Anza na JAMAA, NDUGU na MARAFIKI zako walioko serikalini na taasisi zake. Rostam ni tarishi tu wa mambo haya.CARMEL, dont wory, ulichoongea tayari kipo kwenye mchakato, tar 16 tunakutana nairobi wanamapinduzi kadhaa tuna mtandao wetu, tunaenda kujadili proposals tofauti tofauti zinazotoa mapendekezo ya jinsi ya kua assasnet rostam pamoja na list ya watu 10 wengine. Hatuwezi weka mambo hadharani hapa ila kwa kifupi kuna wanamapinduzi 2 frm cuba,1 frm urusi, 5 frm dsm. Na mimi mwenyewe nikiwemo. Haina haja ya kuendelea kuumia wakati maadui zetu tunawajua.
CARMEL, dont wory, ulichoongea tayari kipo kwenye mchakato, tar 16 tunakutana nairobi wanamapinduzi kadhaa tuna mtandao wetu, tunaenda kujadili proposals tofauti tofauti zinazotoa mapendekezo ya jinsi ya kua assasnet rostam pamoja na list ya watu 10 wengine. Hatuwezi weka mambo hadharani hapa ila kwa kifupi kuna wanamapinduzi 2 frm cuba,1 frm urusi, 5 frm dsm. Na mimi mwenyewe nikiwemo. Haina haja ya kuendelea kuumia wakati maadui zetu tunawajua.
Wakuu,
Kwa hali ilivyo, msishangae mkakuta ROSTAM AZIZ ndiye mgombea wa kiti cha uraisi mwaka 2015 kupitia CCM, maana jamaa anajituma sana kula vya walio lala. Akigombea, kwa hali ilivyo utakuta eti naye kashinda kwa kishindo.
YANGU MACHO!!!
Rostam Aziz siyo mtanzania, yeye ni muajemi ndiyo maana hana mapenzi na nchi hii.Anastahili adhabu ya kunyongwa hadi afe au atumbukizwe kwenye pipa la sulphuric acid 98%.
Agombee mara ngapi?Wakuu,
Kwa hali ilivyo, msishangae mkakuta ROSTAM AZIZ ndiye mgombea wa kiti cha uraisi mwaka 2015 kupitia CCM, maana jamaa anajituma sana kula vya walio lala. Akigombea, kwa hali ilivyo utakuta eti naye kashinda kwa kishindo.
YANGU MACHO!!!
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya "Public Enemy Number One in Tanzania"
Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....
sioni kama yeye anakosa,tatizo lipo kwa viongozi wetu kumpa mwanya na kubariki upumbavu anaotufanyia...
Taifa zima limefahamu mpaka leo nani hataki Taifa la Tanzania liende mbele. Kuna mtu mmoja jina lake ni Rostam Aziz. Kila kona ya Taifa la Tanzania tunaona mikono ya Rostam kutengeneza mikataba hewa na kuingiza biashara na makampuni toka nje huku yakijulikana kama ni "investors-wawekezaji" kumbe ni miradi ya Rostam na mafisadi wengine Tanzania. Leo hii tunampa na kumzawadia zawadi ya "Public Enemy Number One in Tanzania"
Miradi mingine ya Rostam ni kulobby na kuwakilisha makampuni ya nje Tanzania kuleta biashara wakati yeye ni mbunge na mfanyakazi wa CCM. Kitu gani au Mtanzania gani anaweza kuwa na kofia nyingi hivi kitaifa? Watanzania lini tutachunguza biashara zote za Rostam/documents zote serikalini/ndani ya CCM na tutamchukulia hatua lini? Kwanini Wanachama wa CCM hasa wa Igunda siku zote wako kimya? Siku zinakuja zake....ataripoti jela tu. Mungu Siku Zote Yupo Upande Wetu.
JM tupatieni list ya Public Enemy wa Tanzania tuwafahamu....
