Ni nashangaa watu wanasema ukikataa eti sijui ni kosa,Cheo kinaendana na uwezo wa mtu kukitumikia,sasa kama siwezi nikubali tu kwa kumfurahisha mtu?
Halafu kumbuka huyu aliyekataa anatoka kuwa mwalimu anaenda kwenye nafasi ya kisiasa kabisa,ingekuwa anaenda wizarani kusimamia elimu labda tungesema mengine,mtu unaenda kwenye siasa kabisa ambayo haina uhusiano na ualimu,Kibaya zaidi unakuwa Chawa wa CCM.
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...
Tuendelee kuwaza na kuangalia tofauti ili likija kupita hili basi kama jamii liwe limetufaidisha kwa kuingia zama mpya.
Katika kuwaza tofauti, mimi silioni hili kama ni insubordination kwa namna yoyote ile.
Haiwezekani iwe hivyo sababu mtu ana hiari ya kukataa au kuukubali uteuzi kwa sababu aonazo zinafaa.
Kulazimisha kwamba ni lazima Mtumishi wa umma akubali teuzi au chochote atakachoelekezwa, huko ni kuwageuza watumishi wa umma kuwa mateka.
Watu huwa na sababu zao hivyo hupelekea kukataa nafasi hata zile zilizo ndani ya taaluma zao.
Waalimu au watumishi wa umma wasichukuliwe kama askari, hao (askari) ndiyo wakikataa unaweza ukajenga hoja kama ulizozijenga, lakini siyo hawa.
Tena hawa ilipaswa waandikiwe barua ya kuombwa kupokea uteuzi, siyo wanakutana tu na manyotanyota huko mitandaoni
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...
Thread title iko biased, huu ni uandishi wa kishabiki, kujipendekeza, wakichawa, there is always a reason to say no or yes with freedom. Ungejisemea kuwa mlio tayari kutumikia ukuu wa wilaya mpo mamlaka iwaone. Utii na unyenyekevu hata katika kukataa jambo unaweza kuonekana na wengine huwa katika ugonjwa au majukumu na kuwasiliana na Mamlaka za karibu kmya kmya.
Tuendelee kuwaza na kuangalia tofauti ili likija kupita hili basi kama jamii liwe limetufaidisha kwa kuingia zama mpya.
Katika kuwaza tofauti, mimi silioni hili kama ni insubordination kwa namna yoyote ile.
Haiwezekani iwe hivyo sababu mtu ana hiari ya kukataa au kuukubali uteuzi kwa sababu aonazo zinafaa.
Kulazimisha kwamba ni lazima Mtumishi wa umma akubali teuzi au chochote atakachoelekezwa, huko ni kuwageuza watumishi wa umma kuwa mateka.
Watu huwa na sababu zao hivyo hupelekea kukataa nafasi hata zile zilizo ndani ya taaluma zao.
Waalimu au watumishi wa umma wasichukuliwe kama askari, hao (askari) ndiyo wakikataa unaweza ukajenga hoja kama ulizozijenga, lakini siyo hawa.
Tena hawa ilipaswa waandikiwe barua ya kuombwa kupokea uteuzi, siyo wanakutana tu na manyotanyota huko mitandaoni
Hiki unachoongea kingekuwa na mashiko kama aliyekuteua ni kiongozi wa idara unayofanyia kazi
Lakini hapa ni swala la Rais na ambaye ni mkuu wa nchi.kuukataa uteuzi wake haina tofauti na kwamba amekutuma kwenda kufanya uwakilishi wake mahali na ukakaidi kutumwa.
Sio kila mtu anapenda kuwa croock wengine wako happy na maisha yao wewe utaanza vipi kumteua mtu bila kumpa taarifa kabla? nafasi zote za kuteuliwa ni kuuza uhuru wako na kuishi maisha yako kulamba viatu vya walio juu yako Shame
Hiki unachoongea kingekuwa na mashiko kama aliyekuteua ni kiongozi wa idara unayofanyia kazi
Lakini hapa ni swala la Rais na ambaye ni mkuu wa nchi.kuukataa uteuzi wake haina tofauti na kwamba amekutuma kwenda kufanya uwakilishi wake mahali na ukakaidi kutumwa.
Musilazimishe kumfanya mkuu wa nchi ni li dude fulani la kutisha ambalo maamuzi yake hayapaswi kupingwa.
Hoja inarudi palepale, hiari ya mteuliwa kukubali au kukataa ni lazima iheshimiwe, siyo mateka yule.
Kumbuka, uteuzi huo unamtoa kabisa kwenye eneo lake la kitaaluma. Wengine hawawezani na siasa.
Hata wateuliwa wa hizo nafasi wakiangalia majukumu Ya hizo nafasi anaona wanakwenda kuwepo tu ofisini huku maisha yake aki9na ni kama vile yamesimama
Mi naona ingekuwa kosa kubwa sana kukataa huo uteuzi endapo wateuliwa wangekuwa ndiyo pekee wanaujuzi na hiyo nafasi,lakini kama nafasi yenyewe haihitaji hata ujuzi na watu wapo wengi sana wenye uwezo na wanahitaji hizo nafasi sasa wao wakikataa kosa lipo wapi hapo!
Kwamba uache mshahara wa kudumu urud kwenye kazi ya siasa isiyo na uhakika
Mkiambiwa wakuu wa wilaya na mikoa ni matokeo ya katiba mbovu muwe mnaelewa.
Na wewe acha kujipendekeza kusiko na sababu... aliesema kukataa teuzi za kisiasa ni insubordination nani, kwamba hakuna mwingine wa kuifanya au ni tabia ya u snitch kutaka wenzako waharibikiwe
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Paskali, sikubaliani na wewe asilani. Hata kama ni public servant si busara kumkurupusha kwa kitu ambacho hakutarajia. Hata kama siyo kupewa advance notice ya uteuzi angalau wangepewa muda wa kujiandaa kwenda kuripoti kituo kipya cha kazi hivyo kuweza ku-hand over shughuli zao na kuziacha familia zao salama. Kweli mfumo wetu wa utawala unahitaji kufumuliwa.
Hiki unachoongea kingekuwa na mashiko kama aliyekuteua ni kiongozi wa idara unayofanyia kazi
Lakini hapa ni swala la Rais na ambaye ni mkuu wa nchi.kuukataa uteuzi wake haina tofauti na kwamba amekutuma kwenda kufanya uwakilishi wake mahali na ukakaidi kutumwa.
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...
Paskali, sikubaliani na wewe asilani. Hata kama ni public servant si busara kumkurupusha kwa kitu ambacho hakutarajia. Hata kama siyo kupewa advance notice ya uteuzi angalau wangepewa muda wa kujiandaa kwenda kuripoti kituo kipya cha kazi hivyo kuweza ku-hand over shughuli zao na kuziacha familia zao salama. Kweli mfumo wetu wa utawala unahitaji kufumuliwa.
Mkuu umeongea vema sana, haya haya matanzania ndiyo yaliofurahia baadhi ya wakuu wa wilaya kutengeliwa, mijitu ya ajabu mbona haijashirkiana kulalamika Rais kutengua wakuu wa wilaya, unasomaje sheria na uwe na mindset ya kifalme na kidikteta. Hii hali ni hatari sana
Tatizo la jukwaa hili wachangiaji wengi wamekuwa na mihemko kuliko weledi.......tuchangie mada Kwa kuzingatia weledi na hoja za msingi kama watu wazima waliotoa tongo tongo.......na sio kumshambulia mtoa mada..........
Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.