Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikeka ilikuwa ikichanika tu lazima nipige nyeto,nikiwin naendelea kutengeneza mikeka mingine ya kesho yake au ile ya timu za americaImagine una addiction ya punyeto, betting, pombe [emoji23][emoji23]
We imagine tu 😂😂Imagine una addiction ya punyeto, betting, pombe [emoji23][emoji23]
😂😂😂Mwanaume aliyekamilika ni lazima apige punyeto na kubet
Miez miwil na zaid sas sjapiga nyeto na nmedhamilia kuacha, mm sijaona madhara yyte na nmefanya sex mara kadhaa bila kupata shda yyte na sjaona shda ktk maumbile yangu ila madhara ninayoskia kwa watu ndo yamenifanya nichukue maamuz ya kuacha nyeto,, nlianza kupiga January mwaka huuNa Jumaa Kilumbi,
31.10.2022
Punyeto ni nini?
ni kitendo cha kujiridhisha kingono kwa kujichua sehemu za siri.
Lakini ieleweke kuwa Punyeto ni kitendo cha kiasili kibailojia na hufanywa na watu wengi sana
UHARAMU WA PUNYETO
Dr. Zakir Naik ameeleza kuwa Punyeto inakuwa haramu bila shaka pale inaposindikizwa na kutazama picha au video chafu za utupu...
Hongera kwa hatua hiyo mkuuMiez miwil na zaid sas sjapiga nyeto na nmedhamilia kuacha, mm sijaona madhara yyte na nmefanya sex mara kadhaa bila kupata shda yyte na sjaona shda ktk maumbile yangu ila madhara ninayoskia kwa watu ndo yamenifanya nichukue maamuz ya kuacha nyeto,, nlianza kupiga January mwaka huu
Ahsante kwa kuongezea nukta mkuu, walau nimejua unaposimamia.Kuna kitu kinaitwa Jamuhuril ghulamaa [msimamonwenye nguvu kulingana na dalili]....
Punyeto ni haramu.... kutokana na dalili ulizozitaja....
Na Mtume amewataka vijana waoe au wafunge....
Jamani mtatufanya our night to be much more longer kwa kuwa na wenza walioathirika na punyeto...
Mkuu dhambi haiwi kwa sisi wanaadamu kudhani, dhambi huainishwa kwenye maandiko matakatifu.Ni dhambi kama dhambi nyingine sema kichwa ngumu tu
Mkuu una uhakika uasherati unajumuisha upigajinpunyeto wu ni tafairi yako ya namna ulivyoelewa andiko?Waache uvivu wakasome Biblia:
Biblia inasema wafiraji na wazinzi hawatauona ufalme wa mbinguni....
2. Waabudu sanamu - Hawa ndio wale watumiao sex toys na kusema oh my god.
3. Wazinzi - Hawa wanandoa wanaofanya nyeto, mapenzi nje ya ndoa, orgy, threesome.
Jitahidi uache mkuu, inawezekanaKujichukulia sheria mkononi mwangu ni mwendelezo kwangu
Mungu atakusaidia mkuu.Nipo kwenye mapamabano makali na nyeto na rafiki/mshirika wake wa karibu porn.
Soon nawaacha hawa ndgu wawili, watamaind na kunishawishi sana nirudi kua rafiki yao tena ila ndo hivyo nishasema hapana na kadi nimerudisha leo rasmi.
Naam Mkuu oa, hiyo itasaidia.Daah yan ndo nmetoka kupga nyeto apa ila bola nioe aisee
Uamuz mzuriNipo kwenye mapamabano makali na nyeto na rafiki/mshirika wake wa karibu porn.
Soon nawaacha hawa ndgu wawili, watamaind na kunishawishi sana nirudi kua rafiki yao tena ila ndo hivyo nishasema hapana na kadi nimerudisha leo rasmi.