Pugu Boys Secondary School a.k.a Pond boys

Duh long time! Mabagala anakufukuza halafu anakupita then anakwambia mtoto mtoto geuza mwenyewe urudi shule. Alikuwa noma sana na kitambi chake cha kiaina!
Wale wa PCM na PCB wa miaka ya 1990 - 2000 mnamkumbuka Mkandawile?
 
Daahh!!

Pond boys wa miaka ya karibuni wapo, mbona kimya sana. Naona mq brother tu ndio wametia neno hapa
 
Shikamoo mkuu
 
Duh long time! Mabagala anakufukuza halafu anakupita then anakwambia mtoto mtoto geuza mwenyewe urudi shule. Alikuwa noma sana na kitambi chake cha kiaina!
Wale wa PCM na PCB wa miaka ya 1990 - 2000 mnamkumbuka Mkandawile?
Mm nilikuwa EGM lkn namkumbuka sana Mkandawille
 
Kiongozi tulikuwa pamoja mwaka huo hivi unakumbuka unyama aliotufanyia Angelo kwenye practical ya chemistry? Siwezi msahau. Buberwa alikuwa mtu wangu wa karibu sana
 
Achana na mabagara asee, Nzoi, Angelo, Rwezaula,Nampanda..., pugu ilikuwa raha saana asee
 
Nilikuwa O level 1982-85,Maji yalijuwa shida,Gongs Maji ya kunywa,Pond kuoga,siku nzima zamu ya kusomba Maji no vipindi,Second master Swai,Mabagala ndiyo young tu ,Head Mosha,Mkwizu,Wajimila,Mungu,Mukulu duuh long time ,Class mate wa mwakahuo Mni PM, mfano Robert Luseba,Julius Mkodo, nikiishi Maendeleo 1.
 
Not Mungu Mwl Msungu bingwa wa kiswahili na Geography RIP.
 

Napakumbuka sana mahala hapa. Japo palikuwa na changamoto za maji, walimu na purukushani za hapa na pale kama migomo na maandamano hadi Wizara ya elimu enzi za Mungai (PCB class 2001-2003) lakini all in all kwa kusoma pako poa sana
 
Mi pamoja na adha zote za maji, fungus e.t.c wala sikuwa naziona maana hii shule niliipendea uhuru wa kutosha.. Yaan kwanza haina geti wala fence...
Basi mi ikifika ijumaa sa 6 wakati waislam wanaenda kusali mimi huyoo town hadi j3 morning nakuja naingia bwenini Azimio natinga uniform nazama class... Daah nikikumbuka duuh rahaa sana..

Na kwa mwendo huu six nilitoka na ONE nzuri iliyonipeleka UDSM fresh..
Wengine tukiwekwa huru ndio tuna-perform..
 
Madogo mwaka huu wametetea chama langu la msuli mrefu(PCB) vizuri sana, kutoa DIV I-10 za PCB sio kazi rahisi asee.

Big up kwa madogo, karibuni sana kwenye Afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…