Punyeto inavunja ndoa yangu

waongo hao dear
Kuna mdada mmoja tulikuwa saloon akawa anasimulia kuna siku kamkuta mme anapiga nyeto bafuni wakagombana sana.....huwa nawaza hivi kweli nyeto ni ishu??? Mie mbona mwenzangu akiwa na hamu nayo huwa namsaidia kumnyonya chuchu na kumshika pmb anacum fasta tu, najiuliza wanaomind huwa wanamind nini?? Sijawahi kuwaelewa kwakweli
 
Usiache wewe endelea kama kawaida yako asikutishe mtu,piga punyeto hadi ukipita karibu ya sabuni zinavibrate zinajua shemu wao anapita.
 
kwa kweli we endeleza huo ujinga wako na hakika huyo mwanamke kakuvumilia sanaa na kama unampenda kweli achana na huo upuuzo kwa kufuta video,picha, na apps zote zinazoruhusu hizo access za ku upload hizo video na pia acha kuangalia movies zenye maudhui ya mapenzi utakuwa umejiokoa
 
Usiifanye punyeto kuwa ndo sbb, angalia uzito wako na vyakula unavyojula

#KATAA NDOA
#NDOA NI UTAPELI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…