Public Servant kukataa uteuzi wa Rais, not only embarrassment, but also insubordination of the Highest Order! They deserve summary dismissals

Public Servant kukataa uteuzi wa Rais, not only embarrassment, but also insubordination of the Highest Order! They deserve summary dismissals

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!

Naomba kukiri, nimekuwa inspired na motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Maajabu tuna Viongozi wanoumia, kisa Aloteuliwa, hataki uteuzi wenyewe !!.

Yaan Tuna Viongozi ambao bado Wana Ile mentality ya kikoloni.

Hii Nchi Sijui Imelaaniwa na nani.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.

Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!

Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!

Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.

Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!

Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!

Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!

Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!

Paskali
 
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao,
Katika utumishi wa umma kuna nafasi ya kukubali au kukataa cheo/teuzi/daraja kwa barua. Ni haki ya mtumishi ndo maana unatakiwa ukipewa cheo ukikubali kimaandiahi ndani ya miezi sita!

Acha ukasuku mzee unajidhalilisha.
 
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!.

Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu

Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.

Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!.

Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!.

Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.

Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao


.Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold!, alimkatalia rais wa nchi hilo jambo!, na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!.

Paskali
Hayo yote ni matokeo ya katiba mbovu yenye kulimbikiza madaraka kwa mtu mmoja.
 
Kwamba uache mshahara wa kudumu urud kwenye kazi ya siasa isiyo na uhakika

Mkiambiwa wakuu wa wilaya na mikoa ni matokeo ya katiba mbovu muwe mnaelewa.

Na wewe acha kujipendekeza kusiko na sababu... aliesema kukataa teuzi za kisiasa ni insubordination nani, kwamba hakuna mwingine wa kuifanya au ni tabia ya u snitch kutaka wenzako waharibikiwe
 
Katika utumishi wa umma kuna nafasi ya kukubali au kukataa cheo/teuzi/daraja kwa barua. Ni haki ya mtumishi ndo maana unatakiwa ukipewa cheo ukikubali kimaandiahi ndani ya miezi sita!

Acha ukasuku mzee unajidhalilisha.

Nilitaka kumkumbusha tu kua hata awamu iliyopita kuna mtu aliteuliwa ukuu wa wilaya ila akakataaa uteuzi. Nachojua kuna a polite way ya kujibu kama vile kuandika kwa aliye kuteua “nashukuru kwa uteuzi ila nasikitika kua siko tayari kwa majukumu hayo kwa sababu abcd…. Ndiyo haki.

Mkuu pascal labda utuambie kama kisheria hakuna clause ya kumpa haki ya mteuliwa kukataa uteuzi, maana umejikita kwenye upande wa mteuliwa aliyekataa kuonekana kama aliye kiuka.
 
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!.

Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu

Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.

Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!.

Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!.

Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.

Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!.

Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time!, akatupwa mashenzini!. Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!.

Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!.

Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold!, alimkatalia rais wa nchi hilo jambo!, na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!.

Paskali
Huyo mteuliwa uliomuongelea katika paragraph ya mwisho alifanyajwe?
 
Mbona wnahikumiwa sana??
Vipi kama walikataa Kwa kumuandika barua raisi??

Je nikosa kukataa kazi uliyeteuliwa....ikiwa huwezi kuifanya?

Je kabla ya teuzi mkuu aliwataatifu kbla ya kuwatangaza???

Vipi kama mhusika hawezi kuifanya kukataa ni kosa?
 
Nilitaka kumkumbusha tu kua hata awamu iliyopita kuna mtu aliteuliwa ukuu wa wilaya ila akakataaa uteuzi. Nachojua kuna a polite way ya kujibu kama vile kuandika kwa aliye kuteua “nashukuru kwa uteuzi ila nasikitika kua siko tayari kwa majukumu hayo kwa sababu abcd…. Ndiyo haki.


Mkuu pascal labda utuambie kama kisheria hakuna clause ya kumpa haki ya mteuliwa kukataa uteuzi, maana umejikita kwenye upande wa mteuliwa aliyekataa kuonekana kama aliye kiuka.
Mfano kama huwezi utakubali ili keshonuje udhalilishwe? Ni haki ya mtumishi kukubali ama kukataa cheo atakachopewa. Ni sheria na kanuni za utumishi zinaelekeza hivyo.
 
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!.

Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu

Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.

Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!.

Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!.

Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.

Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!.

Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time!, akatupwa mashenzini!. Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!.

Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!.

Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold!, alimkatalia rais wa nchi hilo jambo!, na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!.

Paskali
Nadhani mtu awe na haki ya kukubali na kukataa, unamteau mtu wakati yupo kwenye ajira yake
 
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!.

Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu

Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.

Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!.

Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!.

Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.

Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!.

Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time!, akatupwa mashenzini!. Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!.

Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!.

Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold!, alimkatalia rais wa nchi hilo jambo!, na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!.

Paskali
Kila mtu ana ndoto zake, malengo na maono yake. Hilo swala kwamba nikiteuliwa lazima nikubali siyo sahihi hata kidogo. Na kukataa ni haki ya msingi kwa mtu yeyote. Mlishafanya raisi ni MUNGU kwamba unakuwa hauna free will kisa ni rahisi. Tubadilikee. Awamu iliyopita kuna mtu alikataa kutokana na career yake.
 
Msikuze mambo watanzania kwani Rais si ni mtendaji mkuu wa nchi kwa niaba ya wananchi, sasa kama akimteua mwananchi na mwananchi akasema hapana kuna ubaya gani ? si wapo wengine kibao anawateua ku replace position.

Kwa hiyo mnataka kusema hata kujiuzulu kama hujakubaliana na utendaji wa mteuzi wako (Rais) nalo ni kosa? haya yote yanatokana na uwoga, nchi imejaa uwoga - Rais anapogeuka Mungu mtu.

Si lazima na haijaandikwa popote kwamba kukataa uteuzi wa Rais ni kumdhalilisha yeye na taasisi yake ya uteuzi kwa ujumla - hii dhana ni potofu.
 
Not Only Embarrassment, but also Insubordination of the Highest Order!. They Deserves Summary Dismissals!.
Inajulikana na inaeleweka kwamba kwa wabongo wengi ung'eng'e haupandi...sasa Pascal Mayalla kama ungetumia tu Kiswahili, ungepungukiwa nini?

Hata hivyo swali kwako...je Bunge letu, nalo lina mamlaka ya kumwajibisha Rais ama Rais wa Tanzania ni untouchable?

Je Rais wa Tanzania naye ni ALFA na OMEGA na hawezi kupingwa? Je Mahakama yetu inaweza kutengua maagizo ya Rais kuwa yanakiuka Katiba?

Katika taifa letu hili la Tanzania, tunapoongelea demokrasia, ni kwamba Rais yuko juu ya Katiba? Je Rais wetu ni dikteta?
 
Back
Top Bottom