Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ndoa tena ni singo maza?😂😂😂😂😂😂
SINGO MAZA NI LAANA
Kuna haka ka kauli pia "Wewe una mambo mengi sana usidhani mimi siwezi kua kama wewe"1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa)
2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la mda tu ila kiporo kitapashwa)
3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza)
4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena)
5. Mimi hua napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume. (Ruuun!!!)
6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako)
Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!!!
Sahihi ni mmoja tu mliyekubaliana na changamoto na mapungufu yenu.sahihi ni mmoja tu kati ya elfu, wengi hawajielewi
Ukimuuliza why company yako unapenda kua na wanaume tu? Wote jibu waga ni moja tu eti "Marafiki wa kiume sio masnitches kama marafiki wa kike na wana msaada mkubwa sana"Mimi hua napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume.
Hii kauli nimeisikia mara nying mno karibu kila mwanamke
Sio ndoa tena ni singo maza?
Naona chama kimekuwa
Ni shida sana [emoji3][emoji3]Ukimuuliza why company yako unapenda kua na wanaume tu? Wote jibu waga ni moja tu eti "Marafiki wa kiume sio masnitches kama marafiki wa kike na wana msaada mkubwa sana"
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana na hayanaga muongozo...
Hapana aisee! Maisha ni zaidi ya nyuzi za jf........hapana mamii, lazima kuna namna huwa mnakuwa disappointed sana na nyuzi za mara kwa mara za humu, sidhani kama mitandao mingine ipo bize na singomamies kama humu....
......ni kweli ila sio wote wenye uwezo wa kulet it be na kuwa not bothered, na pia watu jf ndo entertainment yao 24 hrs wako online wanalike kila koment, so if kwako sio shida then you are lucky, it's good for u.......Hapana aisee! Maisha ni zaidi ya nyuzi za jf.
Ni swala la muda TU bro! UtamuelewaMnawaonea sana lakini ni watu sahihi kama viumbe wengine sema tu labda wengi hawajapata sahihi so quit throwin' shade like that.[emoji28]
Unasahauje Mapinduzi Matukufu?Ahaa nilikuwa sikumbuki🙆
Sawa sawa ndugu.Ni swala la muda TU bro! Utamuelewa