Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Nipo kwenye mapamabano makali na nyeto na rafiki/mshirika wake wa karibu porn.

Soon nawaacha hawa ndgu wawili, watamaind na kunishawishi sana nirudi kua rafiki yao tena ila ndo hivyo nishasema hapana na kadi nimerudisha leo rasmi.
 
Na Jumaa Kilumbi,
31.10.2022

Punyeto ni nini?
ni kitendo cha kujiridhisha kingono kwa kujichua sehemu za siri.
Lakini ieleweke kuwa Punyeto ni kitendo cha kiasili kibailojia na hufanywa na watu wengi sana

UHARAMU WA PUNYETO

Dr. Zakir Naik ameeleza kuwa Punyeto inakuwa haramu bila shaka pale inaposindikizwa na kutazama picha au video chafu za utupu...
Miez miwil na zaid sas sjapiga nyeto na nmedhamilia kuacha, mm sijaona madhara yyte na nmefanya sex mara kadhaa bila kupata shda yyte na sjaona shda ktk maumbile yangu ila madhara ninayoskia kwa watu ndo yamenifanya nichukue maamuz ya kuacha nyeto,, nlianza kupiga January mwaka huu
 
Miez miwil na zaid sas sjapiga nyeto na nmedhamilia kuacha, mm sijaona madhara yyte na nmefanya sex mara kadhaa bila kupata shda yyte na sjaona shda ktk maumbile yangu ila madhara ninayoskia kwa watu ndo yamenifanya nichukue maamuz ya kuacha nyeto,, nlianza kupiga January mwaka huu
Hongera kwa hatua hiyo mkuu
Tafadhali ‘share’ nasi mbinu ulizotumia kuacha
 
Kuna kitu kinaitwa Jamuhuril ghulamaa [msimamonwenye nguvu kulingana na dalili]....

Punyeto ni haramu.... kutokana na dalili ulizozitaja....

Na Mtume amewataka vijana waoe au wafunge....

Jamani mtatufanya our night to be much more longer kwa kuwa na wenza walioathirika na punyeto...
Ahsante kwa kuongezea nukta mkuu, walau nimejua unaposimamia.
 
Ni dhambi kama dhambi nyingine sema kichwa ngumu tu
Mkuu dhambi haiwi kwa sisi wanaadamu kudhani, dhambi huainishwa kwenye maandiko matakatifu.

Tupe nukuu ya ilipoandikwa ni dhambi tuwe na mjadala wenye kujenga.
 
Waache uvivu wakasome Biblia:
Biblia inasema wafiraji na wazinzi hawatauona ufalme wa mbinguni....
Mkuu una uhakika uasherati unajumuisha upigajinpunyeto wu ni tafairi yako ya namna ulivyoelewa andiko?

Kwa maelezo jadidi ya biblia kama ingelenga kukataza Punyeto ingesema moja kwa moja maana imeweza sema kuhusu wafiraji nini Punyeto Mkuu?
2. Waabudu sanamu - Hawa ndio wale watumiao sex toys na kusema oh my god.
3. Wazinzi - Hawa wanandoa wanaofanya nyeto, mapenzi nje ya ndoa, orgy, threesome.
 
Nipo kwenye mapamabano makali na nyeto na rafiki/mshirika wake wa karibu porn.

Soon nawaacha hawa ndgu wawili, watamaind na kunishawishi sana nirudi kua rafiki yao tena ila ndo hivyo nishasema hapana na kadi nimerudisha leo rasmi.
Uamuz mzuri
 
Back
Top Bottom