Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Punyeto: Mitazamo ya Uislam na Ukristo

Duuuuh mpaka nimeogopa! miongoni mwa vitu najutia sana maishani mwangu kuvijua ni hii kitu punyeto..
 
Isitoshe kama una wazazi jiulize wana miaka mingapi?
Miaka yote hiyo unamuona baba yako akiwa na tabia za kike?
Mkuu rejea hapo juu nimekwambia unahitaji akili pana kuelewa Ila km una akili za kushikiwa huwezi kunielewa, wewe akili zako zimeshikwa na kile ulichoaminishwa, Suleiman alikua anazalisha kila siku na huyo bwana Mswati unataka kusema kila siku yeye kazi yake ni kumwaga mbegu tu? Rudi kwenye mada yako inahusu nini, punyeto right? Alafu rudi kwenye kile nimekiandika, bado hauoni uwiano wowote baina ya kile nmeandika na ulichokiandika?

Tatizo ni moja wewe unahitaji mjadala uwe mrefu wakati mwenye kichwa chepesi atakua ameshanielewa nilichokiandika ni nini, mimi nimesoma katika tafiti zangu binafsi ndio nikabaini hivyo na nikaacha kufanya nilichokua nafanya maana sitaki kugeuka kua na tabia za kike, copy that? Sasa usianze kuniuliza tabia za kike ni zipi au tabia za kike zinakuaje au tabia za kike zinatokana na nini?

Sitoweka rejea zozote hapa Ila nilichoandika umekielewa nimemaanisha nini unapomwaga una-shift kutoka Me kwenda Ke, I am talking about energy spiritually not scientifically (ni km mfumo wa battery ulivyo - na +) namaanisha nguvu zako zinapotea unakua umebaki km mwanamke baada ya kumwaga mbegu you loose (umepoteza yeye amepokea nguvu), means itabidi usubiri tena mwili wako utengeneze upya mbegu zako (recharge) ili uwe mwanaume km awali kwa kipindi hicho wakati mwili unakusanya nguvu unakua na vijitabia vya kike kike, mwili huchukua mda gan kutengeneza mbegu moja ya mwanaume (nguvu za mwanaume)? Swali linarudi kwako, simaanishi unakua mwanamke kijinsia au wanaume wanaanza kukugeuza au unageuka unakua mwanamke miaka yako yote, wewe tatizo unakaza Fuvu mkuu,

Kuna kitabu nilikisoma mwanzo mwisho ndio kilikua kikitoa hayo maelezo, ngoja nikitafute ntakuwekea hapa au ntaku-direct kwa muuzaji na wewe ununue usome

Km haujaelewa na hii basi utakua una kichwa kimoja kizito mno niishie hapa,
 
Mkuu rejea hapo juu nimekwambia unahitaji akili pana kuelewa Ila km una akili za kushikiwa huwezi kunielewa, wewe akili zako zimeshikwa na kile ulichoaminishwa, Suleiman alikua anazalisha kila siku na huyo bwana Mswati unataka kusema kila siku yeye kazi yake ni kumwaga mbegu tu? Rudi kwenye mada yako inahusu nini, punyeto right? Alafu rudi kwenye kile nimekiandika, bado hauoni uwiano wowote baina ya kile nmeandika na ulichokiandika?

Tatizo ni moja wewe unahitaji mjadala uwe mrefu wakati mwenye kichwa chepesi atakua ameshanielewa nilichokiandika ni nini, mimi nimesoma katika tafiti zangu binafsi ndio nikabaini hivyo na nikaacha kufanya nilichokua nafanya maana sitaki kugeuka kua na tabia za kike, copy that? Sasa usianze kuniuliza tabia za kike ni zipi au tabia za kike zinakuaje au tabia za kike zinatokana na nini?

Sitoweka rejea zozote hapa Ila nilichoandika umekielewa nimemaanisha nini unapomwaga una-shift kutoka Me kwenda Ke, I am talking about energy spiritually not scientifically (ni km mfumo wa battery ulivyo - na +) namaanisha nguvu zako zinapotea unakua umebaki km mwanamke baada ya kumwaga mbegu you loose (umepoteza yeye amepokea nguvu), means itabidi usubiri tena mwili wako utengeneze upya mbegu zako (recharge) ili uwe mwanaume km awali kwa kipindi hicho wakati mwili unakusanya nguvu unakua na vijitabia vya kike kike, mwili huchukua mda gan kutengeneza mbegu moja ya mwanaume (nguvu za mwanaume)? Swali linarudi kwako, simaanishi unakua mwanamke kijinsia au wanaume wanaanza kukugeuza au unageuka unakua mwanamke miaka yako yote, wewe tatizo unakaza Fuvu mkuu,

Kuna kitabu nilikisoma mwanzo mwisho ndio kilikua kikitoa hayo maelezo, ngoja nikitafute ntakuwekea hapa au ntaku-direct kwa muuzaji na wewe ununue usome

Km haujaelewa na hii basi utakua una kichwa kimoja kizito mno niishie hapa,
Fanyia tafiti vitu vya maana Wazungu, Wachina wanafumbua Magari, Tiba za magonjwa, na Midege nyie mmekalia tafiti zilizojikita kwenye imani zako unazoziamini mara roho za kishetani

Ili taifa litaendelea kweli kwa tafiti izi za Kufikirika ambazo hazina uhalisia zaidi ya kutishana tu??
 
