Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kukee mboa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukee mboa?
Ukipata muda soma unclassified docs za CIA walizoachia na zilizo leak kuhusu hiyo vita na kilichokuwa kinaendelea OAU, Tanzania, Uganda, Sudan,Kenya, UK , US na Libya kuhusu vita halafu utaelewa chanzo cha hiyo vita. Usiwe unasikiliza tu upande ulioshinda bali pande zote na stakeholders waliohusika. Namsifia sana Nyerere kwenye propaganda alitushika sana Watanzania.Ukweli wa kwako wewe bado uko subjective sana bado hujaweza kufanya utafiti wa kutosha kujua chanzo halisi cha vita ile. Hili tatizo linaonekana kwa vijana wengi wasomi wa leo wamekuwa manipulated sana na either na conspiracies au udini, au intellectual arrogance. Ukitaka kuufahamu ukweli ingia field usifanye research mwenyewe usiokoteze uchafu wa mtandaoni, waulize maafisa wa jeshi waliopiganisha vita ile, baadhi ya viongozi wa wakati huo, baadhi ya raia wa uganda walioshuudia vita hiyo.
Ni kweli tulitoa political asylum kwa obote na kuna convoy iliyovuka mpaka kupitia mtukula kwenda kufanya sabotage bahati mbaya ikawa eliminate na jeshi la Anga la idd amini.
Mziki unaanzia hapa who start the war first?
Miaka ya ngapi ngapi hiyo?Butrundi Alileta fyoko fyoko sana tu mpakani Brigedia Msuya akaamua kuvuka mpaka kuingia Burundi na kikosi cha makomando8 wa JWTZ hadi ikulu ya Bujumbura bila anri ya raisi baada ya kuona chokochoko zimezidi Askari wa Tanzania kutwa hawalali kisa chokochoko za Burundi mpakan8 akaenda kutaka kuteka Na kumleta Raisi wa Burundi Tanzania.
Raisi wetu ndie alimzuia kuwa ingeleta zahama kimataifa Toka hapo Askari wa Jeshi la Burundi hawajawahi Chezea Tanzania Tena
Choko choko zenye lengo gani?Butrundi Alileta fyoko fyoko sana tu mpakani Brigedia Msuya akaamua kuvuka mpaka kuingia Burundi na kikosi cha makomando8 wa JWTZ hadi ikulu ya Bujumbura bila anri ya raisi baada ya kuona chokochoko zimezidi Askari wa Tanzania kutwa hawalali kisa chokochoko za Burundi mpakan8 akaenda kutaka kuteka Na kumleta Raisi wa Burundi Tanzania.
Raisi wetu ndie alimzuia kuwa ingeleta zahama kimataifa Toka hapo Askari wa Jeshi la Burundi hawajawahi Chezea Tanzania Tena
Sifa za kijinga tuHivi vita ya Uganda imetusaidia nini kama nchi zaidi ya kutuzidishia Umaskini tu
Binafsi huwa sipendi fallacies maana kupata objective information unapaswa kuwa informed na taarifa rasmi na sio fallacies. Kuhusu propaganda ndio medani yenyewe ukisema nyerere alitufungaa tayari umeshachukua upande kwa hiyo utakachokitoa ni maoni yako binafsi. Mzee wangu alikuwa commissioned officer, uganda ameisha baada ya vita.Ukipata muda soma unclassified docs za CIA walizoachia na zilizo leak kuhusu hiyo vita na kilichokuwa kinaendelea OAU, Tanzania, Uganda, Sudan,Kenya, UK , US na Libya kuhusu vita halafu utaelewa chanzo cha hiyo vita. Usiwe unasikiliza tu upande ulioshinda bali pande zote na stakeholders waliohusika. Namsifia sana Nyerere kwenye propaganda alitushika sana Watanzania.
Ufahamu kwamba kuna taarifa nyingi rasmi ambazo zina uwongo ndani? Wewe ni mgeni Tanzania? Sasa wewe Baba yako kuwa commissioned officer inaleta uzito gani hapa? Jifunze kutengeneza hoja bila kuleta hizo story za Baba yangu sijui Mama yangu.Binafsi huwa sipendi fallacies maana kupata objective information unapaswa kuwa informed na taarifa rasmi na sio fallacies. Kuhusu propaganda ndio medani yenyewe ukisema nyerere alitufungaa tayari umeshachukua upande kwa hiyo utakachokitoa ni maoni yako binafsi. Mzee wangu alikuwa commissioned officer, uganda ameisha baada ya vita.
