Punguza mazoea ukishaanza kuzisikia hizi kauli kutoka kwa mwanamke wako

Punguza mazoea ukishaanza kuzisikia hizi kauli kutoka kwa mwanamke wako

Mimi hua napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume.

Hii kauli nimeisikia mara nying mno karibu kila mwanamke
Mke wangu kabla sijamuia alikuwa na Marafiki wa kiume tu. Nilifanya uoelslezi kama ana fumuliwa sikuwahi kupata any evidence.

Wanawake wa hivi ni wachapa kazi na hawana mbambamba kwenye mambo yao.

Akikupenda wewe utafurahi
 
Na mwanamke anaesema

"Mimi ningekua mwanaume, wanawake wangenikoma"

huwa anamaanisha nini?
 
1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa).

2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la muda tu ila kiporo kitapashwa).

3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza).

4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena).

5. Mimi huwa napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume (ruuun!).

6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako).

Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!
Hivi kunawanawake wanayaongea haya mbele ya wanaume zao kweli!!??
 
1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa).

2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la muda tu ila kiporo kitapashwa).

3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza).

4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena).

5. Mimi huwa napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume (ruuun!).

6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako).

Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!
Seen.
 
1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa).

2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la muda tu ila kiporo kitapashwa).

3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza).

4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena).

5. Mimi huwa napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume (ruuun!).

6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako).

Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!
Naam
 
Back
Top Bottom