Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu angalia Al Jazeera siku mojamoja utapata mwanga kidogoHata wakat inaanza mlisema ikifika mwezi hali itakua ngumu
Usilolijua tu nikwamba hali za wapalestine ni ngumu sana tokea pale mwaka 1948 mazayuni walipowavamia nawakawapora ardhi zao
Hamas kamatieni hapo hapo
Unalishwa uharo na wewe unakula tu😂Hawa vilaza watajulia wapi plan ya jews. Wangekuwa wana akili ya kufikiri kidogo wangejiuliza kwanini vita inaendelea Gaza lakin kule West Bank masetler washafukuza wapalestina na kuwaua na kuchukua maeneo yao.
Uharo gan Wakat watu wamekalia nchi yao mpaka muda huu Hamas wamechukua eneo lenye ukubwa gan zaid ya kufa tuUnalishwa uharo na wewe unakula tu😂
Masikini kuwadi wa Hamas FaizaFoxy sijuwi yu na hali gani huko motoni aliko.Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.
Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.
Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.
View attachment 2842501
Hamas wanaangamia, viongozi wao na familia zao wapo Qatar, huu ni uhuni.
Kwanini viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wapo Qatar wanaishi maisha ya kifahari badala ya kurudi Gaza ?
Utajiri wake wewe wa nini au unataka uolewe viongozi wa Hamas wote matajiri mabasha zenu wameshindwa vita wanahoji utajiri Qatar ndiyo anatoa pesa hizo wewe upo Kimara bucha unaumia.Huyo Ismaili Haniyeh ana utajiri wa dollar Bill 4. Anakula maisha Qatar kwa gharama ya damu ya wapalestina wasiokua na hatia.
![]()
Hamas leaders worth staggering $11B revel in luxury — while Gaza’s people suffer
Three of the terror group’s most senior figures are able fly private and relax in safety in the tiny emirate — a key US ally — while enjoying an $11bn fortune between them.nypost.com
Israel wanafanya kosa kubwa sana kuwabakiza hai, gharama ya kuwahudumia ni kubwa kuliko kuwaua.Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.
Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.
Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.
View attachment 2842501
Utajiri wake unatokana na damu za Wapalestina.Utajiri wake wewe wa nini au unataka uolewe viongozi wa Hamas wote matajiri mabasha zenu wameshindwa vita wanahoji utajiri Qatar ndiyo anatoa pesa hizo wewe upo Kimara bucha unaumia.
Hamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.
Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.
Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.
View attachment 2842501
Utajiri wake unatokana na damu za Wapalestina.
anachukua misaada za magaidi wa kislamu dunia nzima nakusema anenda kusaidia gaza badala yake anaishi 5-star hotel na wanawake wanaojiuza huku akiangalia vita kupitia al jazeera.
#Pathetic.
Death toll as of today is Israel 1,147 vs Palestine 18,787 halafu jitu lisilo na akili limemezeshwa juzuu linashangiliaEndeleeni kujidanganya kuwa lengo kuu la wayahudi ni kuokoa mateka! Mtastuka kumepambazuka.
Yaani kusoma msijue na picha bado msione?!
Sent using Jamii Forums mobile app
PropagandaHamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.
Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.
Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.
View attachment 2842501
FaizaFoxyHamas wameingia cha kike, Nafasi pekee ya cease fire waiiyopewa wakaivunja na sasa hakuna tena kurudi nyuma, Ni mwendo mdundo.
Haya yote yanaendelea huku viongozi wakuu wa Hamas na familia zao wakiwa salama na kuishi maisha ya kifahari nchini Qatar.
Kumbuka Oct 07,2023 walisherehekea wakati wanachinja watu huko Israel.
View attachment 2842501