Fanyia tafiti vitu vya maana Wazungu, Wachina wanafumbua Magari, Tiba za magonjwa, na Midege nyie mmekalia tafiti zilizojikita kwenye imani zako unazoziamini mara roho za kishetani

Ili taifa litaendelea kweli kwa tafiti izi za Kufikirika ambazo hazina uhalisia zaidi ya kutishana tu??
Kwa taarifa yako makala nilizozisoma waandishi na waliofanya tafiti hizo ni hao hao Wachina na Wazungu, una kingine nikusaidie mkuu?

Nakupa home work ingia Google andika taiji alafu fuatilia kiundani, km wewe ni mwanaume km wewe ni mwanamke pita kushoto,
 
Kwa taarifa yako makala nilizozisoma waandishi na waliofanya tafiti hizo ni hao hao Wachina na Wazungu, una kingine nikusaidie mkuu?

Nakupa home work ingia Google andika taiji alafu fuatilia kiundani, km wewe ni mwanaume km wewe ni mwanamke pita kushoto,
Wanaume wengi tu wamepiga Punyeto hadi leo wamezeeka na hawajawa Wanawake wewe kama ulipiga ukawa Mwanamke ndo utuambie ili tuamini utafiti wako.
 
Mkuu rejea hapo juu nimekwambia unahitaji akili pana kuelewa Ila km una akili za kushikiwa huwezi kunielewa, wewe akili zako zimeshikwa na kile ulichoaminishwa,
Relax mkuu hatushambuliani binafsi, tujikite kwenye mjadala.
Huna kipimo cha kuthibitisha akili ipi pana na ipi ya kushikiwa ila kukupunguzia mzigo nitafikiri kuwa hayo ni maoni yako tu mkuu.
Suleiman alikua anazalisha kila siku na huyo bwana Mswati unataka kusema kila siku yeye kazi yake ni kumwaga mbegu tu? Rudi kwenye mada yako inahusu nini, punyeto right?
Haya si maneno yako?
“Inakubidi ujue nguvu za kiume au nguvu za mwanaume zipo kwenye mbegu zake yaan ukipoteza mbegu zako ukazimwaga aidha kwa kupiga punyeto au vinginevyo, wewe una-shift kutoka kwenye upande wa mwanaume unahamia upande wa mwanamke, umeielewa hio concept kidogo lakini au bado nakuumiza kichwa hapo?”
Sio wewe uliyesema mtu akimwaga mbegu kivyovyote ana-shift toka upande wa ME kwenda KE?
Niambie kama nakuzushia mkuu, sasa hapo nimekupigia mfano wa watu ambao wapo ktk nafasi kubwa ya kumwaga hizo mbegu kwa kiwango kikubwa na mbali na matendo yao hayo hakuna aliye’shift toka ME kwenda KE’ hiyo inaashiria kuwa kuna walakini kwenye madai yako.

Bado ninakuomba rejea ila hutoi hiyo inaashiria kuwa madai yako sio ‘fact’ bali ni maoni yako binafsi.
Alafu rudi kwenye kile nimekiandika, bado hauoni uwiano wowote baina ya kile nmeandika na ulichokiandika?
Hakuna uwiano, maana unashindwa thibitisha madai yako uwiano utatoka wapi na kuna mifano dhahiri ya wazazi wako, je, umemuona baba yako akiwa na tabia za kike? Maana ‘chances are’ anamwaga mbegu kwa njia moja ama nyingine, jibu hujanipa.

Tatizo ni moja wewe unahitaji mjadala uwe mrefu wakati mwenye kichwa chepesi atakua ameshanielewa nilichokiandika ni nini,
Sihitaji mjadala mrefu, kitu pekee nakuomba ni rejea tu, nikishapata nitaenda jisomea kujiridhisha. Lete rejea funga mjadala.
Kama huna madai yako ni batili.

mimi nimesoma katika tafiti zangu binafsi ndio nikabaini hivyo “
😂 sasa kama umefanya tafiti binafsi na sina shaka uligundua unaanza kuwa na tabia za kike ndiyo maana ukaacha, ila swali ni je, ulitumia sampuli gani ktl tafiti hiyo. (Natafuta uhalali wa tafiti yako ili madai yako yapatw kutiliwa maanani mkuu )

“na nikaacha kufanya nilichokua nafanya maana sitaki kugeuka kua na tabia za kike, copy that? Sasa usianze kuniuliza tabia za kike ni zipi au tabia za kike zinakuaje au tabia za kike zinatokana na nini?”
Sitoweka rejea zozote hapa Ila nilichoandika umekielewa nimemaanisha nini unapomwaga una-shift kutoka Me kwenda Ke, I am talking about energy spiritually not scientifically (ni km mfumo wa battery ulivyo - na +)
Anhaa kwahiyo kumbe ni dhana dhahania tu, sawa sasa nimekuelewa kuwa hakuna ushahidi wa madai yako ila ni dhana tu uliyonayo, ila nikutoe wasiwasi mkuu dhana hiyo ni batili na haina ushahidi wowote.

namaanisha nguvu zako zinapotea unakua umebaki km mwanamke baada ya kumwaga mbegu you loose (umepoteza yeye amepokea nguvu), means itabidi usubiri tena mwili wako utengeneze upya mbegu zako (recharge) ili uwe mwanaume km awali kwa kipindi hicho wakati mwili unakusanya nguvu unakua na vijitabia vya kike kike,
😂 Mkuu unajua unachokisema lakini?

