Tanzani ila babu na bibi wake walitoka Iran,kuhusu pesa namjua ni mroho sana na amekusanya utajiri mwingi sana ana biashara nyingi sana nje ya nchi ni jitu moja janja sana kwa hela kama ilivyo EL ni bosi wa masai baye naye ndiye mkuu wa wabulushi wote TZ
 
brucelee huna haja ya kwenda nrb,natamani mwenye data za wapi huyu RA anaishi kama ni dar au igunga tumshuhulikie,pia natoa wito kwa watumiaji wote wa voda kugoma kutumia ili kumdhoofisha maana nasikia ndiye milik
 
Nakubali Rostam ni public enemy,nafikiri kumuua yeye au na watu ishirini wanaohujumu nchi hii si suluhisho la kudumu....

Tuiangalie sana mianya iliyowawezesha wao kufanya hayo waliyofanya na tuzibe au tupunguze mazingira yanayuruhusu watu wachache kuhujumu nchi kiasi hicho.

On the other hand,wizi uko kila mahali,kuna mtu aliwahi sema ''It is always a mistake to overestimate the effects,for good or ill,of the world-shaking events.When the volcano ceases erupting,people go back to live near the crater.Habit is hard to break.I can think of quite a number of habits that even a world war,lasting for years,would not break.And habits make governments.Most of our habits are bad habits,so we have bad government''.

Ni rahisi sana kutumia emotions na kumuangalia Rostam lakini nchi hii kila kona kuna rushwa ambazo hata kama ni ndogo ndogo zinaigharimu nchi na hasa sisi maskini,ni jukumu letu kuanza kujirekebisha na kurekebishana kuanzia kwenye ngazi za chini.Hao wanaoshirikiana na Rostam ni watanzania,na wengine ni wa kipato cha kawaida,wangekuwa na mapenzi mema,tusingekuwa na mishangao tuliyonayo leo kuhusu wizi na hujuma kubwa,lakini kwa sababu wao ni wezi wa chini hatuwaoni wala hatu-deal nao tunamuangalia Rostam,i say kill him but in less than two years another Rostam will be available and working......

Tuzibe mianya ambayo ma-opportunist kama Rostam wanaitumia, natumaini katiba mpya yaweza kuwa suluhisho la muda mrefu la kupunguza ama kuondoa wahujumu uchumi.
 
Rostam Aziz ni mtanzania kwa kuzaliwa,amezaliwa mwisi wilayani Igunga wazazi wake walikuwa wanaishi mwisi na kwakweli walikuwa ndio wakombozi wa hicho kijiji gari lao ndilo lililokuwa linawabeba wanakiji wanapoumwa kuwapeleka hospitali ya Nkinga,hao wazazi wake walikuwa na roho nzuri sana na walipendwa sana hapo,walifanikiwa kuwasomesha watoto wao wote nje ya nchi na hivi sasa wanafanya kazi mbalimbali nje ya nchi.Rostam alianza siasa miaka mingi iliyopita,yeye ndiye aliyekuwa anawaweka wabunge wa igunga,alimweka marehemu Charles Kabeho na hatimayake ameingia bungeni mwenyewe,toka ameingia bungeni hajawahi kuchukua posho miaka yote posho yake alikuwa anachukua Prof Kapuya,mke wa Kapuya anatoka mwisi na walisoma na Rostam primary.Rostam ndiye aliyemgharimia Sitta ubunge na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya kumwingiza Sitta uspika wakati huo wakiwa marafiki na pia ndiye mfadhili mkuu wa Lucas Lumambo Seleli aliyekuwa mbunge wa Nzega sasa sijui waligombana nini lakini walikuwa marafiki wakubwa na wamefanya vikao vingi sana nzega nyumbani kwa mkwe wa Rostam Rasul Bakshi.Rostam anapenda hela sana yaani kila penye pesa anapanusa haraka sana,matajiri wote weupe ambao wanataka dili na serikali lazima wapitie kwake vinginevyo anawawekea nongwa.Yeye ni pesa tu na mara nyingi sana huwafadhili kisirisiri hata wagombea wa upinzani mradi tu alinde maslahi ya fedha zake,Mkapa ndiye aliyempa nafasi kubwa za CCM ndiye rafiki yake mkubwa sana huyu Mkwere kamkuta tu na EL ndiye iliyemuitrodyusi kwake,kwa sasa yeye na EL hawaongei kabisa na mkwere walichogombania sijui,Rostam ni tajiri sana na kwa sasa anahamisha mali zake zote,naambiwa na jamaa zake anahama TZ na mwaka 2015 hatakuwepo kabisa, ni kweli kabisa yeye na EL wana mkakati ili EL awe raisi 2015 matayarisho yao ni makubwa sana,mengi ntawaleteeni next time,mie namjua sana tunatoka kijiji kimoja na tumecheza pamoja

Mkuu,
Ahsante kwa ufafanuzi huu. Mimi nilikuwa Sungwizi miaka ya mwanzo ya 70. Naifahamu kidogo familia ya RA ingawa yeye mwenyewe nadhani alikuwa mdogo sana miaka hiyo. Wanaoendelea kuhangaika na URAIA wa RA wanapoteza muda tu. Tuhangaike na wezi halisi wa mali za UMMA. WAtumishi wa serikali na WANASIASA wetu WAZAWA.
 
Back
Top Bottom