The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.
Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.
Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.
Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.