Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Dah yule laana alinambia kampan zake ni wanaume na sababu kubwa eti wanaume si wanafki.Thanks God nshapiga chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekesha kazini ndiyo maana.Unasahauje Mapinduzi Matukufu?
Tako?
SijakuelewaKwani hujapa morning glory?
Lakin lazim aliwe fisi sungura hawakai nyumba mojaUkimuuliza why company yako unapenda kua na wanaume tu? Wote jibu waga ni moja tu eti "Marafiki wa kiume sio masnitches kama marafiki wa kike na wana msaada mkubwa sana"
1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa)
2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la mda tu ila kiporo kitapashwa)
3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza)
4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena)
5. Mimi hua napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume. (Ruuun!!!)
6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako)
Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!!!
N A K A Z I A [emoji419][emoji375]Kuchati TU na ex ni kuiweka ndoa yako rehani
Umefanya maamuzi mazuri. Ulikua umekumbatia bomu aisee [emoji23][emoji23]Dah yule laana alinambia kampan zake ni wanaume na sababu kubwa eti wanaume si wanafki.Thanks God nshapiga chini
Nachangia misumari mitatu ili wadau WAKAZIE na nyundo.N A K A Z I A [emoji419][emoji375]
Kuchati TU na ex ni kuiweka ndoa yako rehani
Wanandoa wanapenda uona ujanja shetani akiwajaa kichwaniKwanza ni ujinga Masuala ya kupasha makabichi ni upuuzi
Mimi naonaga hakuna maajabu mapya mtu ushakuwa nae uwezekano wa kuwa pamoja haukuwepo kilamtu Aishi maishayakeWanandoa wanapenda uona ujanja shetani akiwajaa kichwani
Ni rahisi kwa mwanamke mwenye uchumi sio tabuMimi naonaga hakuna maajabu mapya mtu ushakuwa nae uwezekano wa kuwa pamoja haukuwepo kilamtu Aishi maishayake