Ni nashangaa watu wanasema ukikataa eti sijui ni kosa,Cheo kinaendana na uwezo wa mtu kukitumikia,sasa kama siwezi nikubali tu kwa kumfurahisha mtu?WENGI HAWAJUI HIKI KUWA MTUMISHI ANAPONDA CHEO ANATAKIWA KUANDIKA BARUA YA KUKUBALI AU KUKATAA CHEO AU DARAJA JIPYA
Tuendelee kuwaza na kuangalia tofauti ili likija kupita hili basi kama jamii liwe limetufaidisha kwa kuingia zama mpya.Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
PaskaliJe, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...www.jamiiforums.com
Thread title iko biased, huu ni uandishi wa kishabiki, kujipendekeza, wakichawa, there is always a reason to say no or yes with freedom. Ungejisemea kuwa mlio tayari kutumikia ukuu wa wilaya mpo mamlaka iwaone. Utii na unyenyekevu hata katika kukataa jambo unaweza kuonekana na wengine huwa katika ugonjwa au majukumu na kuwasiliana na Mamlaka za karibu kmya kmya.Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
PaskaliJe, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...www.jamiiforums.com
Hiki unachoongea kingekuwa na mashiko kama aliyekuteua ni kiongozi wa idara unayofanyia kaziTuendelee kuwaza na kuangalia tofauti ili likija kupita hili basi kama jamii liwe limetufaidisha kwa kuingia zama mpya.
Katika kuwaza tofauti, mimi silioni hili kama ni insubordination kwa namna yoyote ile.
Haiwezekani iwe hivyo sababu mtu ana hiari ya kukataa au kuukubali uteuzi kwa sababu aonazo zinafaa.
Kulazimisha kwamba ni lazima Mtumishi wa umma akubali teuzi au chochote atakachoelekezwa, huko ni kuwageuza watumishi wa umma kuwa mateka.
Watu huwa na sababu zao hivyo hupelekea kukataa nafasi hata zile zilizo ndani ya taaluma zao.
Waalimu au watumishi wa umma wasichukuliwe kama askari, hao (askari) ndiyo wakikataa unaweza ukajenga hoja kama ulizozijenga, lakini siyo hawa.
Tena hawa ilipaswa waandikiwe barua ya kuombwa kupokea uteuzi, siyo wanakutana tu na manyotanyota huko mitandaoni
Musilazimishe kumfanya mkuu wa nchi ni li dude fulani la kutisha ambalo maamuzi yake hayapaswi kupingwa.Hiki unachoongea kingekuwa na mashiko kama aliyekuteua ni kiongozi wa idara unayofanyia kazi
Lakini hapa ni swala la Rais na ambaye ni mkuu wa nchi.kuukataa uteuzi wake haina tofauti na kwamba amekutuma kwenda kufanya uwakilishi wake mahali na ukakaidi kutumwa.
Jamaa ni snitch sana, anawachongea, huyu tungekuwa tunaishi naye kitaa, kitambo angeshakula bisibisi la koromeoKwamba uache mshahara wa kudumu urud kwenye kazi ya siasa isiyo na uhakika
Mkiambiwa wakuu wa wilaya na mikoa ni matokeo ya katiba mbovu muwe mnaelewa.
Na wewe acha kujipendekeza kusiko na sababu... aliesema kukataa teuzi za kisiasa ni insubordination nani, kwamba hakuna mwingine wa kuifanya au ni tabia ya u snitch kutaka wenzako waharibikiwe
Paskali, sikubaliani na wewe asilani. Hata kama ni public servant si busara kumkurupusha kwa kitu ambacho hakutarajia. Hata kama siyo kupewa advance notice ya uteuzi angalau wangepewa muda wa kujiandaa kwenda kuripoti kituo kipya cha kazi hivyo kuweza ku-hand over shughuli zao na kuziacha familia zao salama. Kweli mfumo wetu wa utawala unahitaji kufumuliwa.Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Masalia ya watumwa nchii hii ni mengi katiba inayomlinda raia ndio inayomlinda Rais, uhuru na haki ni msingi wa maisha.Hiki unachoongea kingekuwa na mashiko kama aliyekuteua ni kiongozi wa idara unayofanyia kazi
Lakini hapa ni swala la Rais na ambaye ni mkuu wa nchi.kuukataa uteuzi wake haina tofauti na kwamba amekutuma kwenda kufanya uwakilishi wake mahali na ukakaidi kutumwa.
Nashukuru kwa kutujuzaKitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
PaskaliJe, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...www.jamiiforums.com
Mkuu umeongea vema sana, haya haya matanzania ndiyo yaliofurahia baadhi ya wakuu wa wilaya kutengeliwa, mijitu ya ajabu mbona haijashirkiana kulalamika Rais kutengua wakuu wa wilaya, unasomaje sheria na uwe na mindset ya kifalme na kidikteta. Hii hali ni hatari sanaPaskali, sikubaliani na wewe asilani. Hata kama ni public servant si busara kumkurupusha kwa kitu ambacho hakutarajia. Hata kama siyo kupewa advance notice ya uteuzi angalau wangepewa muda wa kujiandaa kwenda kuripoti kituo kipya cha kazi hivyo kuweza ku-hand over shughuli zao na kuziacha familia zao salama. Kweli mfumo wetu wa utawala unahitaji kufumuliwa.
