Pumzika kwa amani Emsley "Baba T" Smith

Angekua anatumika na serikali yoyote ile angejua sana kiswahili vizuri tena mpaka na kizaramo..maana ngekua mtu wa kujichanganya ili apate anachotaka
 
Baba wa Kristo Yakobo alikua na wake wawili hali kadhalika Ibrahim Baba wa imani...tatizo imani za kufosiwa
 
We huna ujualo mlokole uchwara tu kwani JAH!?? ni nani
 
Mara nyingi ukimsalimia kwa Kiswahili atakujibu "salama kaka" kisha fasta anakurudisha katika kilugha chake yaani hata kama ulikuwa unajaribu kumkazia muendelee kuchonga kiswahili lazima akuchomoke. Ni wazi hakuwa comfortable na Kiswahili.
Mmmhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…