Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe andiko mkuu linalosema mbegu zilizomwaga nje zina uwezekano wa kuanganishwa na roho chafu....Musturbation ni DHAMBI, na sio dhambi tu ila inamuunganisha Mtu na Mapepo na kumconnect na wanawake au wanaume wa kimajini kwa njia ya kiroho
Utashangaa Mtu hapati mke au mume wa kuoa na hata akimpata ndoa haidumu kwasababu tayari ameanzisha uhusiano wa kiroho na kiumbe kingine bila kujua, na hivyo viumbe vina wivu
This is very true, zile mbegu unazomwaga chini au kitandani ni za thamani mno na haziendi bure
Punyeto inamuathiri Muhusika Kiroho, Kiakili na hata Kiafya.
Tupe rejea, maana mtu yeyote anaweza dai chochote.Musturbation ni DHAMBI, na sio dhambi tu ila inamuunganisha Mtu na Mapepo na kumconnect na wanawake au wanaume wa kimajini kwa njia ya kiroho
Utashangaa Mtu hapati mke au mume wa kuoa na hata akimpata ndoa haidumu kwasababu tayari ameanzisha uhusiano wa kiroho na kiumbe kingine bila kujua, na hivyo viumbe vina wivu
This is very true, zile mbegu unazomwaga chini au kitandani ni za thamani mno na haziendi bure
Punyeto inamuathiri Muhusika Kiroho, Kiakili na hata Kiafya.
MFUNDISHE MWANAO KUIEPUKA PUNYETO
Sahihi Mkuu, na hili lipo kisaikolojia.Watoto/vijana hufanya kile ambacho anakatazwa asifanye hasa kama ni jambo la ngono.
Atataka kujua why anakatazwa hebu ngoja ajaribu aone nini kitatokea
Akifanya tayari utakuwa umesha mtahadharisha yakimkuta ni yakeWatoto/vijana hufanya kile ambacho anakatazwa asifanye hasa kama ni jambo la ngono.
Atataka kujua why anakatazwa hebu ngoja ajaribu aone nini kitatokea
According to?Musturbation ni DHAMBI, na sio dhambi tu ila inamuunganisha Mtu na Mapepo na kumconnect na wanawake au wanaume wa kimajini kwa njia ya kiroho
Utashangaa Mtu hapati mke au mume wa kuoa na hata akimpata ndoa haidumu kwasababu tayari ameanzisha uhusiano wa kiroho na kiumbe kingine bila kujua, na hivyo viumbe vina wivu
This is very true, zile mbegu unazomwaga chini au kitandani ni za thamani mno na haziendi bure
Punyeto inamuathiri Muhusika Kiroho, Kiakili na hata Kiafya.
Mara nyingi wanaopiga nyeto wakati anafanya hamuwazi mtu wake, kama ikitokea ni nadra sana.Biblia inasema usimtamani mwanamke asiye mke wako..kwa uelewa wangu mdogo hapo maana yake kumtamani mkeo kiasi hata cha kumpigia nyeto kama hampo pamoja sio dhambi.
Nimeweka source hapa zilizorely kwenye Bible verses, unaweza kuzisoma vizuri tu.According to?
Ni Wizi,Kwanini mkuu?
Sasa huyo mtumishi si kajitungia kuwatisha watu ili waendelee kwenda kuombewa na kutoa sadaka.Sawa Wakuu, nitajaribu kukuwekea baadhi ya mistari na maelezo hapa ila pia nakushauri uingie katika forum ya Nairaland kuna Mtumishi ameeleza kirefu na vizuri sana kuhusu hili.
Title ya Mada ni Spiritual Significance of Semen.
View attachment 2405715View attachment 2405716View attachment 2405718View attachment 2405719View attachment 2405717
Nani anamuibia nani mkuu?Ni Wizi,
KE anapata, ME anapotezaNani anamuibia nani mkuu?
Nmepunguza kuangalia porno, nmejiepusha kukaa chumban pekeangu na mda nkiwa pekeangu bas ntakuwa naangalia movie au kucheza game
Pia nlfkria sana itakuaje sku na mm ikantokea ile hali ya watu wanayosema kimoja tu chali mtu hawez kuendlea na ndo limenfanya pia nichukue hatua ya kuacha kupiga
Nmefuta channel zote za porno, mfano za huko telegram, Twitter ili kuepusha kuangalia vdeo ztakazonfanya npige
Hayo ni baadh tu.