Punguza mazoea ukishaanza kuzisikia hizi kauli kutoka kwa mwanamke wako

Mimi hua napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume.

Hii kauli nimeisikia mara nying mno karibu kila mwanamke
Mke wangu kabla sijamuia alikuwa na Marafiki wa kiume tu. Nilifanya uoelslezi kama ana fumuliwa sikuwahi kupata any evidence.

Wanawake wa hivi ni wachapa kazi na hawana mbambamba kwenye mambo yao.

Akikupenda wewe utafurahi
 
Na mwanamke anaesema

"Mimi ningekua mwanaume, wanawake wangenikoma"

huwa anamaanisha nini?
 
Hivi kunawanawake wanayaongea haya mbele ya wanaume zao kweli!!??
 
Seen.
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…