Rostam Aziz ni mtanzania kwa kuzaliwa,amezaliwa mwisi wilayani Igunga wazazi wake walikuwa wanaishi mwisi na kwakweli walikuwa ndio wakombozi wa hicho kijiji gari lao ndilo lililokuwa linawabeba wanakiji wanapoumwa kuwapeleka hospitali ya Nkinga,hao wazazi wake walikuwa na roho nzuri sana na walipendwa sana hapo,walifanikiwa kuwasomesha watoto wao wote nje ya nchi na hivi sasa wanafanya kazi mbalimbali nje ya nchi.Rostam alianza siasa miaka mingi iliyopita,yeye ndiye aliyekuwa anawaweka wabunge wa igunga,alimweka marehemu Charles Kabeho na hatimayake ameingia bungeni mwenyewe,toka ameingia bungeni hajawahi kuchukua posho miaka yote posho yake alikuwa anachukua Prof Kapuya,mke wa Kapuya anatoka mwisi na walisoma na Rostam primary.Rostam ndiye aliyemgharimia Sitta ubunge na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya kumwingiza Sitta uspika wakati huo wakiwa marafiki na pia ndiye mfadhili mkuu wa Lucas Lumambo Seleli aliyekuwa mbunge wa Nzega sasa sijui waligombana nini lakini walikuwa marafiki wakubwa na wamefanya vikao vingi sana nzega nyumbani kwa mkwe wa Rostam Rasul Bakshi.Rostam anapenda hela sana yaani kila penye pesa anapanusa haraka sana,matajiri wote weupe ambao wanataka dili na serikali lazima wapitie kwake vinginevyo anawawekea nongwa.Yeye ni pesa tu na mara nyingi sana huwafadhili kisirisiri hata wagombea wa upinzani mradi tu alinde maslahi ya fedha zake,Mkapa ndiye aliyempa nafasi kubwa za CCM ndiye rafiki yake mkubwa sana huyu Mkwere kamkuta tu na EL ndiye iliyemuitrodyusi kwake,kwa sasa yeye na EL hawaongei kabisa na mkwere walichogombania sijui,Rostam ni tajiri sana na kwa sasa anahamisha mali zake zote,naambiwa na jamaa zake anahama TZ na mwaka 2015 hatakuwepo kabisa, ni kweli kabisa yeye na EL wana mkakati ili EL awe raisi 2015 matayarisho yao ni makubwa sana,mengi ntawaleteeni next time,mie namjua sana tunatoka kijiji kimoja na tumecheza pamoja
Kuzaliwa TZ kunamfanya mtu awe mTZ moja kwa moja hata endapo wazazi wake wote si waTZ?
Ebu tupe uraia wa wazazi wake na namna walivyokuja nchini.
Hili la kuhamisha mali, mwache ahamishe lakini zitarudi tu - kama zilirudi zile pesa za aliyekuwa rais wa Nigeria, itakuwa yeye? Zilirudi za Mobutu sembuse Rostam!
Hili la kwamba sasa haongei na JK, halina ukweli, kama hawaongei ni mkakati wao wa kutu-fool. Haya yote anayoyafanya RA, kama tunakubaliana kuwa anashirikiana na EL, the JK lazima awe anaunga mkono maana EL alishasema yeye na JK urafiki wao si wa kawaida na hauwezi kuvunjika maana hawakukutana barabarani!
Rostam Aziz ni mtanzania kwa kuzaliwa,amezaliwa mwisi wilayani Igunga wazazi wake walikuwa wanaishi mwisi na kwakweli walikuwa ndio wakombozi wa hicho kijiji gari lao ndilo lililokuwa linawabeba wanakiji wanapoumwa kuwapeleka hospitali ya Nkinga,hao wazazi wake walikuwa na roho nzuri sana na walipendwa sana hapo,walifanikiwa kuwasomesha watoto wao wote nje ya nchi na hivi sasa wanafanya kazi mbalimbali nje ya nchi.Rostam alianza siasa miaka mingi iliyopita,yeye ndiye aliyekuwa anawaweka wabunge wa igunga,alimweka marehemu Charles Kabeho na hatimayake ameingia bungeni mwenyewe,toka ameingia bungeni hajawahi kuchukua posho miaka yote posho yake alikuwa anachukua Prof Kapuya,mke wa Kapuya anatoka mwisi na walisoma na Rostam primary.Rostam ndiye aliyemgharimia Sitta ubunge na ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa Kamati ya kumwingiza Sitta uspika wakati huo wakiwa marafiki na pia ndiye mfadhili mkuu wa Lucas Lumambo Seleli aliyekuwa mbunge wa Nzega sasa sijui waligombana nini lakini walikuwa marafiki wakubwa na wamefanya vikao vingi sana nzega nyumbani kwa mkwe wa Rostam Rasul Bakshi.Rostam anapenda hela sana yaani kila penye pesa anapanusa haraka sana,matajiri wote weupe ambao wanataka dili na serikali lazima wapitie kwake vinginevyo anawawekea nongwa.Yeye ni pesa tu na mara nyingi sana huwafadhili kisirisiri hata wagombea wa upinzani mradi tu alinde maslahi ya fedha zake,Mkapa ndiye aliyempa nafasi kubwa za CCM ndiye rafiki yake mkubwa sana huyu Mkwere kamkuta tu na EL ndiye iliyemuitrodyusi kwake,kwa sasa yeye na EL hawaongei kabisa na mkwere walichogombania sijui,Rostam ni tajiri sana na kwa sasa anahamisha mali zake zote,naambiwa na jamaa zake anahama TZ na mwaka 2015 hatakuwepo kabisa, ni kweli kabisa yeye na EL wana mkakati ili EL awe raisi 2015 matayarisho yao ni makubwa sana,mengi ntawaleteeni next time,mie namjua sana tunatoka kijiji kimoja na tumecheza pamoja