Mimi sijadraw conclusion ya nani kaanzisha vita though mzee wangu alipiganisha combania mstari wa mbele kabisa, Nijaribu kutafuta taarifa ambazo zitabalance na sio kutumia gut feelings katika sehemu ambayo inaitaji utafiti. Ntakupa mfano ukimchukua mtu wa kagera ambae alishuhudia kipindi majeshi ya amini yanafanya uharifu baada ya kuiikaria ardhi yetu atakuambia kitu tofauti na yule wa uganda mpakani ambae anaeleza jinsi askari wetu walivyoanza kuvurumusha mizinga. Kwa hiyo jua kua mm sio mjinga, siwezi kutumia chanzo kimoja kama sehemu ya kupatia taarifa.Ufahamu kwamba kuna taarifa nyingi rasmi ambazo zina uwongo ndani? Wewe ni mgeni Tanzania? Sasa wewe Baba yako kuwa commissioned officer inaleta uzito gani hapa? Jifunze kutengeneza hoja bila kuleta hizo story za Baba yangu sijui Mama yangu.
Mwaka gani mkuu? Ilikuwaje?Burundi walivyoleta fyokofyoko hawaji.kumsahau huyo
Jeuri yote ya Burundi dhidi ya Tanzania ndie aliizima. Huyo
Alikuwa Mwanajeshi wa Ukweli sio maghumashi
Wewe siyo mjinga lakini siyo mwelewa. Mimi naongelea chanzo cha vita wakati wewe una focus kilichotokea vitani.Mimi sijadraw conclusion ya nani kaanzisha vita though mzee wangu alipiganisha combania mstari wa mbele kabisa, Nijaribu kutafuta taarifa ambazo zitabalance na sio kutumia gut feelings katika sehemu ambayo inaitaji utafiti. Ntakupa mfano ukimchukua mtu wa kagera ambae alishuhudia kipindi majeshi ya amini yanafanya uharifu baada ya kuiikaria ardhi yetu atakuambia kitu tofauti na yule wa uganda mpakani ambae anaeleza jinsi askari wetu walivyoanza kuvurumusha mizinga. Kwa hiyo jua kua mm sio mjinga, siwezi kutumia chanzo kimoja kama sehemu ya kupatia taarifa.
Thibitisha! Huku kwetu aliuawa mipaka OCD mapema kabisa. Walioathiriwa kyaka na Mutukula wapo Hadi sasa wakikusoma hutaeleweka. Ghofu la like kanisa lilopigwa Bomu lipo. Acha hizoooHii ni story iliyokuwa inatolewa na upande wa Serikali yetu lakini kabla ya hapo Nyerere alikuwa anawasaidia wanajeshi wa Obote kuingia Uganda kufanya mapambano kupitia mipaka yetu. Uzuri Amin alikuwa ni mjinga na hajui umuhimu wa International diplomacy mwenzake Nyerere akatengeneza narrative nzuri na iliyouzika kwa dunia na mbaya zaid Amini alikuwa anafanya mauaji Nchi mwake na kuvunja haki nyingi za binadamu. Ukweli utabaki kwamba Nyerere alianzisha ile vita kumtoa Amin.
Hamna mtu amebisha hapa kwamba vita haikutokea. Soma vizuri nilichoandika.Thibitisha! Huku kwetu aliuawa mipaka OCD mapema kabisa. Walioathiriwa kyaka na Mutukula wapo Hadi sasa wakikusoma hutaeleweka. Ghofu la like kanisa lilopigwa Bomu lipo. Acha hizooo
unaweza kuwa rais ikiwa wewe ni raia wa nchi ya kigeni? Ama alikuwa kiongozi wa vikosi vilivyodhibiti nchi tu?Aliongoza utekaji wa Jiji la kampala na kuwa Meya wa Kampala, na pia kama Rais wa Uganda kwa muda wa siku tatu
Fact!ukisema nyerere alitufungaa tayari umeshachukua upande kwa hiyo utakachokitoa ni maoni yako binafs
Mkuu, mengine yanabaki kama siri kapuniAcha utani mkuu, ina maana wewe una miaka 80+? Ama alikuwa classmate wako wapi?
Inaonekana wewe ni intellectually arrogant au hutuki kuelewa maoni ya wenzako. Kuna narrative zinasema kuwa sisi ndio tulianza kurusha makombola kwenda uganda then idd amini akajibu kwa ku annex sehemu ya kagera. Sio fair kudhalauliana katika mambo ya kueleweshana. Nyerere anadai uganda alianza kufanya uchokozi baada ya ndege zake kufanya manuva kwenye Anga Tanzania. Kwa hiyo chanzo cha vita ni debate ambayo itajibiwa na tafitiWewe siyo mjinga lakini siyo mwelewa. Mimi naongelea chanzo cha vita wakati wewe una focus kilichotokea vitani.