Ila naona una jambo la kutueleza, nashauri tulia, weka mihemko kando kisha ukipata nafasi tuwekee uzi ukidadavua vizuri utafiti wako.
mwili huchukua mda gan kutengeneza mbegu moja ya mwanaume (nguvu za mwanaume)? Swali linarudi kwako,
Hutegemea na mwili wa mwanaume husika. Ila mwili huzalisha ‘sperm’ kila leo na uzalishaji wa ‘sperm’ mpaka ikue inakadiriwa huchukua kati ya siku 60-80 hutegemea na mtu husika.
simaanishi unakua mwanamke kijinsia au wanaume wanaanza kukugeuza au unageuka unakua mwanamke miaka yako yote, wewe tatizo unakaza Fuvu mkuu,
Sikazi fuvu mkuu, ninakusoma vizuri sana, tatizo madai yako hayana ushahidi mkuu.
Kuna kitabu nilikisoma mwanzo mwisho ndio kilikua kikitoa hayo maelezo, ngoja nikitafute ntakuwekea hapa au ntaku-direct kwa muuzaji na wewe ununue usome
Hicho ndicho nilikua nakuomba muda wote mkuu, rejea tu basi.
Km haujaelewa na hii basi utakua una kichwa kimoja kizito mno niishie hapa,
Nakuelewaje mkuu na unazua madai mazito ya kuzua taharuki bila ushahidi wowote?

Lete rejea nikuelewe mkuu, na si umesema umefanya ‘Research’
 
Kwa taarifa yako makala nilizozisoma waandishi na waliofanya tafiti hizo ni hao hao Wachina na Wazungu, una kingine nikusaidie mkuu?

Nakupa home work ingia Google andika taiji alafu fuatilia kiundani, km wewe ni mwanaume km wewe ni mwanamke pita kushoto,
Weka majina ya vitabu ulivyosoma na waandishi wake mkuu.
 
Weka majina ya vitabu ulivyosoma na waandishi wake mkuu.
References:

1. How To Master The Art of Femininity Without Giving Too Much In Your Relationship by Kim Postell

2. The Secret of The Masculine & Feminine Energies: A Guide to Healing Relationships Paperback - October 25, 2010 by Tanya Copprue

3. The Divine Feminine Journal: Inspiring Prompts and Practices to Reconnect to the Wisdom, Power, and Energy Within by Alisha J. Flecky

4. Getting To "I Do" by Dr. Patricia Allen

Anza na hivyo mkuu, au nikuongezee vingine? Km unataka nikuongeze sema niongeze vingine, nitakuongeza
 
Je sisi watawa ambao hatijawai kuonja tunda mnatushauri tuanze na Nini kati ya Punyeto na real sex?
 
Nimependa bandiko...lakini Bora ungeelezea hoja zako vizuri bila kumtaja Zakir Naik, maana ni boya mmoja asiyejua kupangilia hoja yoyote.

Hapo amesema punyeto sawa ila sio ile ya kuangalia porno, kwanini?
Nimekuelewa vizuri sana. Yule ni hovyo kutokana na maneno yake sometimes
 
References:

1. How To Master The Art of Femininity Without Giving Too Much In Your Relationship by Kim Postell

2. The Secret of The Masculine & Feminine Energies: A Guide to Healing Relationships Paperback - October 25, 2010 by Tanya Copprue

3. The Divine Feminine Journal: Inspiring Prompts and Practices to Reconnect to the Wisdom, Power, and Energy Within by Alisha J. Flecky

4. Getting To "I Do" by Dr. Patricia Allen

Anza na hivyo mkuu, au nikuongezee vingine? Km unataka nikuongeze sema niongeze vingine, nitakuongeza
Haya ndiyo mambo ulitakiwq fanya muda wote na natumai wanazungumzia jinsi gani ME anakuwa na tabia za kike baada ya kupiga nyeto na kushiriki tendo la ndoa.

Kama unavyo vingine vya madai husika wala usisite kuviweka hata vifike 700.
 
Haya ndiyo mambo ulitakiwq fanya muda wote na natumai wanazungumzia jinsi gani ME anakuwa na tabia za kike baada ya kupiga nyeto na kushiriki tendo la ndoa.

Kama unavyo vingine vya madai husika wala usisite kuviweka hata vifike 700.
Sawa mkuu ntakuwekea vingine kadri mda utavyoniruhusu,
 
Back
Top Bottom