Kwa nini kulazimishana kazi? Kwani hao walioteuliwa ndio pekee wenye uwezo wa kazi hiyo?Kitendo cha public servant kukataa uteuzi wa Rais wa nchi, it's not only ni kitendo cha kumu embarrass the appointing authority ambaye ni rais wa nchi, but also ni kitendo cha Insubordination of the highest order or degrees!. Wahusika hao, they deserves summary dismissals with no right to appeal!
Naomba kukiri, nimekuwa motivated kupandisha bandiko hili kutokana na mchango wa mwana JF huyu.
Mkuu Carlos The Jackal , kwanza post za ma DC ni muendelezo tuu wa the colonial legacy, kwa mfumo wetu, they are redundant post just a wasted of money, time and resources. Hivyo hao viongozi wetu kuwa na colonial mentality kwenye colonial legacy, they are very right.
Kwenye presidential appointments kuna wateuliwa wa aina mbili, 1. Wateuliwa kutoka public service, hawa ni watumishi wa umma, mtu kutoka public service akiteuliwa nafasi yoyote, hawezi kukataa uteuzi. Rais wa JMT ndie mwajiri wa public service yote, ukiteuliwa na rais na kukataa uteuzi, ni kosa kubwa linaloitwa insubordination, adhabu yake ni summary dismissals with no right to appeal!
Hivyo mtumishi wa umma anapoteuliwa na rais kushika wadhifa wowote, ni lazima atekeleze au a hand over resignation letter yake na kupisha kuendelea na mambo yake. Hivyo hao waalimu wawili waliokataa uteuzi wa rais, kama nafasi zao kwenye chama cha waalimu ni ajira rasmi, na baada ya kupata nafasi hizo, walijiuzulu ualimu, then they are safe kukataa uteuzi wa something less than what they are, lakini kama nafasi zao sio ajira rasmi ni vyao tuu, lakini bado ni waajiriwa wa utumishi wa umma, kukataa uteuzi wa Mkuu wa nchi ni insubordination of the highest nature and they are finished!
Kuna uteuzi wa rais kwa watu kutoka private sector, na independent organisations vikiwemo trade unions na professional associations, to avoid unnecessary embarrassment kumu embarrass the appointing authority, mtu kabla hujateuliwa unaulizwa kama uko tayari ndipo jina linapelekwa, unateuliwa.
Wako watu wengi tuu huwa wanaulizwa na wana kataa. Na kwa wasiojua, hii sio mara ya kwanza kwa watu kukataa uteuzi wa u DC, General Ulimwengu aliwahi kuteuliwa DC, sikumbuki vizuri kama ni aliripoti akaona kuko hovyo, akaandika barua kujiuzulu na kuwaachia u DC wao!
Nakumbuka mwalimu wangu mmoja wa UDSM, aliomba kugombea ubunge mahali kupitia CCM, hakupitishwa ila akateuliwa DC!. Lecture huyo alikuwa ana miradi yake ya maana tuu hapa mjini inayohitaji a close supervision and makes millions!, aliukubali huo u DC in hope angeteuliwa next time! Akatupwa mashenzini! Miradi yake ilikufa, second round ilipofika, akatoswa tena!, akajirudia zake chuo kuendelea kupandisha!
Jielimishe zaidi kuhusu presidential appointment powers, rais ni dual personality rais ni mtu hivyo mambo mengine rais anakataliwa tuu kama mtu mwingine yeyote anavyo kataliwa, ila rais kama presidential institution, hawezi kukataliwa kitu, ukimkatalia, unakataliwa!
Nakikumbuka kisa kimoja cha rais fulani mpenda mambo fulani, akamuita mteuliwa fulani akambomu jambo fulani la binafsi, mteuliwa huyo alikuwa very bold! Alimkatalia rais wa nchi hilo jambo na akaondoka, hivyo rais huyo alikasirika sana, akatumia rungu lake ya presidential institution, akanyanyua simu kutoa maelekezo fulani mahali, yule mtumishi akashughulikiwa!
PaskaliJe, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi hizi hazihojiwi popote na yeyote!
Wanabodi, Bandiko hili ni kufuatia watu fulani humu wenye viherehere na vimbelembele kutaka kuhoji kila kitu sasa wameingilia kuhoji uwezo wa serikali ya JPM kufanya vetting kabla ya teuzi fulani fulani, kumbe hawajui kuwa now days vetting is nothing!. Kinachoangaliwa sasa ni uwezo wa utendaji...www.jamiiforums.com
Koma. Unapata wapi ujasiri wa kumlazimisha mtu kufanya kazi asiyoitaka? Au unataka kulazimisha udikteta tena?Tena ni waalim, taaluma inayozaa mapooza.
Kumbe hata wale watoto wanaojibu matusi kwenye mitihani yao hawana kosa, ujinga unaanzia kwa waalim wao.
Huo ujasiri wa kukataa amri ya mkuu wa nchi wameutoa wapi?