Punyeto inavunja ndoa yangu

Kama upo serious nione pm
 
ulivyoandika tu kuwa mke wako amekukamata mara 100 nimeacha kusoma, nakuambia tu uache utoto au katafute jukwaa la watoto wenzako
 
Weka namba ya mke wak0 ili tumfundishe na yeye kupiga punyet0, akishajua hatodai talaka tena
 

We dada ni muelewa sana
 
Mimi ni kijana wa miaka 28 Nina kil0 93.

Tatizo lako lipo hapaπŸ‘†
 
Ni ugasho wako ndo unavunja ndoa yako ...Sasa unatuandikia 0 sehemu ya o , Mara uandike taraka Yani hujui matumizi ya L na R ,, mwanaume unaandika mala πŸ€” dudu itasimamaje hapo
 
Naona watu wanakusengenya badala ya kukupa mawazo mbadala jinsi ya kuacha...

Naomba kujua unapiga punyeto kwa kuvuta tu hisia au kwa kuangalia porno?..

Unasema unapiga Mara mpaka 3 kwa siku hata baada ya huu Mwaka mmoja wa kuoa. Je ina maana Ni mchana tu au hata Usiku ukiingia bafuni?.

Mke wako anakutishia tu ili uache hiyo Tabia ya kishenz iliyopitiliza .

1. Epuka vishawishi vinavyoweza kufanya utaman ngono, porno, kuangalia wanawake matako, mapaja, yaan ukiwaona geukia pemben kabisa.

2. Usikae muda mwing mwenyewe.
Na hamu ya Ngono ikikujia, chukua simu yako mpigie rafik /ndugu yako yoyote mpige story mbili tatu.

3. Ukienda bafuni nenda oga na wife..

Dawa ya punyeto inaanzia kwenye mind. Ni jinsi gan unaweza kuukwepa tricks ambazo Ubongo unakuchezesha coz we ulishauozoesha Ubongo..

Anyway leo ngap ushapiga[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimeshindwa..
Tumia black seed kwenye chai, tumia ginger tea pia.
Namaanisha pilipili mtama kwenye chai na tangawizi kutwa mara mbili angalau kwa siku 21 mfululizo utapungua sana.
 
Hiyo unayofanya naye inaitwa mutual masturbation inasemwa kua ni nzuri kuliko hii ya mtu kujificha peke yake.
 
Nime0ga mchana Huu Ila nime0ga bila sabuni kwasababu Nikisikia harufu ya sabuni Mashine Inasimama....
 
Sawa naacha usenge..
 
Tumia black seed kwenye chai, tumia ginger tea pia.
Namaanisha pilipili mtama kwenye chai na tangawizi kutwa mara mbili angalau kwa siku 21 mfululizo utapungua sana.
Sawa kaka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…