Putin: Acheni kunywa Coca Cola, ni kemikali tupu, ni sumu

Putin: Acheni kunywa Coca Cola, ni kemikali tupu, ni sumu

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.

Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.

Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
 
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.

Putin anadema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.

Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
Soda yotote = muunganiko wa ladha ya kutengenezwa/artificial flavor + sukari kali ya kiwandani + Maji + rangi + kemikali ya kuzuia uozo/preservative chemical.

Mbali na yote hayo maisha ni wewe mwenyewe na kupanga ni kuchagua.
 
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.

Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.

Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.

Sumu nakunywa Mimi, Yeye shida yake nini?
 
Putin amewataka wananchi wa Urusi kuachana na kunywa sumu ama kemikali kutoka kwenye vinywaji baridi kama Cocacola na wapendelee kunywa vinjwagi vya asili ambavyo havina sumu na pia sio kemikali.

Putin anasema Coca Cola ni kemikali tupu na ni sumu.

Mwaka .2012 Donald Trump aliwahi kusema Pepsi ama Coca Cola ni sumu, ni takataka.
team rainbow mnaokoteza matakataka huko kwenye mitandao mingine halafu mnasema kauli ya putin.

putin kwa hadhi yake hawezi kuzungumzia jambo hili. ni jambo dogo sana kwake, he is too busy dealing with world serious issues.

of course soda zote including hiyo coca cola ni sumu, hilo halina ubishi. linafahamika kwa mda mrefu sasa.
 
Screenshot_20220709-225421.jpg
 
Sumu tunaila kwenye vitu vingi sana saivi. Yani kama tukisema tuache kula vitu vyenye sumu, hatutakula kila kitu cha dukani
 
Back
Top Bottom