Punyeto ni mlango wa Roho chafu

Kuoa hakuwezi kukaua tatizo la punyeto,
Coz una-deal na roho ya tamaa

Utaoa na tatizo litabaki pale pale
 
Kuoa hakuwezi kukaua tatizo la punyeto,
Coz una-deal na roho ya tamaa

Utaoa na tatizo litabaki pale pale
Sasa ukipata hamu si unamkunja mkeo sasa tatizo litaendeleaje ?

Mimi huwa napiga nyeto nikiona sina possibility ya kupata dem kwa muda huo ambao nna upwiru.

Ila nikipataga dem ambaye muda wowote nikimhitaji anapatikana, mbona nyeto naanzaga tu kuisikia.
 
Inabidi uoe , ndipo utajua haujui
 
Sex ndio starehe aliyoweka Mungu, hiyo nyingine alificha kwani ni nzuri sana ila haizalishi. Sasa binadamu wamegundua siri yake, waliojaribu kuacha sio rahisi. Ni watu na starehe zao ili mradi wasivunje sheria kikatiba.
 
Mkuu Wapiga Nyeto wa Kutukuka ( Nikiwawakilisha ) tunahitaji Ufafanuzi wa Kina hasa unaposema Nyeto tupige, ila Mbegu zisitue chini. Kwahiyo tuzidake zikiwa zinakaribia kutoka Mboloni Kwetu au tuziwekee Bakuli kwa Chini ili Jini asizidake?
[emoji1787][emoji1787]
 
Ni starehe nzuri ila (against nature) kuna mahali Mungu kaumba ili shahawa zitolewe pale na si vingenevyo.
 
Punyeto ni jambo la asili linafanywa wanyama wengi tu wengine ? Ni kwamba kama unaifanya kwa manuizi ya kishirikina kufanikisha jambo hilo lingine ntakupa sababu ya ulotaja kisayansi
1.kuona maisha hayana thaman.
Hii ni kutokana na kuwa mpweke maana huna haja ya mahusiano .hata wasio puga nyeto watu wasio na marafiki au ukaribu na ndugu huwa hivi.ulaya wanaongoza kujiua nao ni nyeto? Sababu ni upweke mm nlikaa london mwaka mpaka naondoka sikuwahi kuwa na rafiki hata mmoja watu wako protective and busy.
2.kuona mambo tofauti
Nyeto ikifanywa kwa kupitiliza hupelekea kuharibu utafsiri wa picha kwan hutumia nguvu nyingi ubongo kutengeneza imagination ya kufanya ngono na mtu ambae hata hamjawahi ongea .pale hufanya ubongo uwe na uwezo mkubwa wa hallucination.sawa na ukibeba sana chuma inakuharibia mwendo wako

Nyeto ifanywe kwa kiasi maana kuongozwa na tamaa ni kubaya sana kunamaliza hela ,kunakupa chansi ya kulogwa ,etc ifanye kwa kiasi mfano mara 1 kila siku 3 kama huna mtu au uko mbali na mpenzi.kama unampenzi unaacha .

Nyeto zimetufanya tuheshimu ndoa na kuheshimika mtaani
 
Msanii Gani huyo kk😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…