PUBLIC RELATIONS: Waziri Kabudi alikosea kuikana kauli yake juu ya kifo cha Azory

mbona sasa ishu nyepesi sn isiyohitaji maelezo mengi ya kuhofia kutukanwa
 
mbona sasa ishu nyepesi sn isiyohitaji maelezo mengi ya kuhofia kutukanwa
Ninahofia kutukanwa kwa maana siku hizi JF imevamiwa na vijana wengi wenye tatizo la malezi mabovu huko makwao. Tena hili jukwaa la siasa ndio wamejaa sana.
 
Ninahofia kutukanwa kwa maana siku hizi JF imevamiwa na vijana wengi wenye tatizo la malezi mabovu huko makwao. Tena hili jukwaa la siasa ndio wamejaa sana.
kwann unawaza vijana wenye malezi mabovu ukashindwa kutafakari wazeee wamekuwa wanafiki zaidi,mfano paschal wa juzi ndo paschal wa leo?so tatizo lipo kubwa af kotekote
 
kwann unawaza vijana wenye malezi mabovu ukashindwa kutafakari wazeee wamekuwa wanafiki zaidi,mfano paschal wa juzi ndo paschal wa leo?so tatizo lipo kubwa af kotekote
Hao wazee wanafiki mimi siwajui mkuu
 
Rubbish. Professor Palamagamba is right to speak the truth. Azorygwanda alipotea Kibitilindi lakini hatujui alipoteaje but we can make a good shrewed guess. Who was he? A journalist, not "proper" journalist but a freelance, not much better than a petty informer. He was working for Kenyan newspapers, kazi yake kubwa ilikuwa breaking news. We assume he was being paid well for his scoops as they call them. Who knows, labda majambazi waligutu au walihisi anawatibulia mipango yao breaking news kuzitoa prematurely?

One more thing: breakingnews ilikuwa magazeti ya Kenya tu, si ya Tanzania, hata ya Kubenea nduhu. Pili, zilikuwa breaking news tu kama polisi au kada wa CCM kanyongwa au kachinjwa porini na magaidii su kituo cha polisi kimevamiwa. You must remember that Kibitilindi kilikuwa kitovu cha magaidi, walikimbizwa Mombasa wakaenda Tanga wakaenda Sitakisheri, mhamsishaji wao akiwa ni kikundi cha Uamsho toka Zanzibar.

Walikamatwamatwa wakakimbilia Kibitilindi kwa Azorigwanda, baadaye wamekimbilia Msumbiji. Kama unatafuta ukweli waulize watu watatu: 1. Magazeti ya Kenya; 2. Chadema (walisema Bungeni kuwa CCM wenyewe wamejitakua); 3, wa tatu waulize Uamsho kupitia ACT wazalendo (walipofukuzwa CUF na lilipumba walihamua huko) ndiyo watetezi wao.

Jiulize: Kibitilindi hakuna mtu wa CUF au ACT au Chadema aliyeuliwa na magaidi. You don't have to be a Policeman to see it is an organised racket for political ends.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…