Pumzika kwa amani Emsley "Baba T" Smith

Apumzike Kwa Amani. Nakumbuka kila alipopita hapa Posta umachingani kwetu alikuwa lazima atusalimie. Jamaa wengi tulipenda kuongea naye ingawa alitupa sana shida kwa lugha yake hiyo "patois' . Nakumbuka 2016 alipokuwa anatimiza miaka 80, alipita na kutujulisha hilo kila mtu hakuamini kuwa kagonga 80. Actually kamzidi father wangu miaka 10.
Ila makaka wengine walikuwa wanamuona mjivuni yaani sio mtu wa ku_socialize na wengine. Kwani haiingii akilini mtu aliyeishi nchini zaidi ya miaka 30 awe hajui Kiswahili.

Ila miaka kama mitatu iliyopita alikuwa analalamika kuwa uhamiaji hawamtaki hapa nchini hivyo alikuwa amepanga kuhamia Ghana. Sijui iliisha vipi suala hilo. Ni hayo tu.
 
Umehadithiwa habari za uongo
 
Hakua mjivuni alipenda sana watu ila hakua mtu wa kila mtu
 
Mfia dini wew, wew mwenyew unauhakika gani kama yesu ndiye masihi.. au mzungu ndivyo alivyokwambia ivyo
 
Ujinga huu

Kila mtu ana Imani yake
 
Wanamuamini Mungu wa Isaka, Yakobo na Ibrahim, ila wana mchukulia Heil Selassie I kama mtume wa Mungu.
Kama waislam wanavyomchukulia Mohamed na wakristo wanvyomchukulia Yesu.
They are one of twelve tribes of Israel.


Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Baba T lived his entire life showing Love to all people of any walkover, hakuwahi kubagua, May Baba T Gentle Soul rest in Eternal peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…