Punyeto: Kila unachopaswa kujua

Punyeto: Kila unachopaswa kujua

Chanzo ni wet dreams utakaa kwa kujibana wee nisipige ngwese nisijichukulie sheria mkononi Ila wet dreams huwezi ikimbia lazima tu wajusi watoke huko ndani yaan lazima upizi utake usitake, umelala unashangaaa wajusi walipotokea kuangalia umelowesha mashuka Qmanyoko
Ni kweli kabisa unachokiongea maana Kuna mmoja wao pia alikiri baada ya kuacha muda mrefu punyeto siku akaota anapiga punyeto na wazungu wakatoka kama kawaida .
 
Kama mada inavyosema punyeto ni Gereza na Haina mlango wa kutokea.Punyeto ni kitendo Cha kujisisimua sehemu zako za Siri Kwa kujishika shika mpaka kufika kileleni.

Nimekuja kugundua ni Vijana wengi walioathirika na tatizo hili na kibaya zaidi wameshindwa kuacha hii tabia.Wengi wao wamejaribu kuacha lakini wamejikuta mara Kwa mara wameanguka Tena na Tena.Zifuatazo ni baadhi ya maneno ya shuhuda za watu waliojaribu kuacha punyeto;

Mtu wa;

1 “Yaani sijui kama nitaweza kuacha”

2 “Miaka mitano sasahivi na sijui lini itakuwa end”

3 “Huwa Kuna wakati najiwekea Hadi tarehe kwamba kuanzia siku Fulani naacha lakini ikipita tu hiyo siku the following day najikuta Natamani kupiga punyeto najaribu kujizuia lakini nashindwa”

4 “Huwa hamu ikinipata napiga Hadi magoti kusali lakini Bado najikuta nimeanguka”

5 “Sidhani kama ntaacha sahivi nimepunguza”

6 “Huwezi ukaacha punyeto Mimi nilijaribu nimeshindwa”

7 “Huwa kabla sijaacha najiambia napiga ya mwisho alafu sipigi Tena zikipita wiki Tatu tu najikuta nimerudi kwenye anguko langu”

Shuhuda Kwa wanandoa waliooa

Mtu wa;

1 “Sisikii raha yoyote nikifanya mapenzi na mume wangu nashindwa kuelewa raha ya mapenzi”

2 “Nikimgusa mke wangu kuanza kumuandaa nina ejaculate hapo hapo na nikiendelea sichukui dakika mbili namaliza na siwezi simamisha tena”

3 “Nimetumia muda mrefu Sana kuacha punyeto lakini nilivyoingia kwenye ndoa nikajikuta Sina nguvu za kiume na kukojoa natumia dakika 2 tu na uume unalala kabisa nimetumia dawa nyingi lakini Bado hazijanisaidia mpaka mke ameniacha”

4 “Sina mtoto naona nishaadhirika”

PUNYETO NI MBAYA SANA NA KIBAYA ZAIDI YAWEZEKANA LABDA HAMNA TIBA KILA MTU ALIEPO KWENYE HILI GEREZA HAONI MLANGO WA KUTOKEA NI GIZA TU MBELE YAKE

KATAA PUNYETO

KATAA KUJICHUA

WANAWAKE NI WENGI

WANAUME NI WENGI USIJUCHUKULIE SHERIA MKONONI
Halafu inatakiwa ujue kuwa Kuna matatizo yanatatuliwa kwa kuongezea tatizo jipya,
Dawa ipo ni kukatwa viganja vyote viwili hakika hutaweza kupiga nyeto,
 
hawa ndio vijana taifa linawategemea hapo baadae wako hoi kutwa nzima wanapiga migalala na wengine mashoga!
Bora CCM waitafune nchi mpaka ibaki magofu maana hakuna matumaini.
 
1-.jpeg.jpg
namuona mwenyekiti wao na mtaalam dronedrake akijiandaa kuja kupambania ajira yake rasmi mbele ya halaiki ya jeiefu
 
hawa ndio vijana taifa linawategemea hapo baadae wako hoi kutwa nzima wanapiga migalala na wengine mashoga!
Bora CCM waitafune nchi mpaka ibaki magofu maana hakuna matumaini.
Wewe unasema hivyo ukiulizwa Ibara ya 136 & 137 pamoja na ile Ibara ya 35 za Katiba zinahusu nini huna Cha kujibu zaidi ya kutumbua macho tu
 
Hakujawahi na wala haitotokea kuwa na mgonjwa wa punyeto
Na comments km hizi zinathibisha wanaume wanapiga nyenze Ila usilolijua wanawake ndio wanaoongoza kwa kupiga nyenze kuliko wanaume,
 
Back
Top Bottom