Punguza mazoea ukishaanza kuzisikia hizi kauli kutoka kwa mwanamke wako

Punguza mazoea ukishaanza kuzisikia hizi kauli kutoka kwa mwanamke wako

1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa)

2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la mda tu ila kiporo kitapashwa)

3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza)

4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena)

5. Mimi hua napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume. (Ruuun!!!)

6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako)

Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!!!
Kuna haka ka kauli pia "Wewe una mambo mengi sana usidhani mimi siwezi kua kama wewe"
 
Sio ndoa tena ni singo maza?
7oreq4 (1).jpg
 
.......hapana mamii, lazima kuna namna huwa mnakuwa disappointed sana na nyuzi za mara kwa mara za humu, sidhani kama mitandao mingine ipo bize na singomamies kama humu....
Hapana aisee! Maisha ni zaidi ya nyuzi za jf.
 
Hapana aisee! Maisha ni zaidi ya nyuzi za jf.
......ni kweli ila sio wote wenye uwezo wa kulet it be na kuwa not bothered, na pia watu jf ndo entertainment yao 24 hrs wako online wanalike kila koment, so if kwako sio shida then you are lucky, it's good for u.......
 
Unamaanisha yani uko na mwanamke alafu mnaweka mazungumzo ya kumjadili ex???!! WTF
 
Wakishaachwa na ma ex nao ula kona,wakati mwingine ni kuishi NAO kama unaishi na mgonjwa wa akili.
Thus matajiri huwa wapo bize na pesa na sio mapenzi
 
Back
Top Bottom